Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Muone mjinga huyu.TEC kama TEC wame wafikia... wapo wiki ya Pili zimebakia wiki nne...
Nazani somo lina waingia taratibu huko madhabauni🤣
TEC wanahusikaje hapo? Hata mimi niliwasilisha maoni yangu bungeni kuwa hakuna haja ya kufanya haya mabadiliko kwa kuwa masuala ya uwekezaji kwenye Bandari hayahusiani na Sheria hizi.