Hii inasikitisha sana, kama wataalam tunao, contracts tunao, wakaguzi tunao, visibility study imefanyika, na wote wanalipwa....
Hivi kwanini haya mambo hayatokei huko nchi zilizo endelea...??
Usalama wa nchi utakuwepo siku huyo makamba na huyo swahiba wake wakiondoka, hasa huyo swahiba.
Gesi yetu atupige, halafu anaendelea kutuchafulia nchi kiasi hicho?
Usalama wa nchi utakuwepo siku huyo makamba na huyo swahiba wake wakiondoka, hasa huyo swahiba.
Gesi yetu atupige, halafu anaendelea kutuchafulia nchi kiasi hicho?
Swali simple tu project ya bwawa la Nyerere haizidi 5tn ,project hiyo gesi ambayo uchumbaji wake ni 70tn hapo hatujaja kwenye gharama za kuichakata hiyo gesi ,sasa ww unazani 5tn na 70tn ipi kubwa na ipi inalipika kirahisi? Na huyo atakaye chimba anarudisha vipi 70tn na kwa muda upi?
Umeme wa maji duniani kote ni uzalishaji wake ni rahisi. China sasa hivi anakaribia kumaliza ujenzi wa bwa kubwa duniani la kuzalisha umeme, usizani kwamba labda kashindwa kutumia nuklea kuzalisha umeme, uwezo huo anao ila kaangalia gharama.
Tatizo lako data hauna hebu soma hii habari iliyo letwa humu JF 2021 gharama za bei za umeme kwa nchi za EAC.
Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu, " Hakuna kama Samaia " Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine...
Taarifa nime okoteza wapi nimekuwekea na reference haya hiyo yako ambayo si ya kuokoteza ikiwa na reference kutoka kwenye chanzo cha uhakika ipo wapi?.
Sukuma gang wanahangaika kuonyesha Kalemani alifanya kazi, alikuwa anafanya utapeli tu na hatarudi, hata uzalishe umeme kiasi gani, kama hauna miundombinu ya kuufikisha kwa wateja ni kazi bure, kwa Sasa lazima kazi maalum ifanyike kulifuta kundi la sukuma gang na mawakala wake, nashauri Idara za usalama zijipe miaka kumi au ishirini kufuta kabisa kundi hili linalohatarisha usalama wa nchi na utangamano. Dola haijawahi kushindwa na itawadhibiti na kuwafuta wote
Acha waibe ila tuishi kwa uhuru, tumeishi miaka 5 ya mateso huku tunaibiwa na kupigwa juu. Bora waibe sisi tuishi maisha ya amani, haya wanayoiba hawaendi nayo peponi.
Taarifa nime okoteza wapi nimekuwekea na reference haya hiyo yako ambayo si ya kuokoteza ikiwa na reference kutoka kwenye chanzo cha uhakika ipo wapi?.
Unasema mradi wa JHNNP ni 5t wakati ni zaidi ya 8t, na bado unataka niamini hivyo vyanzo vyako! Bomba la gas mpaka kufika Dar lilikuwa ni $1.3b, sawa na 3t tukapata 450mg, na lengo ilikuwa kufikia 5,000mg. Sasa unaposema mradi wa gas ni 70t kwani ni fedha zetu au za wawekezaji?
Acha waibe ila tuishi kwa uhuru, tumeishi miaka 5 ya mateso huku tunaibiwa na kupigwa juu. Bora waibe sisi tuishi maisha ya amani, haya wanayoiba hawaendi nayo peponi.
Unasema mradi wa JHNNP ni 5t wakati ni zaidi ya 8t, na bado unataka niamini hivyo vyanzo vyako! Bomba la gas mpaka kufika Dar lilikuwa ni $1.3b, sawa na 3t tukapata 450mg, na lengo ilikuwa kufikia 5,000mg. Sasa unaposema mradi wa gas ni 70t kwani ni fedha zetu au za wawekezaji?
Ushajiuliza huyo mwekezaji 70tn atairudisha vipi na kwa miaka mingapi? Huwezi fananisha hela ya kwako na ya mwekezaji,hela ya mwekezaji huwezi kuicontrol bei ataamua na kupanga yy gesi aiuze kwa shilingi ngapi.
Bwawa la Nyerere gharama zake sio 8tn,hata ikiwa 8tn je ni sawa 70tn ambayo hapo ni uchimbaji, bado hutengeneza miundo mbinu ya kuichakata hiyo mitambo, hapo bado kusambaza hayo mabomba, ikiwe mpaka kufika dar 1.3tn, vip kwa mikoa mingine bado hatuja zungumzia mitambo kuichakata hiyo gesi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.