Hivyo vitabu havina chochote cha kufanya serikali izuie, wameona fake version zilizowekwa mitandaoni tu.Kwa sasa wacha wazuie pale wanapoweza huku wakitafuta njia mbadala ya kudhibiti huko kwenye blogs and websites.
At least wameanza kuchukua hatua
nataka katazo lenye nguvu ya kisheria, sio tamko la desturi na utamaduni wa waziri.Kwani wewe wasema je? Hivyo vitabu viwachwe? Wewe hujui mamlaka na wajibu wa wizara ya elimu au unabisha kwabb unamiliki simu janja.
Wizara Ina muda wa kufanya uhakiki? hapo ni kukurupuka tu na kupiga marufuku kabla Mambo hayajawa sio Mambo.Serikali ya Tanzania imeingia mkenge kukubali fake news ya "Diary of a Wimpy Kid" kilichobadilishwa na wahafidhina na kusambazwa Whatsapp...
Hata ukimuomba mtoa mada akupe alipopiga picha hanaHizo ndizo fake version nilizosema.
Watu wamelinganisha na vitabu halisi wakakuta hakuna vitu kama hivyo.
Kwa hiyo tumepiga marufuku vitabu kwa kuangalia fake news za Whatsapp?
Yeye kakopi na kupasteCONTEXT IS EVERYTHING!!
Msiwe mnapenda kubeba vitu bila kufanya uchunguzi kidogo...
Safi kabisa, wamagharibi wanatumia nguvu kubwa mno kwa kushirikiana na vibaraka wao kupandikiza "mbegu mbaya" kwa watoto wa kiafrika. Tusipokuwa makini tutakuja kuwa na jamii ya ovyo sana baadae.Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda leo February 13, 2023 kwa Mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 59 cha sheria ya Elimu Sura 353 amepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vya ziada katika Shule za umma na binafsi nchini...
Acha upumbavu wewe, Mtumishi yupi wa kikristo aliyewahi kukupa au kumpa mwanao msaada wa kitabu cha ushoga!? Hao waarabu wanaofukunyua mitaro ya dada zenu walipewa vitabu na nani!? Chuki ikizidi huzaa ujinga.Vinatolewa bure na mashirika ya magharibu hususani kutoka Marekani, wengi kujifanya watumishi wa kikuristo wanatoa kama msaada, kagueni ma begi yawatoto wenu, wasiengie kwenye hilo dimbwi la ushoga
Series pia mzifungie, premier league pia wasiangalie maana Ina support LGBT, pia wasiangalie cartoon za nje, pia miziki wasiangalie, kiufupi huwezi zuia kitabu ukaachia series, miziki, na google!!Vinatolewa bure na mashirika ya magharibu hususani kutoka Marekani, wengi kujifanya watumishi wa kikuristo wanatoa kama msaada, kagueni ma begi yawatoto wenu, wasiengie kwenye hilo dimbwi la ushoga
Mtoto Gani anasoma vitabu Tanzania? Mbona google hawafungii au premier league wanaopromote kabla ya Kila mechi? Double standards haiwezi tusaidia kitu.Safi kabisa, wamagharibi wanatumia nguvu kubwa mno kwa kushirikiana na vibaraka wao kupandikiza "mbegu mbaya" kwa watoto wa kiafrika. Tusipokuwa makini tutakuja kuwa na jamii ya ovyo sana baadae.
Wazazi tujitahidi kukagua vitabu na madaftari ya watoto wetu kila tupatapo nafasi.
Hivyo vitabu ukitafuta hutakuta hayo maudhui maana nimejaribu google sana ila sijayaona.Series pia mzifungie, premier league pia wasiangalie maana Ina support LGBT, pia wasiangalie cartoon za nje, pia miziki wasiangalie, kiufupi huwezi zuia kitabu ukaachia series, miziki, na google!!
Badala wafundishe watoto ubaya wa mambo wao wanaficha taarifa kabisa mwisho wa siku watoto Wanaenda tafuta uncontrolled knowledge huko Mitandaoni!!
Unajua hata kilichoandikwa huko ndani?Safi
Yeah mkuu hivyo vya diary of a wimpy kid havina mambo ya ushoga ila watu wanachangia Uzi kwa mihemko.Hivyo vitabu ukitafuta hutakuta hayo maudhui maana nimejaribu google sana ila sijayaona.
Wizara ilitakiwa ioneshe hivyo vitabu na picha zilizomo
Kwa kuvizuia hivyo vitabu angalau serikali imeonesha kuwajibika, hatuwezi kuacha huo uchafu uingizwe kwenye mfumo wa elimu ya watoto wetu eti kwakuwa google na EPL umeruhusiwa!Mtoto Gani anasoma vitabu Tanzania? Mbona google hawafungii au premier league wanaopromote kabla ya Kila mechi? Double standards haiwezi tusaidia kitu.
Vitabu Gani vipo kwenye syllabus hapo? Nachosema kama mmeamua kuzuia content za magharibi basi muache vyote sio kuchagua Moja na kuacha njia zingine 10.Kwa kuvizuia hivyo vitabu angalau serikali imeonesha kuwajibika, hatuwezi kuacha huo uchafu uingizwe kwenye mfumo wa elimu ya watoto wetu eti kwakuwa google na EPL umeruhusiwa!
Kwani we unasemaje, viachwe viendelee kutumika!!??
Chadema watanuna.Mashoga wanataka kuleta mambo yao ya kisenge
Binafsi naona hilo katazo ndio litasababisha vitabu hivyo kusomwa zaidi ili kujua nini tatizo lililosababisha vizuiwe.Hivyo vitabu havina chochote cha kufanya serikali izuie, wameona fake version zilizowekwa mitandaoni tu...