Mbona wameruhusu mabasi saa nane na nusu usiku na hakuna tatizo. Ally's na Katarama walipokiuka masharti walifungiwa.Hii nzuri sana kwa kwa jamii inayojali UHAI, UTU na ubinadamu.
Ila kwa akili za madreva wetu ukichanganya na ubovu wa miundombinu na Mabasi tutegemee BOMU la kupoteza ndugu, marafiki, wapendwa wetu au sisi wenyewe!
Kiufupi kali ni kifo akuna cha mpango wa Mungu au kurogana.
Mliopewa mamlaka tumieni akili zaidi kuliko hisia
Utaratibu utatolewa kesho ya namna ya kusafiri. Halafu sio kila basi litasafiri usiku. Ni Kama Sasa Kuna mabasi yameruhisiwa kuondoka kuanzia saa tisa usiku. Ila siyo yote.Mabasi ya Arusha-Kigoma yajiandae kutekwa kwenye msitu wa malagarasi.
Alafu Kampuni za Coast Line na Kiazi Kitamu mnakabidhi Basi kwa dereva mmoja kuendesha umbali mrefu kiasi hicho, tujiandae kuona mengi.
Jeshi la polisi limeweka utaratibu wa Naman ya kusafiri usiku.Mi naona watu kuanza kuvulishwa nguo hadharani nakuporwa mali na vi Infinix mixer iphone zao...😂
Hapana, ajali hazitakuwepo. Mbona Rwanda usafiri masaa ishirini na nne na hakuna shida?. Sisi tunaogopa Nini?SAA 1 usiku natoka DAR nafika mwanza SAA 3 asubuhi hii Safi sanaaa.....Ila ikitokea ajali itakuwa bus zima watakufa
Tatizo watu hawafuatilii, wenyewe wanawaza ajali. Kuna mabasi yanatoka Mwanza mpaka Mbeya yanasafiri usiku kucha.Hii huduma mbona ipo kitambo, mimi nimesafiri several times na bus moja sijui linatokea Uganda au Sirari, ila linaendeshwa na waarabu koko fulani mirungi sana kwa kama miaka mitatu nimekuwa napanda bus hilo saa 4 usiku pale Dodoma naingia Dar 12 au 11 alfajiri
Kifo mkono bro nishawahi panda gari kutoka Kilimanjaro mpaka Iringa ile Gari tulienda kuzuiwa Mikumi tusiendelee na Safari tukalala pale Ila Gari yenyewe spana MKONONI matengenezo kila baada ya kilometers tulifika tumechoka balaa alafu vituko njiani vilikua vingi balaa, usije ukadhani unabishana na mtu ambae hasafiri usiku usiku una Mambo meusi meusiIla watanzania tupo very negative. Tunawaza mabaya tu. Mbona mabasi yameruhisiwa kusafiri saa tisa usiku na hakuna shida. Tuangalir mambo chanya sio hasi pekee.
Hili mmwagwe vizuri,
Shtukeni.
Nakuelewa mkuu, pole Sana. Ila kwa utaratibu wa Sasa basi Kama Hilo halitasafiri usiku.Kifo mkono bro nishawahi panda gari kutoka Kilimanjaro mpaka Iringa ile Gari tulienda kuzuiwa Mikumi tusiendelee na Safari tukalala pale Ila Gari yenyewe spana MKONONI matengenezo kila baada ya kilometers tulifika tumechoka balaa alafu vituko njiani vilikua vingi balaa, usije ukadhani unabishana na mtu ambae hasafiri usiku usiku una Mambo meusi meusi
mengi yaan Gari inabidi lioshwe na Holly water kabla ya Safari
Ni kosa ambalo linaweza kuja kusababisha ajali nyingi sana. Attention span ya ubongo wa mwanadamu ina ukomo wake. Kwa tunaofundisha tunajua kuwa huwezi kumfundihan mwanafunzi mfululizo kwa saa mbili ukaamaini kuwa kweli umefundisha, kila baada ya dakika hamsini mpe mapumziko hata ya dakika nne tu.
dereva wa basi akikaa kwenye usukani kwa zaidi ya masaa mawili mfululizo usiku kuna chance kubwa sana ya kuangusha basi hilo na kuua watu. Wakitaka kuhalalisha safari za masaa 24 basi waweke utaratibu wa madereva wawili kwenye basi pamoja na kitanda cha dereva kupumzikia kama ambavyo marubani wa safari ndefu wanavyokuwa watatu kwa ajili ya kuepenaza zamu za kuendesha chombo.
Tusiwaze kufa tu, Kuna mazuri mengi Sana. Na ndio maendeleo hayo. Na nadhani Sasa ulinzi utakuwa mkali sabaGizani humo ukistuka ni mochwari 😆😆
Hii ni try n error inafanyiwa kazi hapa, come Dec utasikia wanasitisha coz ajali zimekuwa nyingi.
Nchi nyingi duniani usafiri wa umma ni 24hrs, sisi tuna nini cha tofauti na wengine!? Hata majirani zetu (Kenya & Uganda) usafiri ni 24hrs na bado tunawazidi kwa idadi ya matukio ya ajali! Toka nje ya box.
Tujitahidi kutembea.Yaan unataka kusema Barabara za KE hazina utofauti na Barabara za TZ?
Basi subiria takwimu si zitaandikwa hapa hapa JF tu
huo ni ushamba; iirani Kenya mbona mabasi ni 24 hrs na hakuna tatizoYaandaliwe kabisa maeneo ya kufanyia mazishi
Ni ujinga, watz wengi vichwani ni watupu. Kila jambo wanalipokea kwa mtazamo hasi!Nimegundua watanzania ni waoga Sana. Serikali imeruhusu usafiri wa masaa ishirini na nne, lakini watu wanawaza ajali.
Tujitahidi kutembea.
Kenya na Ug kama una passport yako nauli ni ya kawaida sana.
Huo ugonjwa wa kujichukulia poa na kudharau miundombinu yetu ni kwasababu hatutembei, tumejifungia ndani so tunahisi tuko nyuma kwa kila kitu!
Kwa taarifa yako EA hakuna nchi yenye miundombinu bora (barabara za kuunganisha mikoa) kama Tz.
Wangeanza kwa baadhi ya route fupi kama Moro - Dar, Arusha - Moshi, Tanga - Dar, Mbeya - Iringa, Lindi - Mtwara, Mwanza - Musoma n.k...
Bado kuna maeneo barabara zake sio rafiki kusafiri usiku, haswa zile ambazo hutumiwa sana na malori...
Serikali kama inatamani kuwe na uchukuzi wa watu kwa masaa 24, ilipaswa iimarishe usafiri wa njia ya reli...
Kipindi cha msimu wa mvua hasa masika, utaratibu huu wa kusafiri masaa 24 usitishwe kwa kuwa kuna baadhi ya njia si salama na hata uono wakati huu huwa hafifu...
Kwa wale wanaopenda kusafiri usiku kwa kutumia magari binafsi, huenda ukawa mwisho wa mimbio sababu kuna uwezekano trafiki wakawa wanakaa barabarani hadi mida ya popo...