Serikali yaonesha ushabiki wa wazi kwa Yanga kupeleka mashabiki South Africa

Serikali yaonesha ushabiki wa wazi kwa Yanga kupeleka mashabiki South Africa

Yanga waliiomba serikali kwa maandishi ,serikali imejibu kwa maandishi .
Shida ya Simba ni uongozi usio na ubunifu. Chifu Mangungo yupo yupo tu na mashabiki mbumbumbu.
Injia Hersi ana akili sana huyu kijana.
I see. Kama ni hivyo hawatakiwi kulaumu.
 
Achana Naye Huyu Zee la Mandandu
Ni Mtoto wa Kike tena mwenye Umri miaka Chini ya 40 halafu Anakuwa Ananiita Dogo..
Halafu kaanza kule kwenye Jukwaa la Intelligence naona kaamia huku

nisaidie kumuuliza Ameshapata Mume
View attachment 2950731
Haaaaaa umefukua makaburi, nilifunguaga ID kwa Jina la kike na nilitumia kutapelia watu. Nimecheka kama mazuri kumbe mods hawajafuta nyuzi zangu za zamani. 😀😃😄😁😆😅🤣
 
  • Mshangao
Reactions: 511
Haaaaaa umefukua makaburi, nilifunguaga ID kwa Jina la kike na nilitumia kutapelia watu. Nimecheka kama mazuri kumbe mods hawajafuta nyuzi zangu za zamani. 😀😃😄😁😆😅🤣
Wewe Jina lako ni Loveness tunakujua Toka kitambo Mkuu wala sijafukua..

Hakuna mwanaume Anayeweza akaandika Thread kujifananisha na mwanamke na kama siyo shoga...

mwanaume anajiisifu hadharani Kuliwa?
Screenshot_20240401_142636_Chrome.jpg
 
Yanga Wana nafasi??
Kwa Possesion Ipi?
Ndo hiyo ya 74 kwa 26?

Simba waliposses Mpira zana 69 kwa 31..
Tunaamini Tukienda huko Ni chuma tu tunamchapa 2 au tatu kwa moja hoi
Fikirieni upya na mapossesion yenu hayo, posessioni gani mnaisema ya kipa wao kucheza zaidi, kwa mawazo yenu possesion ile ingewapa goli hao ndugu zenu labda wangeamua kujifunga wenyewe. Maana faraja yenu saizi ni possesion, waabieni wakaendelee kupossess
 
Fikirieni upya na mapossesion yenu hayo, posessioni gani mnaisema ya kipa wao kucheza zaidi, kwa mawazo yenu possesion ile ingewapa goli hao ndugu zenu labda wangeamua kujifunga wenyewe. Maana faraja yenu saizi ni possesion, waabieni wakaendelee kupossess
Wiku hii Ikiisha Tutakuja na Jibu moja hapa kama ni kupeana Pole au Kupongezana 🤣🤣
 
Wewe Jina lako ni Loveness tunakujua Toka kitambo Mkuu wala sijafukua..

Hakuna mwanaume Anayeweza akaandika Thread kujifananisha na mwanamke na kama siyo shoga...

mwanaume anajiisifu hadharani Kuliwa?View attachment 2950757
Mmh, hata kama napenda wanawake wa Tanga hapa naanza kuwa na wasiwasi, huyu anaeliwa kimasikhara atakuwa mke anaejitambua kweli huyu?

Au na mimi nimle kimasihara tu halafu nimuache!
 
Ficha ujinga yanga ndio waliomba sapot kutoka serekalini

Na nyie Simba ombeni
Waambie ukweli!

Hiyo kazi ya kuomba support ya Serikali... Timu yoyote inaweza kuomba! Hata ihefu...

Ndio kazi ya kitengo cha habari na mawasiliano... Labda masharubu hawalijui hilo!
 
Back
Top Bottom