Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Eti mama kaifungulia nchi kimataifa. Sawa, lakini mbona hamsemi nani kaifunga nchi kimataifa?
Mlimsifia sana Magu hadi mkawa mnamuita mungu, leo mnataka kumsifu Samia kwa kumponda magu lakini mnashindwa kutamka wazi kwa majina.
UNAFIKI UMEWAJAA HAKUNA MFANO
Mlimsifia sana Magu hadi mkawa mnamuita mungu, leo mnataka kumsifu Samia kwa kumponda magu lakini mnashindwa kutamka wazi kwa majina.
UNAFIKI UMEWAJAA HAKUNA MFANO