Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Mungu atusaidie hiki kizazi. Haswa sisi wenye watoto wa kiume🙌🏼 kila akirudi unamuuliza maswali tena kiupole ili asikufiche kitu. Malezi sasa yamebadilika sana inabidi mzazi uwe friendly mno
Huku kimara Kuna bwana ana kijana wa kiume Yuko 20s mwanzoni,anamshawishi kutafuna mbususu na humpa chumba chake akipata Dem,humwambia 'mi nataka ule mbususu ili usisukumwe ugali we fala'..wazazi tumekua na hofu na mtoto wa kiume mpaka basi
 
Huku kimara Kuna bwana ana kijana wa kiume Yuko 20s mwanzoni,anamshawishi kutafuna mbususu na humpa chumba chake akipata Dem,humwambia 'mi nataka ule mbususu ili usisukumwe ugali we fala'..wazazi tumekua na hofu na mtoto wa kiume mpaka basi
Bora mtoto aniletee wachumba ntaelewa
 
Hadanganyi hivyo vitabu vya wimpy kids nimevisoma versions zote, havina issue ya ushoga,,ila vilivyokaa vinazungumzia issue ya ukuaji na barehe openly.kwa hiyo kwa kusoma vinahitajika visomwe na mtoto ambaye amekwishajitambua na barehe tayari.labda vijana kuanzia form 2 kuendeleza.lakini Kama wamevipiga marufuku kwa issue za ushoga wamebugi mbaya, Tena kwa wapenda vitabu ,story yake Ni nzuri mmno hazichoshi kusoma
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda leo February 13, 2023 kwa Mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 59 cha sheria ya Elimu Sura 353 amepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vya ziada katika Shule za umma na binafsi nchini.

Vitabu vya 16 vilivyopigwa marufuku vimekutwa katika baadhi ya Shule si kama vitabu vya kiada wala ziada ambapo maudhui yake yanakizana na mila, desturi na utamaduni wa Mtanzania na yanahatarisha ukuaji wa Wanafunzi ikiwemo vinavyofundisha mapenzi ya jinsia moja.

Vitabu vilivyopingwa marufuku kutumika na kuwepo shuleni ni Diary of a Wimpy Kid, Diary of a Wimpy Kid -Rodrick Rules, Diary of Wimpy Kid - The Last Straw, Diary of Wimpy Kid-Dog Days, Diary of a Wimpy Kid The Ugly Truth, Diary of a Wimpy Kid -Cabin Fever.

Vingine ni Diary of a Wimpy Kid - The Third Wheel na Diary of a Wimpy Kid - Hard Luck, Diary of a Wimpy Kid - The Long Haul, Diary of a Wimpy Kid -Old School, Diary of a Wimpy Kid -Double Down, Diary of a Wimpy Kid-The Gateway, Diary, Diary of a Wimpy Kid-Diper Overlode.

Vitabu vingine vilivyopigwa marufuku kutumika shuleni ni Is for TANSGENDER ( you know best who you are!), Is for LGBTQIA ( find the words that make you you) na Sex Education a Guide to life.

View attachment 2516384

Prof.Mkenda amesema, uwepo wa vitabu hivyo pia unahatarisha malezi bora ya watoto na kwa shule ambayo itabainika kuendelea kutumia vitabu hivyo mara baada ya katazo la Serikali itachukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu na kisheria ikiwemo kufutiwa usajili wake.

“Nahimiza wazazi mkague mabegi ya wanafunzi kuhakikisha vitabu hivi havitumiki nyumbani; ukaguzi na ufuatiliaji huu ni endelevu ili kubaini kama vitabu kama hivi hipo katika shule tuweze kichukua hatua,".Profesa Mkenda”

Prof. Mkenda ametoa rai kwa watanzania kupiga namba 0262160270 ya mezani na 0737 962965 ya mkononi ili kutoa taarifa ya uwepo wa vitabu hivyo shuleni na kwamba hatua kali zitachukuliwa kwa shule yoyote itakayokutwa na vitabu hivyo ikiwemo kufutiwa usajili
mbona sisi wakati tunasoma vitabu hivyo havikuwepo?
 
Wewe kama mzazi umechukua hatua gani kuwasaidia hao watoto? Au ulipo sikia umesikia unasubiria uje uulizwe halafu itasaidia nini?

Kumbe tunafanana na viongozi wetu,..... Vitabu viliruhusiwaje kuingia na kutumika bila kuangalia maudhui? Na alie ruhusu ni nani na anachukuliwa hatua gani kwa uharibifu aloufanya?


Vinginevyo naona hili katazo limekuja “just for the sake of formality”, ni kwa sababu wanawajibika kukemea kwa mujibu wa katiba na sheria lakini kiuhalisia vigezo na masharti vina play part yake ipasavyo.

Hii vita tumeshashindwa hata kabla hatujaanza. Zamani sana!

Hapa kuchomoka ni kwa uimara wa Nafsi, Imani na Mungu mwenyewe.
 
Bado shida ipo kubwa. Serikali ina uwezo wa kufanya chochote ikiamua.

Mashoga wanajulikana hivi serikali ikiweka adhabu ya yeyote anaejitangaza mahusiani ya jinsia moja miaka 30 kifungo hili swala si lina weza kupungua sana?

Serikali ona mitandaoni mtu anajitangaza yeye ana mahusiano ya jinsia moja na hamsemi chochote?

Sawa hivo vitabu tunawashukuru kuzuia lakini hamjagusa sehemu ambayo ndo kichochezi cha upuuzi.

Mashoga na wasagaji washughulikiwe kwa vitendo sio kuweka tu sheria ambayo haina vitendo. Mtu akifungua acount kwenye social media ifungwe lakini pia wamiliki wa mtandao huo wapewe utaratibu kwamba mtu akiruhusiwa na mtandao wenu kufungua acount ya kuhamasisha upuuzi huo mtandao tunaufungia Tz.

Hivi hii haiwezekani? Tatizo hii nchi tegemezi sana. Ila mimi nadhani serikali ina uwezo wa kuwinda hawa wapuuzi na ikafanikiwa.

Mfano mzuri juzi kombe la dunia mbona waliweza kuzuia mashoga kuingia? Serikali mjitahidi nyinyi mna nguvu. Kizazi cha mashoga kina kuwa kwa kasi jamani eti nao wanafanyaga sherehe zao huko si ndo pa kuwawinda na kuwasweka ndani?


Vijana wako mitaani hawana chochote cha kufanya , hizi NGOs tunazikaribisha zinawapa chochote cha kufanya vijana wetu na hatuwezi kuzitimua nchi zao zinatupa mikopo yenye “masharti nafuu”!

Vijana tumewawekea mazingira magumu ya kuinuka kiuchumi, Makusudi au Bahati mbaya?!?

All roads lead to ….
 
Bado shida ipo kubwa. Serikali ina uwezo wa kufanya chochote ikiamua.

Mashoga wanajulikana hivi serikali ikiweka adhabu ya yeyote anaejitangaza mahusiani ya jinsia moja miaka 30 kifungo hili swala si lina weza kupungua sana?

Serikali ona mitandaoni mtu anajitangaza yeye ana mahusiano ya jinsia moja na hamsemi chochote?

Sawa hivo vitabu tunawashukuru kuzuia lakini hamjagusa sehemu ambayo ndo kichochezi cha upuuzi.

Mashoga na wasagaji washughulikiwe kwa vitendo sio kuweka tu sheria ambayo haina vitendo. Mtu akifungua acount kwenye social media ifungwe lakini pia wamiliki wa mtandao huo wapewe utaratibu kwamba mtu akiruhusiwa na mtandao wenu kufungua acount ya kuhamasisha upuuzi huo mtandao tunaufungia Tz.

Hivi hii haiwezekani? Tatizo hii nchi tegemezi sana. Ila mimi nadhani serikali ina uwezo wa kuwinda hawa wapuuzi na ikafanikiwa.

Mfano mzuri juzi kombe la dunia mbona waliweza kuzuia mashoga kuingia? Serikali mjitahidi nyinyi mna nguvu. Kizazi cha mashoga kina kuwa kwa kasi jamani eti nao wanafanyaga sherehe zao huko si ndo pa kuwawinda na kuwasweka ndani?
Ushoga uko mitaani, Magerezani ndio mchezo wa kawaida, na baadhi ya Maboding ya wanaume watupu, .Ushogaunatengenezwa kwenye mitandao ya kijamii TIK TOK na kuna Taasisi maalumu zinawalipa wahusika fedha nyingi li kuhamasihs USHETANI HUU hasa kutoka sweden na scandnavian countries.na Marekani
 
Mimi Napendekeza Islamic sheria Itumika ya Kuwanyonga mashoga hadarani. kwani wanawadhalilisha wanaume na kuwazibia riski wanawake za Ngono endelevu yenye tija kwa Binadamu.
 
Mimi Napendekeza Islamic sheria Itumika ya Kuwanyonga mashoga hadarani. kwani wanawadhalilisha wanaume na kuwazibia riski wanawake za Ngono endelevu yenye tija kwa Binadamu.
Hao Mashoga wanajifanya wenyewe? Eti wanadhalilisha Wanaume nyie si ndio mnaoanza kuwaharibu wakiwa wadogo halafu sasa hivi mnajifanya kuumia
 
Fake news unaelewa iko wapi?

Wewe ushawahi kuvisoma? Huvitaki kwa nini?

Siku hizi watu wana download vitabu mitandaoni, wanasoma kwenye tablets.

Huko nako utazuia?

Utazuia na internet nayo watu wasisome websites na blogs usizotaka?
Achaga ujuaji wa kisengerema kwenye mambo mazito. Kama una asili ya kubinuliwa, usitake kuambukiza vizazi vijacho.
 
Serikali ya Tanzania imeingia mkenge kukubali fake news ya "Diary of a Wimpy Kid" kilichobadilishwa na wahafidhina na kusambazwa Whatsapp?

Kama ni hivyo, Wizara ya Elimu itakuwa kichekesho kikubwa sana.

Kuna siku page moja ya moja ya hivi kitabu ilikuwa inasambazwa Wwhatsapp, ina maandishi ya kushawishi watoto kufanya ngono.

Sasa mwenzetu mmoja akashangaa sana, kwa sababu mtoto wake anavipenda sana hivi vitabu (yupo Uingereza).

Akakichukua kile kitabu, akatafuta ule ukurasa, akakuta ukurasa wa kwenye kitabu na ukurasa ulele unaosambazwa Wwhatsapp ni vitu viwili tofauti.

Tukajua hizi ni kampeni za fake news.

Sasa najiuliza sana, kama habari hizi ni kweli, je, wizara imefanya uhakiki kwenye vitabu?

Au imetumia maandishi yaliyoonekana Whatsapp na kukurupuka?
Wizara imedanganywa hasa kwenye Diary or Wimpy Kid.

And am sure tupo kwenye group moja la whattsap.

Hii ishu ilijadiliwa kwenye hilo group na huyo jamaa akatupa evidence.
 
Kama bado unaamini Diary of a Wimpy Kid ina Ushoga basi hasara ni juu yako
Nimegundua watu hawasomi ila wanakurupuka mfano kuna mtu kaweka soft copy hapo juu hali ya kua na yeye anaamini hicho kitabu kinakiuka maadili lakini ukisoma huoni hicho kitu [emoji3] sasa tatizo ni lugha au ushabiki hadi watu wanajitia upofu
 
Pia nataka kujua majina ya vitabu vya 14, 15 na 16 na vyenyewe nivitafute nivisome, "is for Tansgender" sijui walitaka kumaanisha nini hapo [emoji1]
 
Haina maudhui ya ushoga wala nini ila tu labda ni ukorofi na utukutu ambapo mtoto anaweza ku absorb vitu anavyoviona au anavyovisoma akidhani labda bullying ni sawa n.k,

Nimeshangaa sana hivyo vitabu kua Banned kama ni maadili nadhani watoto wanaangalia tamthilia za watu wazima za kibongo, wanaangalia mziki ya singeli, wanaangalia na kusikiliza bongo fleva lakini hakuna Mtu anakemea.
Acha ukoloni!! Kwahiyo mtoto kusikiliza bongo flavor ni ukosefu wa maadili?
 
Haya wewe unayejua kiingereza hebu nioneshe mstari kwenye hicho kitabu unaozungumzia Ushoga
Wewe ni mpumbavu kabisa huwezi hata kutambua maudhui ya kitabu, wewe wataka wataje neno ushoga ndo ujue kwamba wanaeneza ushoga.
 
Back
Top Bottom