Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

Tunamtaka huyo anayefanya Rais aonekane kituko kila anapotoa hotuba.
Juzi kamchomekea suala la askari anayetaniana na wenzake kambini mwaka 2014 na alishashitakiwa na kuadhibiwa kijeshi. Matokeo yake IGP kwa woga kamfukuza kazi ili kutekeleza amri ya Amiri Jeshi.
 
Samia ni binadamu kama sisi. Hayo ni makosa madogo madogo nani kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuelewa alikuwa anamaanisha nini!
 
Kwenye wasaidizi wa karibu wa Mh. Rais kuna tatizo. Labda la kmfumo au tatizo la maksudi ili Mama aonekane hafai. This is very serious.. Imagine ingekuwa ni maamuzi ya kumnyonga mtu, si tayari amekfa?? Taasisi ya Urais sio ya kufanya makosa ya kijinga kama hili.
 
Huyu madam nilikutana naye kwenye Masters iliyoitwa CED- Community Economic Development ya OUT wakishirikiana na Southern Hampshire Univ.
My take;; Ukikosa msingi hata urushwe vipi utarudi kwenye msingi!!!
 
Huyu madam nilikutana naye kwenye Masters iliyoitwa CED- Community Economic Development ya OUT wakishirikiana na Southern Hampshire Univ.
My take;; Ukikosa msingi hata urushwe vipi utarudi kwenye msingi!!!
CED- Community Economic Development ya OUT, ni degree iliyoyolewa kwa watu wenye fedha au nyadhifa serikalini ili waendelee kupamda vyeo ila vichwani ni hewa
 
Rais Samia kaongeza akiba ya matumizi ya mwezi mmoja zaidi toka kwenye kiasi kilichoachwa na mtangulizi wake Dr Magufuli (RIP) ambacho kilikuwa kinatosha kwa miezi 6. Kazi nzuri, mama aendelee kuupiga mwingi.
 
Milioni 6253 kwa maneno inaandikwa: Milioni elfu Sita mia mbili Hamsini na Tatu tu. hilo neno "na" liondolewe.

Inawezekana kabisa Mama anachomekewa. Ukweli kiana ni kama vile system haimtaki Mama. Rais ni taasisi, inakuaje kuna kuwa na makosa madogo madogo hivyo .

Well , mbona pia kulikua hakuna haja ya kutaja hizo dola, wangesema tu , nchi yetu ina akiba ya fedha za kigeni zenye thamani ya shillingi za Kitanzania sawa na Tri. 3 ( kwa mfano )

Kuliko kujitutumua kujifanya wa leo kumbe wa Jana .

Halafu pale state kuna shida . Nadhani nafasi hupeana kwa kujuana na Sio kwa uwezo . Maeneo kama ikulu ni lazima watu wafanye kazi kwa uwezo na Sio Connection

Hii nchi ni ya kipumbavu saana na Inatia kinyaa.
Rais na mwandishi wake na editorial team yote itumbuliwe ni upumbavu,

kuainisha figures nalo ni tatizo ? Ndio maana hatuna maendeleo, tumejaza uharo ikulu

Katiba mpya haiepukiki
 
Ni jambo jema
Funzo- Fukuza kazi waandaaji wa hotuba zako
Wasaidizi wako reshuffle haraka sana
Utatushukuru Wananchi baadae
Sio kila aliye jirani yako ni mwema kwako
Bado una nafasi ya kurekebisha mengi
Jitenge na Waovu
Bro wa mti wa mzambarau uwe na akiba ya maneno
Cut your tongue short
Umekuwa kama nawe makamu wa Mtawala kama sio waziri mkuu umejipachika vyeo vingi
Tulia WaTz sio wapumbavu kama unavyosema wewe
Sasa hapa nani mpumbavu
Nchi hii mweh!
 
Na sio mara ya kwanza haya makosa kwenye hotuba za mama, hata ile hotuba ya siku ya Uhuru alikosea kosea sana.
Hawapaswi kuishia kutoa ufafanuzi Bali kujua kwa nini makosa yapo kila hotuba
Rais na wasaidizi wake ni mambumbumbu.Kwa kuwa ni mambumbumbu yasiyojua kusoma na kuandika lazima makosa yajirudie kila hotuba.
 
Kwani mimi nilibisha? Si nilisahihisha? Rejea mijadala yetu.
Yaani wewe The Sunk Cost Fallacy, ni mtu mpumbavu sijawahi kuona. Yaani ulivyokomaa kwamba hotuba ilikuwa ni sahihi, leo unaleta upumbavu wako hapa ukidai waliohoji usahihi wa hotuba walikuwa ni wajinga wa Chadema.

Huna aibu mbwa wewe sijui vitakataka kama wewe viliingiaje humu JF...it is pathetic!

Hebu angalia hapa ulivyomjibu MkamaP


Siyo waandishi wa hotuba kwani yeye kasuku?
Hiyo hata mtoto wa form four akiisoma anasituka anarudia tena, kusahihisha.

The Sunk Cost Fallacy said:
Ni sahihi kwani dola bil 6250 unajua ni shilingi ngapi? Si ni til.14 na huo ndio ukweli..

Sio typing error ni sahihi ila nyie hakuna mnachojua.

na hapa anagalia ulivyomjibu Somi
Somi said:
Dola bilioni 6,253 maanake ni dola trilioni 6.253 sawa na mara mbili ya gdp ya uingereza ( UK)
Wewe unachojua ni kula na kulala juu ya papuchi ya Mkeo haya mambo yako nje ya uwezo wako kilaza mkubwa.
Yaani kwako wewe mpuuzi dola bilioni 6253 ni sawa na shilingi trilioni 14!. UKiambiwa ni kosa unakaza shingo utafikiri chatu kameza faru!
 
Mkuu Mag3 , huyo The Sunk Cost Fallacy , Idugunde , Elitwege , ni mazuzu ya mwisho.
Ni hasara kwa matumbo yaliyowabeba.
 
Zitto - Unasemaje Zitto? Unafikiri Ikulu imepoteza muda kufanya masahihisho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…