fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
sio yaonyesha ni yaoneshaNyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali,hii timu inapendelewa na serikaki ,mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa,ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.