Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Wanafikili tutaugua sisi kajambanani peke yetu Uzuri Corona haichagui kama madoctor wa huko nao wamekufa.
 
Kwanza umewai kusikia wapi mtu mwenye ngozi nyeusi anakufa kwa mafua au umewai sikia wapi mtu mweusi aliyeko uko chini amekufa kwa korona zaidi ya kuonekana ana ugonjwa huo lkn hawezi kufa.mtu ametujalia wetu weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huwezi jua labda tz tuna waganga wa jadi professional corona itapitia wapi wakati bima za afya(hirizi) zimepachikwa mipakani
 
Waacheni waje tugawane nao umaskini...ila wakumbuke tu kwamba sisi ni dona kantri...hao mabeberu hawatuwezi..mbona wameshindwa kutuzuia kuwaleta wachina wetu aka wadau wapya wa maendeleo...dadadeki.
 
Kwanza umewai kusikia wapi mtu mwenye ngozi nyeusi anakufa kwa mafua au umewai sikia wapi mtu mweusi aliyeko uko chini amekufa kwa korona zaidi ya kuonekana ana ugonjwa huo lkn hawezi kufa.mtu ametujalia wetu weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo why wale wanafunzi wa Tanzania wamezuiwa kurudi Tanzania
 
Laiti ugonjwa ungeanzia Africa naamini China wasingeruhusu Ngozi nyeusi kukanyaga kwao hata wangekua wanaenda kutalii
Ngozi nyeusi ki asili huwa anafikiria ya leo ila ya kesho hayamuhusu kabisa.
 
Ugonjwa wa Corona umezidi kusambaa kwa kasi na kuingia kwenye nchi nyingi duniani licha ya tahadhari kubwa na teknolojia ya hali ya juu ya kuchuja wageni





Baada ya kuona ugon jwa huu haudhibitiki kirahisi sasa imepelekea nchi nyingi kukata mawasiliano kabisa na nchi zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa huu kama China, Iran, Italia, Japan na Korea

Hata hivyo Tanzania haina habari, Tanzania imezidi kupokea watalii kutoka China huku ikijidai kuwa haijali raia anatokea wapi kwa kuwa ipo vizuri kwenye kujilinda

Hiki ni kichekesho ukizingatia facilities na teknolojia za Tanzania ukizilinganisha na nchi nyingine duniani ambazo zimefunga kabisa usafiri na nchi athirika kwa hofu ya kuenea ugonjwa huu,

nchi kama Urusi ambayo ni mshirika mkubwa wa China imepiga marufuku raia wote kutoka China sababu ya ugonjwa huu ambao aambukizi yake hayaonekani mpaka zipite siku 14, nchi nyingine zilizopiga marufuku kabisa raia wa China ni Australia, Singapore, Iran, Ufilipino, New Zealand n.k

Nchi nyingine zimefika mbali zaidi kwa kupiga marufuku kabisa hata raia wa nchi nyingine ambaye aliwahi kwenda China siku za karibuni

Nchi kama Saudi Arabia imesitisha ibada za Hijja ndogo kutokana na hofu ya maambukizi haya, na inaweza kupiga hata marufuku ya Hijja kubwa

Nchi nyingi za kiarabu pia zimekatisha kabisa safari zake na Iran ambayo ina waathirika ambao hawafiki hata 300 kwa hofu ya ugonjwa huu, lakini Tanzania inaruhusu watalii kutoka China kwenye maambukizi ya takribani 80,000





Anza kuwaza kuzuia nzige Kwanzaa mkuu
 
Watu wanafanya masikhara na maisha ya watu nyie
Regardless kuwa uzi wa mtoa mada ni sahihi au sio sahihi hatua kali inabidi zichukulie

Leo waziri wa Afya wa Iran anautangazia umma kuwa hakuna Corona Iran
Kesho anakua victim wa ugonjwa huo huo

Ni virus ambao hawajui kucheka na Mtu
Nasikitwisha na comments za kitoto za baadhi ya watu humu
 
Back
Top Bottom