Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Sio kweli!!

Sema Kuna tetesi zile shule za international zinazotumia mitaala ya kimataifa kuanza kufundisha hilo somo la LGBT kama wanavyofanya watu wa nje..
View attachment 2485068
Mimi mwenyewe nadhani hili limeibuliwa kimkakati ili kupata sababu ya kuwafuatilia hawa wengine. Na kwa kupitia kwa haraka mijadala humu naona pia siasa imeingizwa.
 
Waziri wa Elimu Prof Mkenda amesema ametuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza Shule zinazofundisha Wanafunzi vitendo vya kulawitiana

Prof Mkenda amesema wameshtushwa sana na Taarifa hizo hivyo wameongea na Mkuu wa mkoa na RPC washirikiane na Tume hiyo kuchunguza Shule zilizotajwa

Chanzo: ITV
Ni shule Gani hizo tuzijue Ili tutor WATOTO huko faster
 
Unajua tukatae tukubali, vitendo vya ulawiti yaani Ushoga vina uhusiano wa moja kwa moja na Usingle mother. Na mkoa wa Kilimanjaro kitakwimu ni mkoa unao ongoza kwa idadi kubwa ya familia zenye single mothers wengi specifically jamii ya wachagga.

Tafiti za kitaalamu zifanywe kulink ushoga na mfumo huu mpya wa malezi ya usingle mother kwenye jamii yetu.
 
...yani kuna shule inafundisha watoto kukulana ?
Kwa mujibu wa uzi na chanzo - gazeti la Mwananchi, siyo shule moja, ni shule kadhaa..
👇👇
"Timu imeashaanza uchunguzi katika shule zilizotajwa na hatua za haraka zitachukuliwa kwa wahusika wote watakaobainika kuhusika na kadhia hiyo,” amesema Profesa Mkenda.
 
Mikoa inayoongoza Kwa hayo mambo ni Dar Tanga Pwani halafu na Zanzibar umewahi kukemea?

Mikoa mingine ikiwemo Kilimanjaro hizo tabia ndio zinaanza kushamiri lakini mbona mikoa mingine hamuongei, why mkisikia tukio hata 1 tu Kilimanjaro mnawahusisha watu wote wa mkoa huo?

Mkoa unaotoka wewe hakuna hii tabia?

Punguzeni chuki hata wao wanaathiriwa kama inavyoathiriwa mikoa mingine

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu acha kupaniki. Hivi vitendo mnavyofanyiana watu wazima na pia kuwafundisha watoto wenu ni hatari kwa ustawi wa jamii yenu huko mkoani kilimanjaro. Jitahidi muache hizi tabia. Tunajua ni ngumu kwa vile mmeshazoea, ila mkiaanza kuacha kidogo kidogo naamini mtaweza. Lifanyieni kazi hilo
 
Unajua tukatae tukubali, vitendo vya ulawiti yaani Ushoga vina uhusiano wa moja kwa moja na Usingle mother. Na mkoa wa Kilimanjaro kitakwimu ni mkoa unao ongoza kwa idadi kubwa ya familia zenye single mothers wengi specifically jamii ya wachagga.

Tafiti za kitaalamu zifanywe kulink ushoga na mfumo huu mpya wa malezi ya usingle mother kwenye jamii yetu.
Shida ni nin
 
Kwani wewe tangu umeanza kuingiliwa kinyume cha maumbile hadi leo hii umepata faida gani?
Mkuu fanya uache hii tabia ya kubanduliwa. Kuwasingizia wengine ni character assassination haitakusaidia. Fanya uache. Rudi kanisani, kamuombe mungu wako akusamehe kwa kitendo hiki ambacho umekuwa ukikifanya hiyo ndio njia pekee utasalimika
 
Ni tuhuma ya shule Moja ila kutokana na chuki zako umeifanya ya mkoa mzima.

Ni tuhuma na haijathibitishwa kama ni kweli ama la ila wewe umeshaconfirm kwamba ni kweli

Inawezekana hili limezushwa na wenye chuki kama wewe Kwa maslahi yenu mnayoyajua ila popo hawezi kuzichafua mbingu anajichafua mwenyewe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ah mkuu mimi najaribu kuunganisha dots tu. Haya matendo yamekuwa mengi sana kilimanjaro. Lakini pia kile chama kilichoanzia mkoani huko, mgombea wake wa urais anasupport haya mambo. Sasa in investigation dots zinafit vizuri ndo maana tunasema haya. Lengo si kuwasingizia, ni kutaka muache tabia hizo. Faida ni yenu nyinyi. Sisi hatufaidiki na chochote
 
Kuwachukia kwako hakukuongezei chochote ndio Kwanzaa wanastawi kutokana na juhudi zao sio wavivu hao, unaskia wewe chasaka?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile
Siwachukii kwababu ya juhudi zao au kustawi kama ndiyo hivyo ningechukia makibalia mengi, kwani makabila mengi tu yanajuhudi na ustawi pia.
1. Wachaga wanatamaa sna
2. wanajiona bora na kutudharau wtz wengine
3. wanaeroho mbaya hata wao kwa wao, 4. majambazi,
5. washirikina.
Yan wanajukuta ni watu special sana kumbe mavi matupu, matokeo ya ukoloni angalau yamewaweka hapo walipo vinginevyo wangekuwa watu wajabu sna
 
Back
Top Bottom