Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Aliyetuloga alishakufa na kaburi lake halijulikani lilipo tungeenda kulilia kuomba toba!
 
Hao ni wakimbizi dhidi ya corona viruses, weupe wote wanakimbia kwenda western countries,

safari hii hawatakiwi ajili ya hili gonjwa baya... Ingekuwa ni vita nchini mwa wasingekimbilia huku.

Magonjwa,kuchuma mali na mambo hatari yote ukimbizi ni Africa,
 
Umefikia KIA baada ya mlipuko wa ugonjwa wa CORONA? Mimi nimepita na wahudumu wote wamevaa Mask ila DAR ndio sikuwaona na MASK
 
Mask sio issue kumbuka hata Madaktari wanao watibu wagonjwa huvaa Mask na bado wanakufa we unazani hizo mask watavaa siku zote hao wachina wakifika huku watavaa siku zote? Ulisha wahi kuwaza kwa mfani ile nyomi ya kkoo kama ugonjwa ukilipuka nn kitatokea?
Umefikia KIA baada ya mlipuko wa ugonjwa wa CORONA? Mimi nimepita na wahudumu wote wamevaa Mask ila DAR ndio sikuwaona na MASK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri hasa kwa upande wa AIRPORT zetu ni nini?
 
Tumeshazoea kuchukua hatua baada ya kushambuliwa kwanza na majanga.
Kwahili serikali haitaepuka hasira ya wananchi. Ni jambo ambayo linaweza kupelekea uvunjifu wa amani na uharibifu wa mali.
Serikali uichukue hatua mapema
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana hivi kweli tunakubali hii hali? gharama yake itakua kubwa kuliko hivo visenti wanavyoleta hao wachina
 
Ni picha ya leo,Pope aliahirisha misa juu alikua na tatizo dogo la kiafya
pamoja na nia njema, lkn ni hatari sana kuwapokea , kuna andishi linasema on average incubation period ya hao virus ni siku 14 lkn imegundulika kuwa inaweza kwenda hadi siku 24 , hivyo mtu anaweza pimwa leo akaonekana hana lkn baada ya 10 days ikaibuka
 
Ina uma Sana ndugu Zanguni

Imagine Mwanao yupo China amekataliwa kuja Tanzania Wakati huo huo Nchi inapokea Watalii kutoka kutoka huko huko China

Mbona Mnatufanyia hivi Serikali ya Awamu ya Tano ??

Mnataka tufe Kama kuku waliovamiwa na Mdondo ??
 
Ikiwa jambo kubwa kama kuhiji lakini saudia ikapiga marufuku watu kuingia nchini mwao ili kuudhibiti ugonjwa sisi tamaa tumeweka mbele tunakaribisha mamia ya wachina ukilipuka hapa sijui tutakimbilia wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hujui kuna mtu ana dawa ya Corona huko Arusha? Achana na Tanzania tuko juu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…