Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

Safi sana Rais Samia,

Hapa Mzee Kubenea anatakiwa amshukuru sana huyu mama na magazeti yake ya Mwanahalisi,Mawio,

Kazi iendelee, tuko vizuri Sana Tanzania,
NAOMBA KUFAHAMU YALE MAGAZETI MWANAHALISI,TANZANIA DAIMA NA MAWIO YAMEANZA KUONEKANA MTAANI?MI SIJAPITA KTJ MEZA ZA MAGAZETI MWAKA SASA.
 
View attachment 2193845
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuwa na kifua cha kuvumilia kukosoa na kukosolewa.

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka amempongeza zaidi Rais pamoja na Waziri aliyemteua Mhe Nape Moses Nauye kwa kushusha gharama za kusajili "Online TV" kutoka TZS 1,000,000 ( milioni moja) ya awamu iliyopita hadi TZS 50,000 ( elfu hamsini ) ya sasa kwa kutambua kuwa kwasasa duniani " Mitandao ni Ajira".

Wakati huohuo,
Amempongeza sana Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Pamoja na Waziri Nape Moses Nauye kwa kuvifungulia vyombo mbalimbali vya Habari vilivyofungiwa kwa muda mrefu kwani Vimerudisha ajira kwa Watanzania wanyonge na vimeongeza wigo wa kupata habari na wanahabari.

Aidha, Shaka Hamdu Shaka ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kutekeleza kisawasa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya 2020|25 hasa kifungu cha 125,kinachosisitiza Uhuru wa habari na wanahabari kwa WATANZANIA wote "Na ndio sababu leo watu wanakosoa na wanabaki kuwa salama " alilisisitiza bwana Shaka Hamdu Shaka.

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameyasema hayo katika Uzinduzi wa Jengo la Studio za kisasa za Televisheni ya TBC2 pamoja na kipindi kipya cha "Jambo Tanzania", Mikocheni Jijini Dar es Salaam Leo Jumanne 19 Aprili, 2022.
Mnawapunguzia zaidi Ili waendeleee kutukana?

Nadhani kuna shida ya Wana mikakati wa ccm,hao watu wa online sio wengi na ni watu wenye uwezo kiasi kwa hiyo ingefaa kutengeneza sera zinazowagusa watu wa tabaka la chini..
 
NAOMBA KUFAHAMU YALE MAGAZETI MWANAHALISI,TANZANIA DAIMA NA MAWIO YAMEANZA KUONEKANA MTAANI?MI SIJAPITA KTJ MEZA ZA MAGAZETI MWAKA SASA.

Mnawapunguzia zaidi Ili waendeleee kutukana?

Nadhani kuna shida ya Wana mikakati wa ccm,hao watu wa online sio wengi na ni watu wenye uwezo kiasi kwa hiyo ingefaa kutengeneza sera zinazowagusa watu wa tabaka la chini..
Mnawapunguzia zaidi Ili waendeleee kutukana?

Nadhani kuna shida ya Wana mikakati wa ccm,hao watu wa online sio wengi na ni watu wenye uwezo kiasi kwa hiyo ingefaa kutengeneza sera zinazowagusa watu wa tabaka la chini..
Hoja hapa ni kutoa ajira kwa vijana mkuu,

Swala la wao kutukana watakutana na TCRA huko,

Nadhani hili ni jambo jema sana MKUU,

🙏🙏🙏🙏
 
View attachment 2193845
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuwa na kifua cha kuvumilia kukosoa na kukosolewa.

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka amempongeza zaidi Rais pamoja na Waziri aliyemteua Mhe Nape Moses Nauye kwa kushusha gharama za kusajili "Online TV" kutoka TZS 1,000,000 ( milioni moja) ya awamu iliyopita hadi TZS 50,000 ( elfu hamsini ) ya sasa kwa kutambua kuwa kwasasa duniani " Mitandao ni Ajira".

Wakati huohuo,
Amempongeza sana Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Pamoja na Waziri Nape Moses Nauye kwa kuvifungulia vyombo mbalimbali vya Habari vilivyofungiwa kwa muda mrefu kwani Vimerudisha ajira kwa Watanzania wanyonge na vimeongeza wigo wa kupata habari na wanahabari.

Aidha, Shaka Hamdu Shaka ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kutekeleza kisawasa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya 2020|25 hasa kifungu cha 125,kinachosisitiza Uhuru wa habari na wanahabari kwa WATANZANIA wote "Na ndio sababu leo watu wanakosoa na wanabaki kuwa salama " alilisisitiza bwana Shaka Hamdu Shaka.

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameyasema hayo katika Uzinduzi wa Jengo la Studio za kisasa za Televisheni ya TBC2 pamoja na kipindi kipya cha "Jambo Tanzania", Mikocheni Jijini Dar es Salaam Leo Jumanne 19 Aprili, 2022.

Mbona yule wa moto mara moja aliambiwa amefanya makosa kuweka punguzo kwakuwa tayari alikuwa anavuruga budget ya 2022/2023
 
Vijana watumie fursa hii kujenga ustawi wao kiuchumi na Taifa si kutukana na kulichafua taifa. 🙏🙏🙏
 
Haya mabadiliko yanahitaji idhini ya Bunge kuipitisha? isijekotokea yanarejeshwa kama ile Shs 100/=?
 
Back
Top Bottom