Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Jamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
 
Hii imekaa. Kipropaganda zaidi!! Nia huenda kuuwa umaarufu wa shule maeneo hayo. Ni vizuri uchunguzi ufanyike pia kwa vyanzo vya habari hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…