Wanawake Kwa kupenda sherehe!!!Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Maza naye anapenda publicity kama mtangulizi wake.Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Hela kama hiyo imetolewa na tajiri mmoja tu kama msaada kwenda Ukraine!!
Mpemba hana nia njema na bara hata kidogoMbona kama tunapigwa na kitu kizito.
Msisahau bia zigawiwe Bure kufurahia kifo Cha shetani magufuli.Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Siku nyingine wamvishe hata nguo za manesi, magereza nk sababu pia ni mkuu wa wafanyakazi wote nchini.
Too much sasa.Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Nguo za magereza anajiandaa kuzivaa mwamba mwenyekiti wa milele FAM.....Siku nyingine wamvishe hata nguo za manesi, magereza nk sababu pia ni mkuu wa wafanyakazi wote nchini.
Thread closed.Hawa wanaadhimisha na kupongezana kwa kifo cha JPM. Hawana lolote[emoji17][emoji17]
Amemaanisha nguo za askari magereza sio za wafungwa wa kisiasa.Nguo za magereza anajiandaa kuzivaa mwamba mwenyekiti wa milele FAM.....
Huna akili.
Against what?Mkuu hujaskia kama kuna Trn 17... point kadhaa toka Dubai?
Ova..[emoji41]
Mnayo bendera yenu fanyeni yenu.Mbona yote haya yanafanyika Tanganyika kwani zenji haipp Tanzania..huko nako serikali ya JMT imefanya nini?..ndani ya mwaka mmoja huu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli To Samia:Kusifu na kuabudu kama kawa
Wakati wa kupiga hela huu mkuu, ziliwe kwa njia yoyote.Mmeanza uchawa, hayo maadhimisho yanatusaia nn sasa
Lina utaanza kuimba wimbo wa mitano tena kwa Samia?πππWe Mcdm mwenzangu ulikuwa umepigwa ban?
Acha upuuzi.Lina utaanza kuimba wimbo wa mitano tena kwa Samia?πππ