Picha haionekani vizuri kwenye device yangu mkuu, hata maandishi ni madogo sana huku nilipo hayaonekani kabisa...INA MAANA WE HUJUI JINSIA YA WAZIRI WAKO WA MAMBO YA NDANI YA NCHI? Aliyeko kwenye picha ni mwanamke lakini jinsia ya kiume(Male) Katazame details ya kadi.
Vitambulusho vilivyotolewa mwanzoni ndio vingi vibatakiwa kuombwa tena baada ya miaja 10. Sasa hao NIDA wataweza kushughulikia hivo wakati ya waioomba hawajaweza kuwapa vitambulusho? WAMEZIDIWA TU TUSIDHANI WAMETUONEA HURUMA HAWANA UWEZO KANA ATCL TU. SIJUI NI NINI KINATUTAFUNA. LABDA BARABARA MABWAWA NA MADARAJA NDIO VINAKAMILIKA .Tupeni vitambulisho vyetu acheni maneno.
Ni mwanamke tena mzuri kweli anaitwa Anastazia ila details kwenye kadi inaonesha jinsia yake ni M yaani mwanaumePicha haionekani vizuri kwenye device yangu mkuu, hata maandishi ni madogo sana huku nilipo hayaonekani kabisa...
Kwani huwezi kudanganya tena ukifanya maombi mara ya pili?Mwanzoni waliweka ukomo ili kuzuia watu kufanya udanganyifu...
Ku-renew maombi ilikuwa kama ni kautaratibu ka kuhakiki upya taarifa za watu...
The same to meBora iwe hivyo, wengine tulipata vile vitambulisho vya awali kabisa vya majaribio ambavyo ndiyo vinaisha muda wake
Nitoe rai kwa watoa huduma kwa wananchi hasa taasisi za kifedha, benki na kampuni za simu kuendelea kuvitambua na kuvitumia vitambulisho vya Taifa vyenye tarehe ya ukomo uliopita kwa sababu havitakuwa na ukomo tena wa matumizi.Waswahili wanasema - siyo bure
Ukomo wa NIDA ilikuwa kielelezo kingine cha ujinga na udhaifu wa Lucifer Magufuli, kitambulisho cha taifa kitakuwaje na ukomo wakati ni cha mzaliwa wa nchi hizi?!Serikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu.View attachment 2525037
Hayo yamebainishwa leo Jumanne tarehe 21 Februari 2023 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho hivyo.
Kama shida yao ni pesa ili watowe huduma,si bora waseme tu kuliko kujizungusha na neda rudi!!?Penyeza rupia kdgo
Watoe na UKOMO wa matumizi ya Driving License, kwani Leseni yangu ikiisha nasahau kuendesha gari?ππ
Asante kwa ufafanuzi mujarab kabisa, kwakua ni mwanamke ebongoja niangalie namna ya kufanya mambo mbalimbali...πNi mwanamke tena mzuri kweli anaitwa Anastazia ila details kwenye kadi inaonesha jinsia yake ni M yaani mwanaume
Demu mzuri kinyama. Anapatikana wap uyu??Serikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu.View attachment 2525037
Hayo yamebainishwa leo Jumanne tarehe 21 Februari 2023 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho hivyo.
Hiyo expire date ilikuwa inaleta uchuro uchuro hivi, ukiona kama nawe waenda kuexpire.Serikali imesikia kilio cha Wananchi na imetangaza rasmi kuondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi wa watu.View attachment 2525037
Hayo yamebainishwa leo Jumanne tarehe 21 Februari 2023 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, kuhusu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na hali ya utolewaji wa vitambulisho hivyo.