Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi
We muha wa ujiji hebu jikite kwenye hoja. Kwa nini muuze chakule nje holela alafu baadae muagize toka nje?
Nimemquote mchumi pale ndio maana tuna argue kwa hoja sikutaka ku argue na nyie la saba maana hamna mnalojua ila mmejaa ujuaji tu. So kama elimu Yako ni ndogo nenda jukwaa la mahusiano hizi mada za kitaaluma pita kushoto.
 
Ukiona hivyo wafanya biashara washatoa rushwa mamlaka flani wajilie hela ya masikini.
Mbona hamueleweki.... Si nyie ndio mnalialia kuwa mchele umepanda bei!! Hapo hapo hamtaki mchele wa nje ya nchi Ili bei zishuke sababu ya ushindani?? Kwani mnataka Nini hasa? Mkulima afaidike au walaji mfaidike?
 
Kuruhusu kuuza chakula nje kuna punguza idadi ya machinga na bodaboda kuzagaa mijini, sababu kilimo kitalipa
Hao wakulima wenyewe ukiwauliza kuhusu chakula wanalia kuhusu bei wakati wao ndo waliuza chote.
Na sasa wananunua kwa bei kubwa na pesa hawana.
 
Hivi hapa kuna wakulima 1000 wanaomiliki matreka na mashine kubwa za kulima na kuvuna.
Serikali hii ya ccm kama alama yao ya jembe itosheleze kilimo
1000? Are u kidding? Katafute 500 Kama utapata wanaolima Kama Sumri! HAKUNA hiyo kitu
 
Hao wakulima wenyewe ukiwauliza kuhusu chakula wanalia kuhusu bei wakati wao ndo waliuza chote.
Na sasa wananunua kwa bei kubwa na pesa hawana.
Waliuza kwa walanguzi mapeema baada ya kuvuna! Na walanguzi hao wanakindwa na wanasiasa Tena wenye dhamana kwenye hiyo field!

Jiulize ile nguvu ya kuitetea Bei kupata wanasiasa wanaipata wapi! Msimu huu sio wa mavuno na msimu wa kupanda na palizi, wanakuambia wakulima wanfaidika! Unajiuliza mtu anategemea kilimo Tena kilimo Cha kuangalia jua na kutumia mikono je Ana ghala la kuhifadhi mpaka wakati huu?

Jibu Ni hapana kwakua mkulima anategemea kilimo kujikimu mazao yanapokomaa anauza na Tena anawauzia walanguzi ili apate mahitaji yake lakini fedha kwa ajili ya kuandaa mashamba na pembejeo kwa ajili ya msimu unaofuata!

Wakulima wanapoingia mashambani walanguzi wanaanza kuuza! Na kwakua wanasiasa walishahalalisha kupanda kwa Bei Basi walanguzi na wafanyabiashara wanauza kwa Bei waitakayo huku wakitoa limited stock ili kudhibiti supply!

Kwakua serikali imeona aibu kuwa price zinapaa kwa Kasi huku wafanyabiashara wakisafirisha kwenda nje ikalamba matapishi yake kwamba tutatoa chakula kwenye hifadhi za Taifa, wakati walishasema watanunua kutoka kwa wananchi kwa Bei juu! Kelele zimezidi wamejitokeza Tena kuwa wanaruhusu importation of grains! Haya yanafanyika within a month!

Hii Ni ajabu na nusu!
 
Waliuza kwa walanguzi mapeema baada ya kuvuna! Na walanguzi hao wanakindwa na wanasiasa Tena wenye dhamana kwenye hiyo field!

Jiulize ile nguvu ya kuitetea Bei kupata wanasiasa wanaipata wapi! Msimu huu sio wa mavuno na msimu wa kupanda na palizi, wanakuambia wakulima wanfaidika! Unajiuliza mtu anategemea kilimo Tena kilimo Cha kuangalia jua na kutumia mikono je Ana ghala la kuhifadhi mpaka wakati huu?

Jibu Ni hapana kwakua mkulima anategemea kilimo kujikimu mazao yanapokomaa anauza na Tena anawauzia walanguzi ili apate mahitaji yake lakini fedha kwa ajili ya kuandaa mashamba na pembejeo kwa ajili ya msimu unaofuata!

Wakulima wanapoingia mashambani walanguzi wanaanza kuuza! Na kwakua wanasiasa walishahalalisha kupanda kwa Bei Basi walanguzi na wafanyabiashara wanauza kwa Bei waitakayo huku wakitoa limited stock ili kudhibiti supply!

Kwakua serikali imeona aibu kuwa price zinapaa kwa Kasi huku wafanyabiashara wakisafirisha kwenda nje ikalamba matapishi yake kwamba tutatoa chakula kwenye hifadhi za Taifa, wakati walishasema watanunua kutoka kwa wananchi kwa Bei juu! Kelele zimezidi wamejitokeza Tena kuwa wanaruhusu importation of grains! Haya yanafanyika within a month!

Hii Ni ajabu na nusu!
Wakinunuliwa basi hao sio wanasiasa ni matapeli na chama kinachouza nacho ni Cha kujari tumbo tu
 
Tuleteeni kitumbo

Kwa bei nzuri yaani nakumbuka kilomoja tulikuwa tunakula watu 18 na hutukupata Madhara yoyote so naomba mtuletee huo mchele.
 
Umenikumbusha zamani sana kiongozi. Nimeula huo usipime ila hadi leo cjajuwa huo mchele ni kwanini unavimba kiasi hicho au ndio laboratory material ?😅😅
 
Hao wakulima wenyewe ukiwauliza kuhusu chakula wanalia kuhusu bei wakati wao ndo waliuza chote.
Na sasa wananunua kwa bei kubwa na pesa hawana.
Cha nje huwa bei chini sababu wanalima na mashine, mashine upunguza gharama za kilimo
 
Back
Top Bottom