Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mitano tena kwa Samia🐒🐒🐒Acha upuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tena kwa Samia🐒🐒🐒Acha upuuzi.
We hupendi anapo tafuta hela kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letuNasubiri kauli yake ya "Tumepata vijisent kidogo kutoka nchi ya Falme za kiarabu"
Uwezo wako wakuona anayo yafanya Rais NI mdogo mno Kama sio chuki zako kwakeNi wamasai kuondolewa Ngorongoro
Mbna Sion Miradi ya kimkakati ya jk hydro power na SGR ambayo ina impact kubwaTaarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Katika awamu hii ya 6 umekuwa mmpinzani mkubwa wa serikali, vipi ulipokonywa mrija nini baada ya kufariki mwendazake?Kwa bajeti ipi wakuu;
Fedha zenyewe tunakopa.
Kwenda Dubai?Uwezo wako wakuona anayo yafanya Rais NI mdogo mno Kama sio chuki zako kwake