The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Acha uzushi Mzee,ikibidi njaa ikukumbe tuu la sivyo na wewe kalime..Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao
Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki
Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati
imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda kenya
Sasaivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa
mchele 2400 kilo
Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula
CCM imeamua kutusaliti, sasaivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda
tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui
Sawa bwana
Ukiona mtu anauza ujue anauza ziada..
Hiki ni kipindi cha wakulima kunufaika,ukitaka bei ya chini nenda shambani toka kucheza BAO huko mjini.