Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

💪🏻💪🏻✅
 
Na Lord Dening alipeleka pia anasema.
 
Sasa hivi vinatuhenyesha mahakama ya mikata ya Kimataifa, au huelewi hilo? Mikataba ya magu na kabudi kibao ina kesi huko, na mengine tumeshaanza kuilipa. Na mengine ndege zilishashikw, mama kaipigania.

Msisifie ujinga.
Tunacholipia siyo mikataba bali ni fidia zilizotokana na kuvunja mikataba ya kihawayawani kama huu wa Dp world
 
Wewe bibi ndie mjinga usiye na akili kabisa.

Hujui maamuzi ya mahakama kuu kanda ya Mbeya yaliagiza bunge likafanye marekebisha ya hiyo sheria, ili isikinzane na vipengele kwenye ule mkataba haramu wa bandari ambavyo vilikuwa vinalalamikiwa kuvunja sheria zetu za ndani.

Nyie mmezoea kuimba tu kumbe hata mnavyovipigia debe hamvijui, sasa kwa taarifa yako, hii hatua ya bunge ndio imethibitisha bila shaka kwamba ule mkataba kati ya serikali na bandari ni haramu, hapa ndipo utaitambua nguvu ya TEC.
 
Inshort inafikirisha cos hakukuwa na mjadala zaidi spika kasema tunapinga marekebisho ya sheria yaliyowasilishwa na Serikali, wanaohafiki waseme ndiyo ikajibiwa ndiyo! kilichopo hapa Spika alikuja na hoja hiyo toka huko alikokuwa.
Maana yake Spika alikuja na maelekezo toka juu. Kuna igizo wanafanya hawa
 
Sasa hivi vipengele ulivyoweka vinamaanisha nini kwa uelewa wako?
Wewe chawa nimethibitisha ni mjinga usiyejitambua, hujui hata kile kilichozuiwa na bunge kina madhara gani kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari uliozoea kuupigia debe, hii hatua ya bunge leo ndio imekupoteza kabisa, imeonesha kelele ulizozoea kupiga hazina maana.
 
Sasa hivi vipengele ulivyoweka vinamaanisha nini kwa uelewa wako?
Kama umesoma hivo vingere ukaelewa na ukasoma ule mkataba ukaelewa na ukarejea maamuzi ya Mahakama Kuu kanda ya Mbeya kuwa ni kweli IGA inakiuka sheria yetu ya ulinzi wa rasimali za Taifa ila hatuwezi kubatilisha Mkataba huu sababu kuna nafasi ya kufanyia marekebisho basi we utakuwa kilaza.
 
Ngoja nikuthibitishie ulivyo mjinga

Niambie tangu lini uwekezaji kwenye Bandari ukawa suala la maliasili?
 
Ngoja nikuthibitishie ulivyo mjinga

Niambie tangu lini uwekezaji kwenye Bandari ukawa suala la maliasili?
Hili swali la kitoto kawaulize wale majaji wa mahakama kuu Mbeya kwanini waliliagiza bunge likafanye marekebisho ya hiyo sheria, huku mpuuzi wewe ukishangilia kwamba serikali ilishinda ile kesi.

Chawa hujawahi kuwa na akili.
 
Hili swali la kitoto kawaulize wale majaji wa mahakama kuu Mbeya kwanini waliliagiza bunge likafanye marekebisho ya hiyo sheria, huku mpuuzi wewe ukiahangilia kwamba serikali ilishibda ile kesi.
Umejiona ulivyo mjinga?
Ndo ujue mimi sio level zako!
Wapi Majaji walisema Bunge likafanye marekebisho ya Sheria ya Maliasilia?
 
Leo bungeni serikali imefuta marekebisho yote iliyopendekeza ya sheria ya maliasili za Taifa ambayo yangewezesha IGA baina ya Tanzania na Dubai kuanza kuendesha bandari zetu.

Hakika nguvu ya umma dhidi ya serikali dhalimu imeshinda na mapambano yaendelee kuhakikisha hata IGA yenyewe inafutwa!
 
Bravo Kwa watanganyika wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…