DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Na sisi Tunaweza kumfunga Goli moja Ahly kwao..Yanga wanastahili, Shabiki wa Simba unaenda Misiri kufanya nini?
Una uwezo wa kushinda goli mbili kule?
Yanga akitoa draw ya magoli ameenda...
Serikali iko sahihi kuweka nguvu huko.
Maana tumewahi pia kumfunga kwao..