mdesi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,367
- 2,220
Nimejaribu kujiuliza huyu jamaa anasema idadi ya wachina kuja kutalii imeongezeka. Inamaana hatuioni hatari ya hawa watu kutuletea Corona?
Mamlaka ziko wapi kudhibiti influx hii? Inawezekanaje watanzania walioko China wamezuiwa kurudi ilihali wachina kutoka China wanaruhusiwa kuingia Tz? tunachukulia vitu kimasihala sana.
Msikilize huyu jamaa
Kuna ongezeko la wageni ambao ni wachina, limeongezeka kwa kasi nchini. kutoka wale wa kawaida mabo walikuwa 40 - 50 kwa sasa wanapokea wageni 100 hadi 150 kwa siku.
Ongezeko hilo inasemekana ni kwa sababu kuwa kwao ni msimu wa sikukuu lakini pia, ni kwa ajili ya kuepuka ugonjwa wa corona unaoikabili China kwa sasa.
Mamlaka ziko wapi kudhibiti influx hii? Inawezekanaje watanzania walioko China wamezuiwa kurudi ilihali wachina kutoka China wanaruhusiwa kuingia Tz? tunachukulia vitu kimasihala sana.
Msikilize huyu jamaa
Kuna ongezeko la wageni ambao ni wachina, limeongezeka kwa kasi nchini. kutoka wale wa kawaida mabo walikuwa 40 - 50 kwa sasa wanapokea wageni 100 hadi 150 kwa siku.
Ongezeko hilo inasemekana ni kwa sababu kuwa kwao ni msimu wa sikukuu lakini pia, ni kwa ajili ya kuepuka ugonjwa wa corona unaoikabili China kwa sasa.