Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Tatizo ni kwamba aliowaumiza wao wanateseka mpaka leo ndio maana kusahau inakuwa ngumu.Mtu keshakufa kaoza lakini bado unateseka.
Alilia na kumshukuru Mungu kwa kifo cha jpm....nafikiri hukusoma hadi adi the last paragraphUnalia kwa kufunguliwa magazeti? Una akili kweli?
Sio ajabu ndio maana mashoga wanaongezeka siku hizi. Mwanaume unalia magazeti kufunguliwa?
Lazima ASEMWE kwa Matendo yake yawe Mema au MABAYAMtu keshakufa kaoza lakini bado unateseka.
Si yameshafunguliwa subiri usije piga yowe humu baadaye tena kuwa yafungiwe au kuhoji kwa kwa nini yamefungiwa .Mark my words pleaseAsante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Mbona Hitler na Mobutu wanatajwa hadi leo ?Mtu keshakufa kaoza lakini bado unateseka.
Wanajua jamaa alikuwa mshenzi sana Ila wanataka kuedit hiyo sehemu na hatusahau ukatili wake huyu dikteta uchwara. Cheki hapo anatafuna mahindi Kama ngedereMbona Hitler na Mobutu wanatajwa hadi leo ?
Lakini ni vema pia kumkumbusha ya kwamba Mbowe sío gaidiAsante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Hizi mada za Magufuli Magufuli mumuache Apumzike basi hatupo naye
Hawezi jibu chochote
kingine Hatamkimchukia haita wasaidia kitu Hayupo
Hujajibu swali, umebwabaja tu.Siasa zina mambo mengi kila linalotokea tumia sana akili narudia tena tumia sana akili.
Mchawi Katiba chakavu, Tupate KATIBA MPYATatizo sheria zetu, magazeti yaneanza kufungiwa kitambo...! Wasipobadilisha sheria ni suala la mda tu watafungiwa tena.
Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!