Serikali yampa ajira Mwanamke anayekumbatia Watoto njiti hospitali ya Amana

Serikali yampa ajira Mwanamke anayekumbatia Watoto njiti hospitali ya Amana

vijana jitoleni kwa wingi serikali nyenyekevu itaweka mkono wake wacheni kulalama
 
Haya kwa wale wavivu wa kusoma.

Kangaroo mother care started immediately after birth critical for saving lives, new research shows
Immediate kangaroo mother care for preterm and low birthweight babies requires dedicated Mother-Newborn Intensive Care Units
  • Kangaroo mother care, which involves skin-to-skin contact and exclusive breastfeeding, significantly improves a premature or low birthweight baby’s chances of survival
  • Starting kangaroo mother care immediately after birth has the potential to save up to 150,000 more lives each year, compared with the current recommendation of starting it only once a baby is stable
  • Mother-Newborn Intensive Care Units (ICUs) will be critical to support the mother, or a surrogate, in providing this immediate, ongoing skin-to-skin contact from birth.
The results of a new clinical trial published today in the New England Journal of Medicine, show that immediate kangaroo mother care, which involves skin-to-skin contact with the mother and exclusive breastfeeding, started as soon as a preterm or low birthweight baby is born, dramatically improves survival.

Current World Health Organization (WHO) recommendations indicate starting kangaroo mother care only after the baby is stabilized in an incubator or warmer, which can take on average 3-7 days. This new study suggests that, when compared with the existing practice, starting kangaroo mother care immediately after birth can save up to 150,000 more lives each year.

“Keeping the mother and baby together right from birth with zero separation will revolutionize the way neonatal intensive care is practiced for babies born early or small,” said Dr Rajiv Bahl, Head of the Newborn Unit at WHO, and the coordinator of the study. “When started at the soonest possible time, kangaroo mother care can save more lives, improve health outcomes for babies and ensures the constant presence of the mother with her sick baby.”

The results of the immediate kangaroo mother care study indicate the need for a global paradigm shift in the care of small babies with zero separation of babies from their mothers by having dedicated Mother-Newborn ICUs. “The best way to nurture the newly born low birthweight baby, including in high-income countries, is through ongoing skin-to-skin contact with the mother, in a mother-newborn couplet care unit that provides care and medical treatment for both,” said Dr Bjorn Westrup, of the Karolinska Institute, Sweden, and a technical expert for the study.

Kangaroo mother care is already known to be effective, reducing mortality by 40% among hospitalized infants with a birth weight less than 2.0 kg when started once they are clinically stable. However, this important new study provides new evidence to show a further 25% reduction when it is initiated immediately after birth, either with the mother or a surrogate.
@HIMARS
 
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.

Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2

Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.

"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;

"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.

Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma
Muda atakaotumia kujiendeleza hataweza kuwakumbatia watoto, yeye hafanyi kazi ya unesi ila yeye ni inkyubeta ya muundo wa binaadamu, ni vigumu kuamini kuwa wote walioko serikalini ni wasomi, yeye aajiriwe kwenye mfumo wa kazi maalumu tu kwa kuwa mnamuhitaji kwani hakuomba kazi.
 
Muda atakaotumia kujiendeleza hataweza kuwakumbatia watoto, yeye hafanyi kazi ya unesi ila yeye ni inkyubeta ya muundo wa binaadamu, ni vigumu kuamini kuwa wote walioko serikalini ni wasomi, yeye aajiriwe kwenye mfumo wa kazi maalumu tu kwa kuwa mnamuhitaji kwani hakuomba kazi.
Anaweza kuwekewa utaratibu.
Siku 3 kwa wiki darasani na zingine awe na watoto.
Ijulikane sio lazima awakumbatie wote.
Target iwe angalau kwa wiki aokoe mtoto mmoja au hata mwezi kwani sio kila siku huzaliwa njiti
 
Kutumia mtu badala ya incubators
Mkuu DR mkuu mwenyewe ndo amezengumza
Kwanza amesema shida sio INCUBATOR na wala hazipo chache
Shida ni vitanda vya mama watoto NJITI kulala hapo na mtoto kuwa ni vichache hii inafanya changamoto ya mama kuja na kurudi HOSPTARI kila siku sasa wazazi wengine wakienda siku mbili tatu wanatekeleza watoto hilo tatizo moja wapo

Pili kwa mujibu wa DR kumbatio la binadamu(kangaluu) lina matokeo CHANYA ya haraka zaidi kwa 100/% kuliko INCUBATOR

3 7bu iliyopelekea mpk huyo mdada kufanya hivyo alifika HOSPITAL kumuona rafikiye aliyejifungua ndo akapata taarifa kuna mtoto alitekelezwa kama sikosei au aliokotwa yupo kwenye INCUBATOR zaidi ya miezi 4 haongezeki Uzito
wkt wa majadiliano ndipo nesi mmoja akasema endapo angetokea mtu akamkumbatia anauhakika ndani ya wiki angeongezeka uzito na akatoka hapo hosptari
Ndipo huyo dada akajitolea kufanya Hvyo kwa wiki nzima na mtoto akaongezeka uzito akafikia LENGO la madaktari wenyewe walivyohitaji
Sasa baada ya hapo akaendelea na mishe zake ila akawaambia ikitokea kuna Kesi nyingine kama hiyo wasisite kumpigia
Ndipo zikatokea kesi kama hizo mbili akaziandle kwa mtindo huo huo mpk juzi gazeti lamwananchi ilivyopublish ushujaa wake

Ajakulupuka tu kufanya hvyo MADAKTARI wana akili na wanajua wanachofanya walihakikisha yupo na AFYA njema ya kufanya jambo hilo ili isiwe na hathali zozote kwa mtoto

Zaidi pengine lina athari kwake 7bu haijulikani watoto wana magonjwa gani yeye alichofanya ni kujitolea

Sasa dr kasema kuna wazazi wanawatekeleza watoto wakishaona ni watoto NJITI kwa kushinda hiyo kazi ya kangaluu sasa huyo dada wala sio watoto wake ni moyoni anajitolea kufanya hvyo na wala halipwi chochote zaidi MADR au MANESI kumpa msosi na nauri tu
Je huoni kama ni ushujaa na alisatahili PONGEZI na motisha ili kurudisha IMANI kwa jamii kuwa
HUMANITY STILL EXIT

Kwanza ushawahi kumuona mtoto NJITI nina uhakika kwa moyo wako hata anagekuwa MWANAO usingewez kumkumbatia inahitaji MOYO na USTAMIILIVU ndo mana wengi hutekeleza hao watoto




 
Back
Top Bottom