Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulifanya hivyo bhSi ulifny kitu kikubwa sana kwa nchi yako sio kwa utetezi wa dp bhna kudosMuone mjinga huyu.
TEC wanahusikaje hapo? Hata mimi niliwasilisha maoni yangu bungeni kuwa hakuna haja ya kufanya haya mabadiliko kwa kuwa masuala ya uwekezaji kwenye Bandari hayahusiani na Sheria hizi.
Amen 🙏Tuombee na iendelee kuwa hivyo ilivyo...
Kama alikula mlungula arudishe tu!Ngoja tusubiri as I said before yule Mama haambiliki atatembeza mhaho Bungeni awachomoechomoe wale wote wanaoleta mgomo wa kubadirisha sheria hizo 2 km yeye anavyotaka Bandari lazima iende kwa DP World sasa wabunge wamekuaje hapo wanataka kumkwamisha namna gani?
Nakala moja apewe FaizaFoxy
Nipo paaale
Hivi kuna jitu linaloabudu mizimu kama wewe? Yaani, kuna mzandiki, mnyanyapaa na mnafiki na mchawi zaidi yako wewe hapa Jamvini?We mtu na kuabudu mizimu? Lazima utakuwa mchawi
Lucas mwashambwaKitenge na genge lake hajapost hii?!
Jamaa walaku sana wale. Wako tayari kuuza watu kisa matumbo yao.Lucas mwashambwa
Lord denning
The Boss
THE BIG SHOW
Hawajaiona hii au wanapita kimya kimya bila kutupia neno lolote?
Sasa natural wealth na masuala ya uendelezwaji/ uwekezaji wa Bandarini wapi na wapi?Lucas mwashambwa
Lord denning
The Boss
THE BIG SHOW
Hawajaiona hii au wanapita kimya kimya bila kutupia neno lolote?