Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Itajengwa barabara mpya dual carriage way na itakuwa expressway na ni barabara ya Kimataifa..
Pili barabara ya zamani itaendelea kuwepo kwa ajili ya nyie mafukara [emoji23][emoji23]
Watanzania wenzangu, ifikie wakati tuungane na kukiondoa hiki kirusi kinachoitwa ccm! Haiwezekani fedha zilizotumika kujengea hayo madaraja, zimetokana na kodi zetu! Au mikopo ambayo tutatakiwa kuilipa na vizazi vyetu!
Halafu leo tunatakiwa kulipia! 2025 tuwaondoe madarakani hawa mafisadi. Kodi zenyewe wakipata kwa sehemu kubwa, wanazitumia kwa manufaa yao tu. Haileti mantiki hatavkidogo! Kwa sababu hayo magari yanayopita kwenye hayo madaraja, tayari yana msululu wa kodi za kila aina!
Bahati mbaya hii serikali ya sasa haina ubunifu wowote ule! Isipokuwa ni kukamua tu wananchi kupitia kodi na mitozo inayo jirudia!
Kuwa chawa Nako ni kutafuta pesa, unadhani kutafuta pesa ni mpaka upande juu nguzo za umeme kufunga mawaya?Baba yako ndo fukara, usingekua chawa humu ndani. Tutafuta pesa watoto wako wasirithi tabia yako ya uchawa
Mtu humjui na fake I'd yake, kumwita fukara ni zaidi ya uchawa,Baba yako ndo fukara, usingekua chawa humu ndani. Tutafuta pesa watoto wako wasirithi tabia yako ya uchawa
Unawapigia kelele walamba asaliTuseme tu ukweli Dr. Madelu ni kiumbe mwenye roho mbaya sana. Tangu ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha, amekuja na kodi lukuki za kuwaumiza tu watu wa chini na wale wa kati!...
Leseni za TV, baiskeli na redio to follow!SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha...
Sio muda utaliwa boga na utajitetea unatafuta pesa.Kuwa chawa Nako ni kutafuta pesa, unadhani kutafuta pesa ni mpaka upande juu nguzo za umeme kufunga mawaya?
Fukara mna njia zenu,shobo kwenye njia za wenye pesa za nini? Mnamlilia nani? Waliloeni waliowazaa kuwa mafukara.
ππ Utaishia kujifariji tuu ila haiondoi ukweli kwamba toll roads lazima..
Duniani watu wanalipia hata Jirani zetu Kenya wana Barabara za kulipiaSERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha...
Hata huyo Nyerere na ujamaa eake tulilipia tv licence.ππ Utaishia kujifariji tuu ila haiondoi ukweli kwamba toll roads lazima..
Mlidekezwa na kufanywa wavivu na walalamishi Sana na Nyerere na ujamaa wake nyie..
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha...
Kuwa chawa Nako ni kutafuta pesa, unadhani kutafuta pesa ni mpaka upande juu nguzo za umeme kufunga mawaya?
Fukara mna njia zenu,shobo kwenye njia za wenye pesa za nini? Mnamlilia nani? Waliloeni waliowazaa kuwa mafukara.
But huo mpango unakuaje uje ghafla,unajua nyerere bridge tulifahamu ni la kulipia toka kitu kipo under construction, iweje Tanzanite na kibaha highway ghafla tu mtu kakaa kwake na mkewe aamue ziwe za kulipia, tupunguze kupinga kila kitu na tupunguze kuunga mkono kila kitu hata kama mmepuyanga, wewe kila siku tunawacheka wakenya kule kulipia express way kwenye ule uzi, huku unakuja kuunga mkono!wewe jamaa .....Hakuna kitu kama hicho,kule Kigamboni unalipia mpaka sasa kaharibiwa nani?
Toll road ni jambo la kawaida tuu na ziko Nchi nyingi hapa Afrika kuanzia Kenya, Senegal, Africa Kusini nk
Hii ni Ile hadithi ya kijiti na karoti;. 1)road toll TU basi.... 2)latra TU basi.... 3)tarura TU basi.... 4)stand fee TU basi.. 5)parking fee TU basi..Mama akija kushtuka mwigulu anamuharibia itakua tayari too late