Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Bado shida ipo kubwa. Serikali ina uwezo wa kufanya chochote ikiamua.

Mashoga wanajulikana hivi serikali ikiweka adhabu ya yeyote anaejitangaza mahusiani ya jinsia moja miaka 30 kifungo hili swala si lina weza kupungua sana?

Serikali ona mitandaoni mtu anajitangaza yeye ana mahusiano ya jinsia moja na hamsemi chochote?

Sawa hivo vitabu tunawashukuru kuzuia lakini hamjagusa sehemu ambayo ndo kichochezi cha upuuzi.

Mashoga na wasagaji washughulikiwe kwa vitendo sio kuweka tu sheria ambayo haina vitendo. Mtu akifungua acount kwenye social media ifungwe lakini pia wamiliki wa mtandao huo wapewe utaratibu kwamba mtu akiruhusiwa na mtandao wenu kufungua acount ya kuhamasisha upuuzi huo mtandao tunaufungia Tz.

Hivi hii haiwezekani? Tatizo hii nchi tegemezi sana. Ila mimi nadhani serikali ina uwezo wa kuwinda hawa wapuuzi na ikafanikiwa.

Mfano mzuri juzi kombe la dunia mbona waliweza kuzuia mashoga kuingia? Serikali mjitahidi nyinyi mna nguvu. Kizazi cha mashoga kina kuwa kwa kasi jamani eti nao wanafanyaga sherehe zao huko si ndo pa kuwawinda na kuwasweka ndani?
Kwani wao serikali hawajui au hawaoni? Wanaanzaje sasa kuwawinda? Msaada na mkopo unadhani inakuj bureee??

Subirini kuambiwa ushoga ni ruksa kila mtu a deal na kizazi chake, ndo mtajua hamjui.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Prof. Mkenda anaweza kujitahidi sana kwa nafasi yake ila Taifa kama Taifa ikaruhusu huu Ushetani kwa kupitia Masharti ya Misaada

Ninakumbuka vizuri ile barua ya serikali kukanusha kupinga haya mambo baada ya Makonda kupinga tena serikali ilisema ule ulikuwa ni msimamo wa Makonda tu na sio wa serikali...UNAFIKI HUU

Serikali hasaa ndio ilipaswa ianze kupinga huu Ushetani na wote watakaoonesha kuasisi au kusupport wachukuliwe hatua kali.
Boraaa useme wee, huyu waziri atajikuta yuko pekee yake, muambieni akae kwa password. Serikali itamkana soon.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu tukidharauliwa na wenye Akili duniani na Kutuita Majuha (Fools) tunakasirika.

Wizara ipo, Serikali ipo, Mamlaka ipo, Wadau wapo na Watanzania tupo halafu Kinaingia Kitabu cha Kwanza hadi cha Kumi na Sita tupo tu Kimya leo Mambo yameshaharibika ndipo tunashuka.

Hili Taifa linahitaji Maombi makubwa.

Hovyo kabisa!
 
Ni kitu kidogo tu, tutaipelekea mswada Bunngeni ili iwe sheria; kama siyo sheria kwa sasa. Si unataka utawala wa sheria?
Serikali wameshanijibu.

Wametoa taarifa yenye kifungu cha sheria.

Wamejifunza, siku nyingine watazingatia kwenye marufuku zao kutaja sheria, ziwe marufuku za ugei, mikutano, marufuku kukejeli suti inayompwaya Rais, watu wa mikoani marufuku kuingia D'Salaam, marufuku kufanya jogging na t shirt za Katiba Mpya, marufuku kumsalia kwa Mungu mwanasiasa anaekaribia kukata pumzi kwa kutwangwa risasi...

Yote haya wakitoa tamko watajua kuna wananchi - hata tukiwa wawili nchi nzima - tutadai sheria.
 
Yaani anaviondoa mashuleni na kuomba wazazi waviondoe majumbani, huku bado vipo bookshops na labda kwenye library zisizokuwa za shule? Au bookshops hazitapata wateja kabisa na vitabu hivyo kutokomea?

Hivi hao wazazi na walimu hawakuvisoma kabla, ukiacha vile vyenye title kabisa?
 
Yaani anaviondoa mashuleni na kuomba wazazi waviondoe majumbani, huku bado vipo bookshops na labda kwenye library zisizokuwa za shule? Au bookshops hazitapata wateja kabisa na vitabu hivyo kutokomea?

Hivi hao wazazi na walimu hawakuvisoma kabla, ukiacha vile vyenye title kabisa?
Yeye amejitahidi kwa nafasi yake lakin bado kwenye e books vitakuwepo

Ngoja tuone Nape Nauye atafanyaje

Dunia inajibadilisha kwa haraka Kuku wa Mayai hasa Chotara wanapandana wenyewe kwa wenyewe

Wazungu hatari Sana!
 
Mimi siko na wewe kwa namna ulivyohusisha matetetemeko ya uturuki vita ya ukrain nk kuwa ndo yale yaliyomo kwenye unabii; Kwani vita vimeanza leo? Matetemeko ndo yameanza leo? Si vilikuwq tangu enzi na enzi?? Wanasiasa wameanza leo? Mbona hapakuwa na mwisho wa dunia?
 
Mimi siko na wewe kwa namna ulivyohusisha matetetemeko ya uturuki vita ya ukrain nk kuwa ndo yale yaliyomo kwenye unabii; Kwani vita vimeanza leo? Matetemeko ndo yameanza leo? Si vilikuwq tangu enzi na enzi?? Wanasiasa wameanza leo?? Mbona hapakuwa na mwisho wa dunia??
Haya!
 
Mbatizaji umeona isiwe tabu unamkubalia kila kitu [emoji3][emoji3]
Alikuja na habari za watu wa vijiwe vya gahawa ndo maana kaelewa mapema. Nami nimpongeze kwa hilo, asiwatie watu hofu kwa kutumia maandiko ambayo yeye mwenyewe hajayaelewa..
 
Back
Top Bottom