Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi
Nenda Kahama, Mbeya, Iringa
Idadi wanafika 1000.
Nakueleza unajibu vitu vingine.nilienda nje yani mkulima mmoja anaweza kulisha nchi kwa mwezi mmoja.
Sasa wewe unanijumlishia mikoa ndio wataweza kulisha nchi nzima non stop
 
Serikali kuruhusu kuuza nje chakula kutapunguza idadi ya machinga na bodaboda mijini watamwagika mashambani, maana ni hatari kwa nchi kuwa na bodaboda na machinga wengi kuliko hata idadi ya wateja.
 
Cha nje huwa bei chini sababu wanalima na mashine, mashine upunguza gharama za kilimo
Hizo mashine wanazo hata akina masanja lakini bado bei ni kubwa.
Tatizo ni mbolea na mfuta ya kuendeshea hayo mamashine bei juu
 
Wakulima Wana vibunda,wananunua power tiller na kupanua shughuli zao,na mwezi wa tatu mavuno yanaanza
Wewe, Bashe na Mh. Sana hamjui biashara ya mazao hasa mchele.
Mkulima aliuza mpunga zamani sana wakati wa mavuno kwa bei ndogo mno.
Mpunga ulitunzwa kwenye maghala na wafanyabiashara wanauza bei mara 6 na zaidi ya waliyo nunulia.
Sasa mkulima kaishiwa ile pesa na chakula hana anataseka kuliko asiyelima sababu haimudu gharama ya chakula na huduma zingine.
 
Wewe, Bashe na Mh. Sana hamjui biashara ya mazao hasa mchele.
Mkulima aliuza mpunga zamani sana wakati wa mavuno kwa bei ndogo mno.
Mpunga ulitunzwa kwenye maghala na wafanyabiashara wanauza bei mara 6 na zaidi ya waliyo nunulia.
Sasa mkulima kaishiwa ile pesa na chakula hana anataseka kuliko asiyelima sababu haimudu gharama ya chakula na huduma zingine.
Kuna wapumbavu wengi wenye mtizamo Kama wako,na wameng'ang'ana kweli na Hilo,hayo maghala yako wapi ya hao walanguzi!!?..Mimi nakwambia hivyo ni mkulima,na Nina wenzangu wengi ambao tunauza Sasa hivi mchele
 
Kuna wapumbavu wengi wenye mtizamo Kama wako,na wameng'ang'ana kweli na Hilo,hayo maghala yako wapi ya hao walanguzi!!?..Mimi nakwambia hivyo ni mkulima,na Nina wenzangu wengi ambao tunauza Sasa hivi mchele
Upumbavu ni kudhani unajua kitu kumbe haujui, nenda Ifakara Morogoro, Ikwiriri Rufiji Pwani, na Kyela Mbeya ulizia kwenye mashine za kukoboa mpunga (mchele).
Mimi nimenunua pumba za mpunga na mahindi siku 5 zilizopita toka kwenye hizo ghala.
Waulize wafanyabishara wa mchele wakubwa, au waulize wakulima wakubwa wa mpunga watakuambia ukweli juu ya hili jambo. Mimi ni mkulima siyo mkubwa sana na silimi mpunga.
Tena kwa taarifa yako kuhifadhi mpunga kwenye hizo ghala ni bure ili mradi siku ukitaka kukoboa ukoboe kwenye mashine ya mwenye ghala. Bure hata ukiwa na tani 200 utatunza miezi utakayo wewe.

Wewe siyo mkulima wala mfanyabiashara wa vyakula hasa mchele maana ungelijua hili jambo.
Kati yangu nawewe nani mpumbavu juu ya suala hili?
 
Upumbavu ni kudhani unajua kitu kumbe haujui, nenda Ifakara Morogoro, Ikwiriri Rufiji Pwani, na Kyela Mbeya ulizia kwenye mashine za kukoboa mpunga (mchele).
Mimi nimenunua pumba za mpunga na mahindi siku 5 zilizopita toka kwenye hizo ghala.
Waulize wafanyabishara wa mchele wakubwa, au waulize wakulima wakubwa wa mpunga watakuambia ukweli juu ya hili jambo. Mimi ni mkulima siyo mkubwa sana na silimi mpunga.
Tena kwa taarifa yako kuhifadhi mpunga kwenye hizo ghala ni bure ili mradi siku ukitaka kukoboa ukoboe kwenye mashine ya mwenye ghala. Bure hata ukiwa na tani 200 utatunza miezi utakayo wewe.

Wewe siyo mkulima wala mfanyabiashara wa vyakula hasa mchele maana ungelijua hili jambo.
Kati yangu nawewe nani mpumbavu juu ya suala hili?
Sisi huku tabora,tunaweka mpunga mashineni,tukitoa kukoboa tunalipa buku mbili kila gunia za uhifadhi,hiyo kudai wakulima wote hatuna mpunga ni uwongo,huko kote ulikotaja hujafanya sensa kuona Kama wakulima Wana mpunga au laa,mkulima mdogo mkuranga hapo alipata gunia 15 msimu uliopita,na anazo mpaka Leo anakula na familia yake,we unasema wakulima hawana mpunga!!..mazao ni ya mkulima,waacheni wafanye wanachotaka na mazao yao
 
Sisi huku tabora,tunaweka mpunga mashineni,tukitoa kukoboa tunalipa buku mbili kila gunia za uhifadhi,hiyo kudai wakulima wote hatuna mpunga ni uwongo,huko kote ulikotaja hujafanya sensa kuona Kama wakulima Wana mpunga au laa,mkulima mdogo mkuranga hapo alipata gunia 15 msimu uliopita,na anazo mpaka Leo anakula na familia yake,we unasema wakulima hawana mpunga!!..mazao ni ya mkulima,waacheni wafanye wanachotaka na mazao yao
Mimi si muumini wa kumzuia mkulima asiuze mazao yake nje nashauri itafutwe namna ambayo chakula hakitauzwa nje ya nchi kupita kiasi kulinda Food Security ya nchi. Mapinduzi hutokea sababu ya mkate/chakula tu.
Historia imetufunza ktk hili.
Ikilazimu serikali inunue chakula cha kutosha kwa bei ya soko na siyo kuwawekea wakulima 'price cap' ya mazao yao.
Itafutwe permanent solution na iwe sera rasmi iliyowekewa sheria na kanuni za kudumu nzuri. Kazi ya viongozi ni kutafuta suluhisho la matatizo yetu kama hayo ya food security na masoko mazuri ya uhakika ya mazao yetu wakulima.
Tukianza kuwa wabinafsi na kujiangalia kwa maslahi ya watu au makundi ya watu wachache kama viongozi au wakulima wawili watatu tutakwama. Usijiangalie wewe na wakulima wenzio wasio zidi 2000 Tanzania nzima ambao hamuwezi kulisha hata 30% ya watanzania na vigunia vyenu vichache vya mpunga. Fikiria picha kubwa ya mamilioni ya wananchi.
Waziri na viongozi wenzie wasitafute kura kwa porojo za kufungua masoko kisha wapiga kura wengi wanataabika na njaa.
 
Watuletee na ule mchele wa plastic toka China tumeumiss
 
Mimi si muumini wa kumzuia mkulima asiuze mazao yake nje nashauri itafutwe namna ambayo chakula hakitauzwa nje ya nchi kupita kiasi kulinda Food Security ya nchi. Mapinduzi hutokea sababu ya mkate/chakula tu.
Historia imetufunza ktk hili.
Ikilazimu serikali inunue chakula cha kutosha kwa bei ya soko na siyo kuwawekea wakulima 'price cap' ya mazao yao.
Itafutwe permanent solution na iwe sera rasmi iliyowekewa sheria na kanuni za kudumu nzuri. Kazi ya viongozi ni kutafuta suluhisho la matatizo yetu kama hayo ya food security na masoko mazuri ya uhakika ya mazao yetu wakulima.
Tukianza kuwa wabinafsi na kujiangalia kwa maslahi ya watu au makundi ya watu wachache kama viongozi au wakulima wawili watatu tutakwama. Usijiangalie wewe na wakulima wenzio wasio zidi 2000 Tanzania nzima ambao hamuwezi kulisha hata 30% ya watanzania na vigunia vyenu vichache vya mpunga. Fikiria picha kubwa ya mamilioni ya wananchi.
Waziri na viongozi wenzie wasitafute kura kwa porojo za kufungua masoko kisha wapiga kura wengi wanataabika na njaa.
Unadai upo sekta ya chakula lakini hujui kwamba serikali hununua nafaka na kuzihifadhi na kwamba imeongeza zaidi ya bilioni 100 mwaka huu kwa ajili ya Hilo,acha kelele mzee,Kuna watu makini serikalini
 
Unadai upo sekta ya chakula lakini hujui kwamba serikali hununua nafaka na kuzihifadhi na kwamba imeongeza zaidi ya bilioni 100 mwaka huu kwa ajili ya Hilo,acha kelele mzee,Kuna watu makini serikalini
Je akiba hiyo ya chakula ya serikali imeweza ku-offset mapungufu ya chakula kwa wananchi wengi wa kawaida na kudhibiti mfumuko wa bei za vyakula masoko ya ndani?
Kama haijaweza basi ujue akiba haitoshi au hakuna mfumo mzuri wa kukiingiza chakula mitaani kupunguza tatizo na ndiyo maana tunataka tuagize chakula toka nje ya nchi.
Kuna kitu hakipo sawa. Taarifa nyingi za serikali ni za kitakwimu na kisiasa tu lakini hazina effect inayo tatua changamoto zilizopo kwa uhalisia wa mambo.

Mfano mbolea ya ruzuku imeleta majanga tu baadhi ya sehemu sababu walizuia watu wasiuze mbolea hadi mfumo ukamilike na mbolea ikachelewa kusambazwa kwa wakulima. Majira au misimu ya kilimo inatofautiana hapa nchini na wao waliangalia kalenda ya baadhi ya maeneo maarufu tu .
Lakini takwimu za serikali zinaonesha mbolea ya ruzuku imesambazwa kwa mafanikio kumbe haikuwa na mafanikio kama ilivyokusudiwa.
 
Back
Top Bottom