Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

we nani mpaka udhani una uwezo wa kuifikisha nchi Libya? Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, hebu weka sawa mindset yako na usije ukadhani eti kaibiwa kura, hell no! watanzania hawana utaratibu wa kuchagua Rais kichaa na mlemavu mwenye hasira ambazo hajui wa kumshushia, ndio eti umfanye awe amirijeshi wa nchi!! si kuna siku akiamka na mahasira utakuta mizinga inaripuliwa kwa kila anayemuhisi alimuumiza!! weka vizuri kichwa dogo, hatuwezi kuchagua chizi
atakayeifikisha nchi yetu iwe kama Libya si mimi ndugu, bali ni wale wenye mioyo migumu kama Pharaoh.

ndiyo maana sisi tunaoipenda nchi yetu aliyotuachia Mwalimu tunawaasa na kuwakumbusha wenye dhamana kuwa bado wanayo nafasi ya kuyarekebisha hayo mapema kabisa kwa kutenda haki kwa wote kabla ya yale ya kina Gaddafi hayajawakuta.

wakati ni sasa!!
 
watu wameshindiliwa risasi, maiti ndani ya viroba zimeokotwa ufukweni, watu wametekwa, wamepotezwa, wamefungwa, wamefilisiwa...kwa hiyo wanaokandamizwa wakae tu kimya waseme hewala baba?!!

tutaungana na dunia na kuiomba dunia itusaidie tupiganie haki yetu. hatutaki kupendelewa na yeyote...tunachotaka ni haki itendeke kwa wote. kama hatupati haki tupo tiyari kuungana hata na shetani mradi atuahidi kutupatia haki. na haki ni lazima hupatikana tu hata kama kwa kuchelewa lakini itafika tu. Mandela walimfunga miaka 27 gerezani lakin mwisho wa siku haki ilipatikana. hata ndani ya ccm tunaamini kuna wapenda haki wengi tu wasiofurahishwa na ukandamizaji wa watanzania wenzao wenye itikadi tofauti. Haki itashinda.
Bado wanatuona Africa Kama colony lao tu. Wanaamini kuwa wao ndio jamii pekee yenye haki ya kumtawala mtu mweusi popote pale duniani. Wanaamini kuwa sisi ni watu tulio achwa na Mungu, wanaamini sikuzote Africa ni sehemu ya kuja kuchota maji na shamba la kukusanya kuni kwaajili ya matumizi yao na sivinginevyo.

Kwakutumia mwamvuli wa kupigania haki wanatutumia sisi waafrica wenyewe kuziharibu nchi zetu wenyewe pale tu zinapokataa kutumiwa Kama shamba la kukusanya kuni.
vu
 
we nani mpaka udhani una uwezo wa kuifikisha nchi Libya? Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, hebu weka sawa mindset yako na usije ukadhani eti kaibiwa kura, hell no! watanzania hawana utaratibu wa kuchagua Rais kichaa na mlemavu mwenye hasira ambazo hajui wa kumshushia, ndio eti umfanye awe amirijeshi wa nchi!! si kuna siku akiamka na mahasira utakuta mizinga inaripuliwa kwa kila anayemuhisi alimuumiza!! weka vizuri kichwa dogo, hatuwezi kuchagua chizi
Nina wasiwasi sana ushauri wa hii Tweet ulitoka kwa Lissu kwasababu mh Lissu ndio aliye zusha habari za ofisi kupigwa bomu. Hakuna kiongozi yeyote wa CHADEMA aliye toa kauli ya kupigwa bomu ofisi ya CHADEMA kauli hii anayo yeye pekeyake. Hapa ni dhahiri kuwa aliye toa ushauri U.S watoe tamko la hivi ni yeye mwenyewe Lissu na hili lipo kimkakati sana na baada tu ya Tamko hilo Lissu naye haraka sana aka retweet kwa kusifia hicho kilichosemwa kana kwamba vile alikuwa anasubiri tu tamko litolewe.
Screenshot_20200818-154734.png

Screenshot_20200818-154820.png
 
watu wameshindiliwa risasi, maiti ndani ya viroba zimeokotwa ufukweni, watu wametekwa, wamepotezwa, wamefungwa, wamefilisiwa...kwa hiyo wanaokandamizwa wakae tu kimya waseme hewala baba?!!

tutaungana na dunia na kuiomba dunia itusaidie tupiganie haki yetu. hatutaki kupendelewa na yeyote...tunachotaka ni haki itendeke kwa wote. kama hatupati haki tupo tiyari kuungana hata na shetani mradi atuahidi kutupatia haki. na haki ni lazima hupatikana tu hata kama kwa kuchelewa lakini itafika tu. Mandela walimfunga miaka 27 gerezani lakin mwisho wa siku haki ilipatikana. hata ndani ya ccm tunaamini kuna wapenda haki wengi tu wasiofurahishwa na ukandamizaji wa watanzania wenzao wenye itikadi tofauti. Haki itashinda.

vu
Kama unaweza kujibu hoja basi sawa twende pamoja mkuu.
Wakati wa utata wa kifo cha Chacha wangwe na akina Mwangosi ni nani alikuwa madarakani na U.S wakiwa Kama watetezi wa haki walitoa tamko gani?

Wakati Dr Ulimboka anatekwa na kupigwa nusu kuuawa ni neema tu za Mungu kuokotwa akiwa mahututi ni nani alikuwa madarakani na U.S Kama watetezi wa haki walitoa tamko gani?

Wakati viongozi wa serikali kule kibiti wakiuawa kila kukichwa tena waccm tu. Wakati polisi wakiuawa kwa siku moja polisi 16 U.S Kama watetezi wa haki za binadamu walitoa tamko gani?
 
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!


Hivi watu hua mnafikiri nini kuona Taifa jingine tena nyonyaji linaisemea nchi yenu na ninyi mnainuka na kustuka kuona ni kama aliyesema ni MUNGU! people hamfikiri kwa undani
 
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!




Hakika upinzani upo mioyoni mwa wananchi. Muache Magufuli aminye demokrasia, afungie vyombo vya habari, lakini mbegu iliyopandwa na wataka demokrasia nchini kuanzia enzi za akina james mapalala, Komu, Mzee Fundikira, James Mbatia, Maalim seif. Mwalimu Nyerere na wote waliopambana hadi kurudisha mfumo wa vyama vingi haiwezi tena kuzimwa na matendo ya mtu mmoja anayetaka yeye kutawala kama mfalme.

Mapokezi ya Lissu huko Songwe leo ni message kali kwa rais Magufuli kuwa wananchi wanaupenda upinzani, wanauheshimu na wanataka maendeleo na uhuru, maendeleo na demokrasia.

Hebu cheki wananchi wa Songwe walivyompokea Lissu leo



Kwa mapokezi haya, Jiwe ajiandikie maumivu. Hakubaliki. 2020 ni ya Mhe. Lissu Magogoni/Chamwino. Huwezi kuua kwa risasi 16 kisha ukapambana na uliyemuua ukashinda. Huyo hatakuwa Mungu wa kweli. Kwaheri Magufuli na karibu the Hague, the Netherlands kwa kesi za mauaji ya kukusudiwa ukiwa madarakani.
 
Hivi hao wanaotoa matamko kwa Tanzania wao wanafanya yapi mazuri? Tujiulize Wanapata faida gani nyumba ya hiyo mipango yao?
Tanzania ni taifa huru linaloongozwa kwa misingi ya sheria na ikizingatia maslahi ya taifa kwa ujumla wake.
Watuache tufanye mambo yetu na hayo matamko wakayapeleke kupambana na hali zao
Gun Violence in America
Gun Violence in America - Everytown Research & Policy
 
Hivi watu hua mnafikiri nini kuona Taifa jingine tena nyonyaji linaisemea nchi yenu na ninyi mnainuka na kustuka kuona ni kama aliyesema ni MUNGU! people hamfikiri kwa undani
ndugu, mbona kuna watu hapa hapa nchini wanawaita mabosi wao eti "yesu" au "malaika"?
 
Mwendokasi inaendeshwa na serikali. Hivyo ndivyo itakavyokuwa wa SGR and the like. Serikali ya Magufuli inarudia kufanya majaribio ya kilichofanyika na kushindikana miaka 50 iliyopita (1970s)! Nchi iendelee bila kuwa na private setor in its real sense!? No way!
Anayeamini kuwa tutafika popote bila kuwa na a vibrant private sector anapoteza muda. Ni Serikali ya Magufuli hiyo.

Kisena sijui Kisembe sina hakika ni muajiriwa wa sirikali?
 
Kama unaweza kujibu hoja basi sawa twende pamoja mkuu.
Wakati wa utata wa kifo cha Chacha wangwe na akina Mwangosi ni nani alikuwa madarakani na U.S wakiwa Kama watetezi wa haki walitoa tamko gani?

Wakati Dr Ulimboka anatekwa na kupigwa nusu kuuawa ni neema tu za Mungu kuokotwa akiwa mahututi ni nani alikuwa madarakani na U.S Kama watetezi wa haki walitoa tamko gani?

Wakati viongozi wa serikali kule kibiti wakiuawa kila kukichwa tena waccm tu. Wakati polisi wakiuawa kwa siku moja polisi 16 U.S Kama watetezi wa haki za binadamu walitoa tamko gani?
mkuu hoja yako ni ipi hapa? kwa hiyo kama kulitokea utata wa kifo cha wangwe na USA hawakutoa tamko je hilo liinahalalisha uwepo wa vifo vyenye utata leo na je inahalalisha USA isitoe tamko leo? kwa hiyo mkuu unaona yaliyotendeka ni sawa? mtajibu nini kwa Mungu Mkuu maana siku yaja na dunian ni mapito tu. hiv mkuu madaraka hayo ni ya miaka mingapi hata ukiyapata kwani utaishi nayo kwa mda gani? kitu cha kupita tu hapa duniani unahalalisha roho za binadamu wenzako kupotea?

siasa sa ghilba mkuu huwa hazidumu. jaribu kufikiria eti ili kumwangusha mpinzani wako unatumia pesa za walipa kodi unamnunua diwani mmoja ambaye yumkini amechaguliwa na watu 400. Hao 400 wote hujawanunua halafu eti unategemea utauua upinzani kwa kumnunua huyo mmoja tu na kuwaacha hao 400 wakiwa na hasira ya kusalitiwa na kiongozi wao.. sasa mkuu hiyo ni nini?!!!! badala ujenge chama kwa hoja na utekelezaji wa ilani wewe unakazania kununua binadamu?!!!!
 
mkuu hoja yako ni ipi hapa? kwa hiyo kama kulitokea utata wa kifo cha wangwe na USA hawakutoa tamko je hilo liinahalalisha uwepo wa vifo vyenye utata leo na je inahalalisha USA isitoe tamko leo? kwa hiyo mkuu unaona yaliyotendeka ni sawa? mtajibu nini kwa Mungu Mkuu maana siku yaja na dunian ni mapito tu. hiv mkuu madaraka hayo ni ya miaka mingapi hata ukiyapata kwani utaishi nayo kwa mda gani? kitu cha kupita tu hapa duniani unahalalisha roho za binadamu wenzako kupotea?

siasa sa ghilba mkuu huwa hazidumu. jaribu kufikiria eti ili kumwangusha mpinzani wako unatumia pesa za walipa kodi unamnunua diwani mmoja ambaye yumkini amechaguliwa na watu 400. Hao 400 wote hujawanunua halafu eti unategemea utauua upinzani kwa kumnunua huyo mmoja tu na kuwaacha hao 400 wakiwa na hasira ya kusalitiwa na kiongozi wao.. sasa mkuu hiyo ni nini?!!!! badala ujenge chama kwa hoja na utekelezaji wa ilani wewe unakazania kununua binadamu?!!!!
Mkuu mimi nilikuuliza hayo kutokana na hoja yako hii.

watu wameshindiliwa risasi, maiti ndani ya viroba zimeokotwa ufukweni, watu wametekwa, wamepotezwa, wamefungwa, wamefilisiwa...kwa hiyo wanaokandamizwa wakae tu kimya waseme hewala baba?!!

Nilikuuliza yote hayo kwasababu kwanza nilitaka utambue kuwa matendo ya utekaji, risasi, mauaji n.k hapa nchini hayakuanza leo yalikuwepo tangu muda mrefu na si serikali hii tu yanatokea. Pili nilitaka tu tuweke kumbukumbu sawa sawa kuhusu hawa tunao waita watetezi wa demokrasia na haki za binadamu
swali je wameanza kufanya utetezi wakati huu tu? kwasababu matukio maovu yapo tangu siku nyingi au hawakuwa wanayaona ama hayakuwa na maana kwao kunyooshea vidole na matamko Kama wanavyofanya sasa?

Haya matamko yao wanayo yatoa kila siku ni ya kinafiki yenye lengo fulani nyuma ya pazia huku wakijificha kwenye kivuli cha haki za binadamu.
Angalia hiyo tweet hapo eti ofisi ya CHADEMA imepigwa Bomu!! Hivi kweli kabisa ofisi ya CHADEMA tena ya Kanda ipigwe bomu, yani mtu kabisa abebe bomu akalipue ofisi ya CHADEMA ya Kanda? Vitu vya ajabu kabisa hivi.

Alafu hao ccm ni wapumbavu kiasi gani hadi wafanye matukio Kama hayo ambayo wanajua kabisa yatawachafua alafu wakafanye kwa makusudi kabisaa? Siamini Kama ni wajinga kiasi hiki, alafu mara mbili mfululizo tukio la Arusha bado halijapoa wanatupiwa zigo la lawana na kupakwa matope alafu leo tena waende kuchoma nyingine mbeya? Kama ni hivyo basi huyu anae ratibu haya matukio ni mpumbavu wa kiwango Cha lami.

Kwa haraka haraka tutasema kuna masilahi yao yameguswa ndio mana wamekuwa wepesi sana kutoa matamko.

1 Unakumbuka tamko lao kuhusu shambulio la kigaidi masaki bila hata kushirikisha vyombo vya ndani kana kwamba wao ndio watawala wa nchi hii?

2 Unakumbuka matamko yao wakilazimisha Tanzania Kuna Ebola tena wakataja na hospital ya temeke Kuna mtu kafa kwa Ebola?

3 Unakumbuka matamko lukuki wakati wa Corona?

Uhalali wa wao kufanya vitu kama hivi wanaupata wapi?

Upouliza kuwa tutajibu nini kwa MUNGU hapa maana yake ni kwamba unatoa tuhuma kuwa wauaji ni hawa walio madarakani.
Sasa hebu lete tukio moja lenye ushahidi usio shaka kuwa muuwaji ni fulani (namaanisha ushahidi na sio fulani alisema au alitoa tuhuma kuwa wauaji ni serikali), unaweza kuleta ushahidi wa angalau tukio moja?

Kama ni kweli hawa watawala ndio wanaua sasa wale polisi, wanachama wa ccm na viongozi wa serikali kule kibiti waliokuwa wakiuawa kila kukichwa nani alikuwa anawaua? Kama muuaji wetu ni serikali inamaana walikuwa wanauana wenyewe kwa wenyewe?

Kuna tamko lolote kutoka ccm lililohusisha au kutuhumu upinzani kuhusika na mauaji yale?

Kuhusu hoja yako ya kununua upinzani kwa pesa za walipa kodi, hili nalo pia ni jambo la kufikirika mkuu halina ushahidi, au una ushahidi wa mmoja wapo aliye nunuliwa utuwekee hapa?
Unadhani kwamba hawa watu hawawezi kuhama kwa utashi wao tu, kwanini hutaki kuamini kuwa huo ni uchaguzi wao binafsi?
Unataka kuniambia kuwa wote waliopo CHADEMA wameridhika kabisa na kila kitu na kwamba kamwe hawawezi kuhama kwa maamuzi yao?
Kwahiyo na hawa wanao hama kutoka ccm kwenda CHADEMA vipi nao wamenunuliwa au ni maamuzi yao tu kwa kuto ridhishwa ndani ya ccm?
Kuna watu wamehama kutoka CHADEMA kwenda ACT mfano ni yule mbunge wa ubungo vipi nae ACT walimnunua sh ngapi?
 
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!


Tusibabaishwe jamani; marekani yenyewe nayo ina uchaguzi wiki hiyo hiyo sawa na sisi na kwa sasa hivi nao wanagombana kuhusu uchaguzi huo, mpaka imebidi bunge lirudi Washington DC kujadili mswada wa kuruhusu watu kupiga kura kwa posta huku Trump akipinga kwa vile akiruhurs hivyo basi wapiga kura wengi wa demorati watawasilisha kura zao na atashindwa.

Kwa hiyo tusitumie model ya Marekani kwetu mpkaa na wao wenyewe waondoe boliti kwenye macho yao.
 
Tusibabaishwe jamani; marekani yenyewe nayo ina uchaguzi wiki hiyo hiyo sawa na sisi na kwa sasa hivi nao wanagombana kuhusu uchaguzi huo, mpaka imebidi bunge lirudi Washington DC kujadili mswada wa kuruhusu watu kupiga kura kwa posta huku Trump akipinga kwa vile akiruhurs hivyo basi wapiga kura wengi wa demorati watawasilisha kura zao na atashindwa.

Kwa hiyo tusitumie model ya Marekani kwetu mpkaa na wao wenyewe waondoe boliti kwenye macho yao.
kuna tofauti kubwa sana kati ya matatizo ya US vs TZ. kubwa sana tu.

US tatizo ni PROCEDURAL.
It's a superficial challenge.

TZ tatizo ni INSTITUTIONAL.
It's a deep-rooted challenge.
 
kuna tofauti kubwa sana kati ya matatizo ya US vs TZ. kubwa sana tu.

US tatizo ni PROCEDURAL.
It's a superficial challenge.

TZ tatizo ni INSTITUTIONAL.
It's a deep-rooted challenge.
Mimi ninaishi Marekani na nina ndugu zangu wengi sana ninaowahudumia Tanzania; kila wiki lazima niongee nao. Sijui wewe unaishi Marekani ipi na unahudumia ndugu zako sehemu ipi ya Tanzania, na sijui kama kweli huwa unaongea nao mara kwa mara.
 
Marekani 'ihangaike' Kwanza na 'Upuuzi' wa Rais wao Trump hadi 'anadhihakiwa' na akina Michelle Obama katika DNC kisha ndiyo aje huku Kwetu.

si ndio democracy , sisi huku wapinzani wanakatiwa mpaka sauti kwenye hotuba zao eti watu wasisikie
 
Lazima wakuingilie sababu wao ndio wanakulisha. Kila siku mnapeleka bakuli huko halafu mnataka wawaache tu mfanye upuuzi?

Mkitaka msiingiliwe msiende kukopa wala kuomba, na madeni yote ya nyuma mlipe. Mkifanya hivyo mtakuwa free country na mtafanya mtakayo, mkiamua hata kuubeba mlima Kilimanjaro to Chato watakaa kimya


Mkuu wamesahau matangazo yao ya kuwaomba watalii mabeberu waje huku wakiwaaminisha kuwa corona hakuna TZ
 
Mimi ninaishi Marekani na nina ndugu zangu wengi sana ninaowahudumia Tanzania; kila wiki lazima niongee nao. Sijui wewe unaishi Marekani ipi na unahudumia ndugu zako sehemu ipi ya Tanzania, na sijui kama kweli huwa unaongea nao mara kwa mara.
narrative yangu ipo knowledge based, siyo physical presence.

ni vyema tubaki katika hoja.... jee, kuna uongo wowote katika nilichokiandika?
 
Mlango wa the Hague upo wazi asiyefunzwa na mama atafunzwa na dunia
 
Back
Top Bottom