DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Na sisi Tunaweza kumfunga Goli moja Ahly kwao..Yanga wanastahili, Shabiki wa Simba unaenda Misiri kufanya nini?
Una uwezo wa kushinda goli mbili kule?
Yanga akitoa draw ya magoli ameenda...
Serikali iko sahihi kuweka nguvu huko.
Kwa kikosi hiki hiki?Na sisi Tunaweza kumfunga Goli moja Ahly kwao..
Maana tumewahi pia kumfunga kwao..
Changamoto inakuja kwamba, Ahly ni wazoefu sana, halafu waarabu wana kasumba ya kufanya hata figisu ili tu wasifungwe kwao..Yeah nakubaliana na wewe kabisa ila kwa Mpira wa Alahly labda kama akibadilika ila kwa mpira ule simba akibadilika na akaongeza mashambulizi anapata goli si chini ya moja..
Hapo hakuna Figisu mkuu Wakiharibu mchezo wanakuwa disqualify..Changamoto inakuja kwamba, Ahly ni wazoefu sana, halafu waarabu wana kasumba ya kufanya hata figisu ili tu wasifungwe kwao..
Hiyo ndio shida.
Ndyo mkuuKwa kikosi hiki hiki?
😀😃😃 Serikali ina unafiki , sa hivi inaonyesha rangi yake halisi .mimi siniliwakataza ushakunaku wa nchi yenu kuwa hakuna swala la solidarity
Achana Naye Huyu Zee la MandanduWewe Mandandu usimwite dogo DR bhana hebu kuwa na adabu. DR msamehe bure.
kimkakati al ahly alikuja kutafuta sare ushind haukuwa kipaumbele chake ndo mana uliona mda mwingi wanakabia chini..Possesion alizozifanya simba asitarajie kule atazifanya pia kifupi simba ameshatolewa ajipange next timeYeah nakubaliana na wewe kabisa ila kwa Mpira wa Alahly labda kama akibadilika ila kwa mpira ule simba akibadilika na akaongeza mashambulizi anapata goli si chini ya moja..
Kama ulikuwa hujui serikali ina mkono kwenye mafinikio ya timu kubwa hapa nchini. Lakini pia inaangalia team ipi yenye uelekeoNyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali,hii timu inapendelewa na serikaki ,mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa,ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Labda maajabu yatokee maana mpira una maajabu yake...Ndyo mkuu
Kweli shida la Simba ni UongoziLabda maajabu yatokee maana mpira una maajabu yake...
Kuna wakati Chelsea mbovu iliwahi kumtoa Barcelona ya moto...
Tusubiri maajabu ila kwenye issue ya uwezo lazima tukubali uwezo hatuna...
Tufanye usajili mzuri tuache janja janja.
Ayayayayaa, napenda kweli wanawake wenye asili ya Tanga.Achana Naye Huyu Zee la Mandandu
Ni Mtoto wa Kike tena mwenye Umri miaka Chini ya 40 halafu Anakuwa Ananiita Dogo..
nisaidie kumuuliza Ameshapata Mume
View attachment 2950731
Wanaolipiwa ni wale walioonyesha ushiriki kwa kulipa kabla. Na nyie lipeni kwanzaNyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali,hii timu inapendelewa na serikaki ,mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa,ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Yanga waliiomba serikali kwa maandishi ,serikali imejibu kwa maandishi .I see, siyo sawa. Hata Simba nako wapeleke mashabiki 40. Siyo vizuri kupendelea, hizi timu zinawskilisha nchi yetu wote.