Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Wataje shule na walimu ili zibaki magofu
Mzee HIMARS vp, umeshamaliza ya Urussi sasa unataka kuja kuteketeza mashule huku nyumbani? Hahahaaa 😃 😃 😃 😀
BTW hili suala limekuzwa na kutiliwa chumvi mno zaidi ya ukweli ulivyo. Watu wamelishabikia sana jambo ambalo ni Fununu/Tetesi kana kwamba wamefanya uchunguzi na kujiridhisha pasi na shaka kabisa kwamba watoto (wanafunzi) wanafundishwa mambo hayo ya kulawitiana. Mathalani kama inavyoonekana ktk picha iliyoambatanishwa: LGBT ni ufupisho wa Lesbian, Gay, Bisexual, and Transgender . Hiyo habari ya kufundishwa kulawitiana inatoka wapi? Je, si Haki ya mwanafunzi ajue na atambue kuna hali hizo katika jamii anamoishi na walioko miongoni mwa makundi hayo asiwanyanyapae (Stigmatize) ni watu kama yeye na wana Haki zao Kulindwa, Kuishi, n.k. halafu ajiepushe na Ushawishi wowote kujiunga au kujiingiza huko kwenye makundi hayo na akatae ushawishi wa namna hiyo ??. Mara nyingi tunavuna tulichopanda halafu baadaye tunaanza kulia-lia. Kwa mfano ulio wazi kabisa - Wazazi hawawaambii watoto wao mtoto anapatikanaje -wanawadanganya (wanaambia uongo) eti tumeenda kuomba kwa bibi, tumenunua Hospitali n.k. Baadaye Mtoto huyo-huyo anapocheza na wenzake au akiwa shuleni huko ndipo anapopata habari (ZA UKWELI) kuhusu dukuduku zake nyingi ambazo alifichwa na wazazi wake. (Samahani kama nitakuwa nimewakwaza baadhi ya wazazi, lakini ninaamini Waalimu (esp.Primary level) watanielewa)
Kwa msomaji yoyote atakayebahatika kupitia commenti yangu hii:- Niwaombe tu kwa roho nyeupe kabisa na kwa msisitizo, Jamani tuache UNAFIKI narudia tena TUACHE UNAFIKI kwani tukatae -tukubali hayo makundi tajwa hapo juu YAPO na YATAENDELEA kuwepo na labda YATAONGEZEKA muda tunavyoendelea. Kwani nyie mnaoyazungumza hayo mliyajuaje na hata mmefikia mahali pa kuwatambua tena kwa majina na mahali wanapoishi?. Umshukuru Mungu wako kwamba wewe sio miongoni mwao na mwanao pia hajajiunga huko. Lakini usiwanyooshee kidole, Kuwabeza, Kuwahukumu au Kuwalaani waliomo humo.
Shida iliyopo kwa sasa hapa e.g. Tz ni kwamba makundi hayo hayajatambulika na Serikali au Kurasimishwa (kitu ambacho kitapelekea Kuwekwa Sheria ya Kuwalinda na Kuwahifadhi) japo Yapo lakini kwa KIFICHO.
Nipo hapa jamani ni Ruksa kunikosoa ila niombe tu matusi na jazba zisiwepo. Nitajitahidi kukujibu kadri nitakavyojaliwa. Haya kazi kwenu. Asanteni
 
Huwezi kutatua tatizo kwa kujifanya kuwa halipo. (By Nyerere).

Hakuna shule inaweza kufundisha KULAWITIANA.

KULAWITIANA ni kosa la jinai na kosa la kimaadili. Sio Kweli.

Kama shule inafundisha kuhusu UWEPO WA USHOGA katika jamii, Yes why not? Kwani ushoga haupo? Kwanini wasifundishwe kuhusu uwepo wake?

Kujificha ficha hakuwezi kutatua tatizo. ANIKA MAMBO YOTE KAMA YALIVYO. FACE THE REALITY AND FACE THE WORLD.
 
Kama hii ni kweli, basi hatari ni kubwa kuliko tunavyodhania!
20230118-125450_p0.jpg
 
Wizara ya Elimu, Sayansi na Elimu ya Juu, imetuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti katika shule mkoani humo.

Uamuzi wa Serikali unatokana na gazeti moja nchini kuripoti uwepo wa shule inayofundisha masuala hayo mkoani humo kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya Mtanzania.

Akizungumza leo Jumanne Januari 17, 2023 katika viwanja vya Bunge, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema timu hiyo inaongozwa na Kamishna wa Elimu nchini na inajumuisha mwanasheria wa wizara hiyo na mkurugenzi wa udhibiti ubora.

Amesema mbali na hatua hiyo, wamewasiliana na Mkuu wa Mkoa iwapo kuna jinai yoyote ili hatua za kisheria zichukuliwe mara moja katika kukomesha vitendo hivyo.

"Timu imeashaanza uchunguzi katika shule zilizotajwa na hatua za haraka zitachukuliwa kwa wahusika wote watakaobainika kuhusika na kadhia hiyo,” amesema Profesa Mkenda.

Amesema katika kukabiliana na vitendo hivyo, wizara hiyo itatoa namba maalumu kwa ajili ya wananchi kutoa taarifa za vitendo hivyo vinavyochafua taswira ya elimu, kuondoa imani ya wazazi kwa shule na inaaribu vijana ambao ndiyo nguvu kazi ya Taifa.

“Katibu Mkuu atatangaza namba ambayo mtu yeyote akijua kuna vitendo kama hivyo kwenye shule au chuo chochote nasi tutaifanyia kazi kwa kufanya uchunguzi ili kudhibiti vitendo hivyo,” amesema.

Aidha amesema ipo mipango endelevu ya kudhibiti vitendo ambapo wizara yake na inashirikiana na wizara nyingine za kisekta katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsi katika jamii ikiwemo maeneo ya shule na vyuo nchini.

MWANANCHI
Hapa hakuna haja ya uchunguzi, ni kukamata wahiska wote wakiwemo wamiliki wa shule na wafanyakazi wao na kuweka ndani, adhabu kali otolewe ili iwe fundisho
 
Mikoa inayoongoza Kwa hayo mambo ni Dar Tanga Pwani halafu na Zanzibar umewahi kukemea?

Mikoa mingine ikiwemo Kilimanjaro hizo tabia ndio zinaanza kushamiri lakini mbona mikoa mingine hamuongei, why mkisikia tukio hata 1 tu Kilimanjaro mnawahusisha watu wote wa mkoa huo?

Mkoa unaotoka wewe hakuna hii tabia?

Punguzeni chuki hata wao wanaathiriwa kama inavyoathiriwa mikoa mingine

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inaonekana uchunguzi wao walifanyia mkoa wa Kilimanjaro
 
Ila tumekaa tunabishana wakati hakuna mtu aliyeleta taarifa kamili zaidi ya kichwa Cha habari watoto kufundisha kulawitiana mashuleni
 
😁..umenichekesha sana.
Yaani unasema kuna siku wachaga wote wataweka mikono kichwani na kujutia majigambo yao!!

Hiyo siku haipo, utakufa bila kuiona.
Watu wameamka sasa elimu kila mkoa ipo, tabia mbovu za kichaga zinatapaa kwa kasi, mfano mm zaman niliwakubali sana wachaga kwakweli sikujua undani wao kwa sasa na wachukia kama mbwa koko.
Kinachofuata itafika wakati mtaogopa hata kujitamburisha kuwa ni wachaga.
Mnayofanya sasa athar amtaiona sasa ila vizaz venu vitakuwa na kibarua kigumu sana cha kujisafisha.
 
Sijui labda ulikuwepo eneo la tukio ukashuhudia.

Ushoga umejaa tele Dar, Tanga, Zanzibar hamuongei ila ngoja mtu mmoja tu kutoka Kilimanjaro ahusishwe na ushoga basi mnatukana wanakilimanjaro wote[emoji23]

Hakuna kitu kibaya kama chuki mkuu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wew tu ndo uko insecure...hakuna mtu anayeweza kuchukia kabila la mtu...for what..so..ili iweje...


Nyinyi tu ndo hamjiamini
 
Back
Top Bottom