Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Ndio msaada aliyopewa lissu na chadema european union. Watu wanapiga kelele dhidi ya ushoga msifikiri mambo yako poa. Hawa wamarekani na wenzao wa ulaya ya magharibi wameazimia kuharibu dunia kimaadili. Badala ya kuzubaishwa na misaada yao ambaxo wala haina tija tuchukue hatua kali kujihami.
Eti wanataka watoto wafundishwe aina zote za kujamiana kisha wachague wenyewe ndio demokrasia yao ya kiliberali. Kijana aweze kuchagua ushoga au binti usagaji baada ya kufunzwa.
Hebu angalieni hatari inayotukabili kama taifa.

Kama ukipewa msaada na wazungu unafanya ushoga, basi nchi hii wote tunapaswa kuwa mashoga, maana serikali ya CCM imashapewa misaada sana na wazungu.
 
Waziri wa Elimu Prof Mkenda amesema ametuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza Shule zinazofundisha Wanafunzi vitendo vya kulawitiana

Prof Mkenda amesema wameshtushwa sana na Taarifa hizo hivyo wameongea na Mkuu wa mkoa na RPC washirikiane na Tume hiyo kuchunguza Shule zilizotajwa

Chanzo: ITV
 

Attachments

  • IMG-20230116-WA0054.jpg
    IMG-20230116-WA0054.jpg
    106.8 KB · Views: 2
Mi siamini

Mbona matokeo ya mitihani kilimanjaro ni mazuri!!?

Ingekuwa hivyo mbona ufaulu ungeshuka!!!?


Ngoja TUSUBIRI!

Spinning ni Njia nzuri ya ku divert attention ya MATOKEO mabaya ya form two mwaka Huu!!
 
Mkuu acha kukwepa hoja. Mgombea yule alisema anasupport ushoga. In his own words wala hakusingiziwa. Sasa sisi kazi yetu kuunganisha matukio. Chama anachotokea kilianzia mkoani huko kwenye hiyo shule ambapo taarifa zinaonesha vitendo hivyo vya wanaume kubanduana vimekithiri
Ni mgombea yupi na aliyasemea wapi?

Tangu mmeanza kuwasema vibaya watu wa Kilimanjaro kana kwamba sio watanzania kama nyie mmepiga hatua gani kimaendeleo?
Kama hamuwapendi waueni wote mbona hitla aliangamiza wayahudi ujerumani? Ni suala la wewe na wenzako kuungana tu muanzishe maangamizi kuliko kukaa na chuki moyoni itakusababishia heart attack



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni mgombea yupi na aliyasemea wapi?

Tangu mmeanza kuwasema vibaya watu wa Kilimanjaro kana kwamba sio watanzania kama nyie mmepiga hatua gani kimaendeleo?
Kama hamuwapendi waueni wote mbona hitla aliangamiza wayahudi ujerumani? Ni suala la wewe na wenzako kuungana tu muanzishe maangamizi kuliko kukaa na chuki moyoni itakusababishia heart attack



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
mkuu hakuna anayewachukia😂acheni kubanduana wanaume kwa wanaume, pia acheni kuwafundisha watoto kubanduana. Is that too much to ask?🤣mbona ni jambo la msingi sana
 
Jamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
Akili nyingine bhana kichekesho. Shule kuwa Kilimanjaro siyo kwamba inamilikiwa na mchaga au Basi wanaosoma humo Ni wachaga tu.

Punguza chuki na ushamba.

Akili ndogo!
 
Wape elimu watoto wako wajue haya mambo sasa wewe shangilia hapa then uje ukute mtoto wako ndio anapumuliwa, Kuna kisa kimoja Arusha mama alikuwa anakandia sana ushoga anatamani hata mashoga wauwawe, ila siku moja akaja kugundua mtoto wake ni mpunga pia, mama hadi leo hii ameparalise, so fundiaha watoto wako, acha ushabiki
Sasa blaza mahubiri yote ya nini......kwani mie nimesemaje??
 
Jamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
Umengea point mkuu wachaga ni watu wa hovyo sana, ipo siku watajutia majigambo yao.
 
Back
Top Bottom