Kama Niko Mbezi nikipanda Basi, bado nitawahi kuliko kufunga Safari mpaka Stesheni, Kisha nipande Treni..Kama hauna haraka
Mkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alikuwa akiongea na kamati ya bunge walipotembelea mradi huo na kusema "Kuhusu mchakato wa nauli, sisi TRC tumemaliza sehemu yetu ambapo tumewasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kila kinachohitajika."
View attachment 2948956
Alisema wanaelewa kuwa LATRA tayari imeshafanya vikao na wadau wa Dar es Salaam na Dodoma.
"Tunaamini kwamba kabla ya kuanza kazi Julai mwaka huu, tutakuwa tayari tumetangaza nauli," Kadogosa aliongeza.
LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa nchi kavu, haswa usafiri wa barabara, reli, na waya. Ina mamlaka ya kukagua na kuweka viwango na malipo.
Kando na hayo, pia inawaidhinisha madereva wa treni na wafanyakazi wa treni. Mwaka 2022 LATRA iliwaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwenye mkutano wa kujadili mapendekezo ya nauli kwa kuzingatia nauli za abiria kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma-Bahi kwa ombi la TRC.
Nauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Niliona wanazungumzia kutakua na chakula, ndo kwenye hizo gharama au vipi?Mkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alikuwa akiongea na kamati ya bunge walipotembelea mradi huo na kusema "Kuhusu mchakato wa nauli, sisi TRC tumemaliza sehemu yetu ambapo tumewasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kila kinachohitajika."
View attachment 2948956
Alisema wanaelewa kuwa LATRA tayari imeshafanya vikao na wadau wa Dar es Salaam na Dodoma.
"Tunaamini kwamba kabla ya kuanza kazi Julai mwaka huu, tutakuwa tayari tumetangaza nauli," Kadogosa aliongeza.
LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa nchi kavu, haswa usafiri wa barabara, reli, na waya. Ina mamlaka ya kukagua na kuweka viwango na malipo.
Kando na hayo, pia inawaidhinisha madereva wa treni na wafanyakazi wa treni. Mwaka 2022 LATRA iliwaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwenye mkutano wa kujadili mapendekezo ya nauli kwa kuzingatia nauli za abiria kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma-Bahi kwa ombi la TRC.
Nauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Sio kweli ulaya treni ya mwendo kasi ya umeme nauli yake kubwa kuliko mabasi ya safari ndefu .Kama ni kweli kasema hivyo, basi abiria wengi watapanda mabasi kama kawaida, nijuavyo mimi duniani kote, usafiri wa train ya umeme ndio bei nafuu zaidi kuliko usafiri wowote ule..!! Hapa naona hali imekuwa tofauti, serikali naamini kupitia LATRA watakataa mapendekezo hayo ya nauli hizo, walau nauli zilingane na nauli za mabasi ya kawaida kwa nauli za treni..!!
Tafuta hela wewe bei ya kawaida sana hiyoKwa bei hizo ni kama wanahujumu mradi.
mmesahau kuwa jamaa wanafanya makusudi ili shirika life turudi kwenyo mabasi na maroli. Yaani n makusudi mazima kabisaaa.Dunia nzima usafiri wa train ni rahisi kuliko usafiri wowote na sababu ziko wazi kwakuwa train inabeba watu wengi na mizigo mingi inapunguza gharama za uendeshaji, sasa ni lazima waweke bei chini ya usafiri wa ndege au magari hii itachochea sana wingi wa abiria na mizigo na hata parcels ndogo ndogo waweke utaratibu wa mzuri watabeba soko lote wafanye wepesi bila urasimu yaani service bora kuliko waliopo. Itasaidia kuwa na train kwa siku hata mara 4 na kila trip zikiwa nyingi gharama za operation zinashuka. Wasiliuwe shirika kama walivyofanya reli ya kati na Tazara.
Itaenda kupata hasara kama Air Tanzania.Mkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alikuwa akiongea na kamati ya bunge walipotembelea mradi huo na kusema "Kuhusu mchakato wa nauli, sisi TRC tumemaliza sehemu yetu ambapo tumewasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kila kinachohitajika."
View attachment 2948956
Alisema wanaelewa kuwa LATRA tayari imeshafanya vikao na wadau wa Dar es Salaam na Dodoma.
"Tunaamini kwamba kabla ya kuanza kazi Julai mwaka huu, tutakuwa tayari tumetangaza nauli," Kadogosa aliongeza.
LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa nchi kavu, haswa usafiri wa barabara, reli, na waya. Ina mamlaka ya kukagua na kuweka viwango na malipo.
Kando na hayo, pia inawaidhinisha madereva wa treni na wafanyakazi wa treni. Mwaka 2022 LATRA iliwaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwenye mkutano wa kujadili mapendekezo ya nauli kwa kuzingatia nauli za abiria kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma-Bahi kwa ombi la TRC.
Nauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Serikali ikiendeshwa na wafanyabiashara neno HUDUMA huwa ni uhainiMkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alikuwa akiongea na kamati ya bunge walipotembelea mradi huo na kusema "Kuhusu mchakato wa nauli, sisi TRC tumemaliza sehemu yetu ambapo tumewasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kila kinachohitajika."
View attachment 2948956
Alisema wanaelewa kuwa LATRA tayari imeshafanya vikao na wadau wa Dar es Salaam na Dodoma.
"Tunaamini kwamba kabla ya kuanza kazi Julai mwaka huu, tutakuwa tayari tumetangaza nauli," Kadogosa aliongeza.
LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa nchi kavu, haswa usafiri wa barabara, reli, na waya. Ina mamlaka ya kukagua na kuweka viwango na malipo.
Kando na hayo, pia inawaidhinisha madereva wa treni na wafanyakazi wa treni. Mwaka 2022 LATRA iliwaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwenye mkutano wa kujadili mapendekezo ya nauli kwa kuzingatia nauli za abiria kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma-Bahi kwa ombi la TRC.
Nauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Kweli hata sukari kilo 6,000 ilikuwa ni bei ya kawaida.Tafuta hela wewe bei ya kawaida sana hiyo
Bado kwa kutumia bus unawahi mkuu, hilo dubwasha litatumia almost 2hrs au zaidi tupo hapa, kunbuka bus likijaa ni no stop so kuweka umakini wenye mabasi watabadirika ili sgr ikose abilia. -Tunza hii risiti.Mkuu issue ni muda utakaotumika kwa kusafiri na sgr na muda wakusafiri na abood.
Dar-MorogoroTuwekee kwenye mtindo wa bango kitita (table). Kwa maelezo hayo hatuwezi kuelewa kwa urahisi.
Tatizo muda....Unapanda basi saa tatu asubuhi Magufuli stand mpaka utoboe Chalinze saa Sita mchana.....Moro unaingia saa Nane mchana..Kwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.