Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Msiwe na ujuaji sana Mazee.


Wizara haiwez kukulupuka kupiga marufuku kitu Kwa Hisia tu.

Hapo wamepitia vitabu vyote kupitia tume iloundwa na Wizara na wakajiridhisha
 
Wewe ni mpumbavu kabisa huwezi hata kutambua maudhui ya kitabu, wewe wataka wataje neno ushoga ndo ujue kwamba wanaeneza ushoga.
Ndio nieleze wewe sasa, A Diary of a Wimpy Kid ina maudhui gani yaliyofanya yaharibu maadili ya Mtanzania?
 
Acha ukoloni!! Kwahiyo mtoto kusikiliza bongo flavor ni ukosefu wa maadili?
Hapana maana yangu hiyo miziki mingi ina maudhui ya ngono na matusi, "inama nisafishe mtaro... una rambo mi nina mua nitakupwelepeta....kausikilize wimbo wa Lina na Dogo janja.... hizo singeli ndio usiseme"
 
Nimegundua watu hawasomi ila wanakurupuka mfano kuna mtu kaweka soft copy hapo juu hali ya kua na yeye anaamini hicho kitabu kinakiuka maadili lakini ukisoma huoni hicho kitu [emoji3] sasa tatizo ni lugha au ushabiki hadi watu wanajitia upofu
Mtanzania anajua ubishi na sio fact.... ndio maana tupo nyuma nyuma tu kwenye kila jambo kasoro Umbea
 
Ndio nieleze wewe sasa, A Diary of a Wimpy Kid ina maudhui gani yaliyofanya yaharibu maadili ya Mtanzania?
Kama unajua kiingereza translate haya maneno unieleza kama ni mazuri kwa watoto wako.
 
Wewe ni mpumbavu kabisa huwezi hata kutambua maudhui ya kitabu, wewe wataka wataje neno ushoga ndo ujue kwamba wanaeneza ushoga.
Mbona umekasirika sana ushajua umeingizwa mkenge eeh 🤣
Bado hujamjibu huo Ushoga au Maudhui ya Ushoga yapo ukurasa wa ngapi kwenye hicho kitabu cha Wimpy Kid?? Kwanza hata umeshawahi kukisoma kweli au unajiaibisha tu hapa🤔
Lol
 
Kama unajua kiingereza translate haya maneno unieleza kama ni mazuri kwa watoto wako. View attachment 2517046
Hizo kurasa hazipo kwenye a Diary of a Wimpy Kid, kumbe hata hicho kitabu hukijui halafu unajitia ujuaji usokua na maana, ungetulia ueleweshwe dada makasiriko hayajengi,

Mtoto anaeleweshwa kuutambua mwili wake kulingana na mabadiliko ya mwili (its for teenagers)
 
Kama unajua kiingereza translate haya maneno unieleza kama ni mazuri kwa watoto wako. View attachment 2517046
Sasa hiyo ni Diary ya Wimpy Kid kweli? Hebu acha utani wako ndio maana nikakuuliza hicho kitabu umekisoma kweli au unakurupuka?.... haya nitajie jina la kitabu ulichoweka hiyo kurasa,

Btw, kuna mtu huko juu ameweka soft copy ya Wimpy Kid kipitie
 
Tunakumbushana sana mtasikia matetemeko ndio hayo ya Syria na Uturuki.

Vita ndio hizo Russia, Ukraine, Congo na sasa USA anatunishiana misuli na China.

Manabii wa uongo ndio hao wamejazana kila kona.

Upendo utapoa, ndio unaona kila mwanasiasa anaiba na wengine wanamuonea wivu Babu Tale na Udaktari wake.

Atakayevumilia hadi MWISHO ndiye atakayeokoka.

Prof. Mkenda kazana kuwalinda watoto ijapokuwa Dunia inakwenda kasi sana na muda hautusubiri.

Mungu wa mbinguni akutie nguvu ya ziada Adolf.
 
Ni Waziri yupi aliyewahi kuviruhusu kutumika? Hii Wizara mbona siku hizi pilika pilika ni nyingi sana kuna nini?
 
Mila, desturi na tamaduni za Tanzania sio sheria.

Marufuku ya Waziri pia sio sheria.

Nchi inapaswa kuongozwa na utawala wa sheria.

Tunataka sheria.
Ni kitu kidogo tu, tutaipelekea mswada Bunngeni ili iwe sheria; kama siyo sheria kwa sasa. Si unataka utawala wa sheria?
Kuna siku mtu atakuja kwako halafu atakata kichwa mtu kwa upanga halafu utaanza kumtetea kwa kusema kuwa haipo sheria inayomkataza mtu kukata kichwa mtu mwingine kwa upanga, isipokuwa kuna sherai inayokataza kuua
 
Hii vita viongozi njaa wa Tz hawaiwezi,hayo nimaigizo matupu,ushoga bongo hawawezi kuugusa,alishindwa jpm ataweza huyu mtembeza bakuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngojaa wapate onyo kutoka nje, utawaona na warakaa mrefuuu. Utaskia ni msimamo wa waziri pekee sio msimamo wa serikali.

Huwa nachekaga sanaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…