Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kumbe ilikua Fake news ya mitandaoni 😳 nimecheka kwa nguvu hadi nimeamsha waliolala,Puhleeezz!!!
Sini mbwembwe tu na kufuata mkumbo baada ya kuona hiyo fake news inatrend online.
Na walivyo hawana akili hata hawajafanya research yoyote kuthibitisha hizo tuhuma ni za kweli, (maana kama wangefanya hivyo wangegundua ni uongo mtupu) wamelibeba tu kama lilivyo.
Sasa itakuaje jamani mbona aibu hii