Jaman.
Kumbuken hata maneno ya speaker wa bunge yule alio achia ngazi alilalamika sana kukopwa pesa pasipo kuwa na sababu za msingi wakati kuna tozo kibao ambazo zinakusanywa na zinaweza endesha serikali bila shida.
Akasema pesa zinakopwa azionekan znafanya shughuli gani mwisho wa siku bra bra kibao plus kutia nguvu nying kuua legacy ya mtu flan.
NANUKUU ALISEMA; msipo kuwa makini nchi hii inaenda kuuzwa.
Mlimuona fala sana plus kumbeza...sasa aliosema ndo ayanatokea.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Kumbuken hata maneno ya speaker wa bunge yule alio achia ngazi alilalamika sana kukopwa pesa pasipo kuwa na sababu za msingi wakati kuna tozo kibao ambazo zinakusanywa na zinaweza endesha serikali bila shida.
Akasema pesa zinakopwa azionekan znafanya shughuli gani mwisho wa siku bra bra kibao plus kutia nguvu nying kuua legacy ya mtu flan.
NANUKUU ALISEMA; msipo kuwa makini nchi hii inaenda kuuzwa.
Mlimuona fala sana plus kumbeza...sasa aliosema ndo ayanatokea.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app