feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Nchi haina hela miradi imesimama, unataka september kwenye kampeni tutazungunza nini?
Over
Sent using Jamii Forums mobile app
Over
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani akipatikana watasema?Mpaka tusikie kapatikana mgonjwa mmoja wa corona hapa Tanzania ndo tutaamka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi ninatetea wale wanafunzi wa Kitanzania warudishwe nyumbani nilipokea matusi na kejeli!! Sasa ndo mpembue mliokuwa mnapinga. Wachina wanapata usafiri wa kuja huku ikiwa wao ndio wahanga wakubwa wa COVID-19 na mnawakataa watanzania wenzenu!
Ilipaswa uwekwe utaratibu wa kuwapokea hao wanafunzi lkn badala yake wanaingia wachina kwa wingi!! Huku ndo kuruka majivu na kukanyaga moto.. time will tell
Unakusudia nini? Nchi nyengine wachilia mbali wachina, mtu yoyote aliyepitia tu China hata kama sio mchina hawmruhusu kuingia nchini mwao!Mtoa mada china ni kubwa sana
Sasa wewe unatofauti gani na serikili ya CCM?Umenikumbusha jana mchana,niliingia sehemu kwenye restaurant moja katikati ya mji,nikakuta rundo la wachina kama nane hivi,kwakweli nilitamani nitoke mbio,ila sikujua hata ujasiri wa kuendelea kukaa pale niliutoa wapi,ingawa niliposhiba ndio nikawa najiuliza hivi kilichonifanya nisiondoke ni nini,tuombe mwenyezi Mungu atunusuru na hili janga....
Serikali ya jiji la beijing inawaweka karantini wachina wenzao wanaorejea kutoka mikoani baada ya likizo ya sikukuu ya mwaka wao mpya wa kichina sembuse sisi tusichukue hatua?Mtoa mada china ni kubwa sana
Juzi kati kuna wafilipino wawili waliambatana na mchina mmoja, walikuja maeneo ya ofisini aisee nilihisi nywele zimenisimama ghafla, nilitamani kupotea kwa muda. Uoga huu😅Umenikumbusha jana mchana,niliingia sehemu kwenye restaurant moja katikati ya mji,nikakuta rundo la wachina kama nane hivi,kwakweli nilitamani nitoke mbio,ila sikujua hata ujasiri wa kuendelea kukaa pale niliutoa wapi,ingawa niliposhiba ndio nikawa najiuliza hivi kilichonifanya nisiondoke ni nini,tuombe mwenyezi Mungu atunusuru na hili janga....