Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Inasikitisha wakati mitaani watu wazima wanalawitiana kama hawana akili? Sehemu kama Dar asilimia kubwa ya wanaume wamewahi kulawiti wapenzi wao. Hii ni laana ya na itatuandama kwa muda mrefu.
Yaani sasa hivi imekuwa kama fashion wanaume kulawiti wanawake bila kujali ni vimada au wake zao. Ukikuta mwanamke hajalawitiwa ujue Kagoma, au ana bahati kukutana na mwanaume mshamba, au mwenye hofu ya Mungu.
 
Yaani sasa hivi imekuwa kama fashion wanaume kulawiti wanawake bila kujali ni vimada au wake zao. Ukikuta mwanamke hajalawitiwa ujue Kagoma, au ana bahati kukutana na mwanaume mshamba, au mwenye hofu ya Mungu.
Wewe upo kundi gani kati ya hayo uloyataja?
 
Wewe upo kundi gani kati ya hayo uloyataja?
Sio mshamba ila nina hofu ya Mungu. Lakini ukiongea vizuri na wanawake wanakiri haya, ama kama ni wanaume wanahadithia kama ni jambo la sifa.

Nilikuwa na dada mmoja mpenzi wangu kabla ya kuoa ambaye ni daktari wa kina mama, anasema wengi wakati wa kujifungua ameona tatizo hilo. Anasema kuna walioko kwenye hali mbaya kiasi kwamba wanaomba kujifungua kwa operation.
 
Jamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
Chuki zako Kwa wachaga hazitakusaidia chochote, sanasana wanazidi kunawiri tu kama shina la mgomba
 
Ndyo maana mm mwanangu anasoma madrasa tu
Nakusikitikia Kwa kuamini huko ni salama. Kwa sasa watoto wanafanyiwa ukatili zaidi na kundi ambalo tuliamini sio la kufanya hivyo. Walimu, masheikh, wachungaji, mapadre wote hao sio salama kama unavyoamini. Siku hizi ni nadra kusikia kibaka kalawiti mtoto kuliko sheikh, mwalimu au mchungaji.
 
Huu mkoa siku hizi ndo maana vitendo vya kishoga vimeshamiri. Kumbe huwa wanafundishana tangu utotoni. Na hata yule mgombea urais wa kile chama kinachotokea mkoa huu alikuwa ni supporter wa haya mambo. Hatari sana
Chuki chuki chuki
 
Waziri wa Elimu Prof Mkenda amesema ametuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza Shule zinazofundisha Wanafunzi vitendo vya kulawitiana

Prof Mkenda amesema wameshtushwa sana na Taarifa hizo hivyo wameongea na Mkuu wa mkoa na RPC washirikiane na Tume hiyo kuchunguza Shule zilizotajwa

Source ITV
Hatari sasa waziri hebu kabla hujasema fanya uchunguzi kimya kimya!
 
How on earth can this happen ! Shule inafundisha wanafunzi kulawitiana ??? Tooooobaaaaa !! [emoji33][emoji33][emoji33]

Umejiuliza swali la msingi! Hizi inaonekana ni tuhuma za mmoja wa wazazi ambaye mtoto wake kabanduliwa kuamua kushutumu shule kama taasisi. Hakuna namna “shule” inaweza kuwa inafundisha hii kitu!!

Shule zetu hazitoa elimu ya afya ya uzazi kwa hiyo hakuna kinachoweza kuzungumziwa. Wazazi tumeshindwa sana kujaza pengo hilo na mambo kama haya yakitokea tunalaumu taasisi!

Binafsi nawaambia vijana wangu kuwa natarajia wakue waoe na kuwa na wake!! Kuwa wawatoe wake zao out na wawanunulie zawadi! Matarajio yangu nayaweka kama malengo kwao, taratibu bila kuwahimiza wawe na mahusiano na wanawake!!! Wazazi tuchukue nafasi tunazopaswa kuzichukua kwa watoto, waalimu sio kila kitu!
 
Sio mshamba ila nina hofu ya Mungu. Lakini ukiongea vizuri na wanawake wanakiri haya, ama kama ni wanaume wanahadithia kama ni jambo la sifa.

Nilikuwa na dada mmoja mpenzi wangu kabla ya kuoa ambaye ni daktari wa kina mama, anasema wengi wakati wa kujifungua ameona tatizo hilo. Anasema kuna walioko kwenye hali mbaya kiasi kwamba wanaomba kujifungua kwa operation.
Kwani mpaka hofu ya mungu? Wewe huoni tu kuwa sio kitu sahihi? Do you need god for that? why iwe about fear for you to do the right thing?
 
Jamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
Hiyo shule una uhakika inamilikiwa na mchaga?
 
Back
Top Bottom