Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo maana mm mwanangu anasoma madrasa tu
Sio kweli!!
Sema Kuna tetesi zile shule za international zinazotumia mitaala ya kimataifa kuanza kufundisha hilo somo la LGBT kama wanavyofanya watu wa nje..
View attachment 2485068
Unaelewa maana ya uchunguzi?Sio kweli!!
Sema Kuna tetesi zile shule za international zinazotumia mitaala ya kimataifa kuanza kufundisha hilo somo la LGBT kama wanavyofanya watu wa nje..
View attachment 2485068
Shuleni mnawapeleka wakata maunoIsikie tuu kwa mwenzio
Hii kitu inachoma kama pasi
Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu
Kila la heri serikali
Mikataba ya new world orderDuh! Sasa wanawafundisha watoto walawitiane kwa faida gani baadae kwa watoto au shule husika?
Sio kweli!!
Sema Kuna tetesi zile shule za international zinazotumia mitaala ya kimataifa kuanza kufundisha hilo somo la LGBT kama wanavyofanya watu wa nje..
View attachment 2485068
Mikataba ya new world order
Madrasa haiwez kufany upasuaj wala kugawa dawa 2x3[emoji2357][emoji16]Hehe, hii ndo hovyo kabisa
Inasikitisha wakati mitaani watu wazima wanalawitiana kama hawana akili? Sehemu kama Dar asilimia kubwa ya wanaume wamewahi kulawiti wapenzi wao. Hii ni laana ya na itatuandama kwa muda mrefu.Dahh inasikitisha sana
Hakuna shule inafundisha izo ni tetesi kwamba boarding watu wanafundishwa .Unaelewa maana ya uchunguzi?
Hii imekaa. Kipropaganda zaidi!! Nia huenda kuuwa umaarufu wa shule maeneo hayo. Ni vizuri uchunguzi ufanyike pia kwa vyanzo vya habari hizi!Waziri wa Elimu Prof Mkenda amesema ametuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza Shule zinazofundisha Wanafunzi vitendo vya kulawitiana
Prof Mkenda amesema wameshtushwa sana na Taarifa hizo hivyo wameongea na Mkuu wa mkoa na RPC washirikiane na Tume hiyo kuchunguza Shule zilizotajwa
Source ITV