Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

IMG-20220424-WA0051.jpg
 
View attachment 2193845
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuwa na kifua cha kuvumilia kukosoa na kukosolewa.

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka amempongeza zaidi Rais pamoja na Waziri aliyemteua Mhe Nape Moses Nauye kwa kushusha gharama za kusajili "Online TV" kutoka TZS 1,000,000 ( milioni moja) ya awamu iliyopita hadi TZS 50,000 ( elfu hamsini ) ya sasa kwa kutambua kuwa kwasasa duniani " Mitandao ni Ajira".

Wakati huohuo,
Amempongeza sana Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Pamoja na Waziri Nape Moses Nauye kwa kuvifungulia vyombo mbalimbali vya Habari vilivyofungiwa kwa muda mrefu kwani Vimerudisha ajira kwa Watanzania wanyonge na vimeongeza wigo wa kupata habari na wanahabari.

Aidha, Shaka Hamdu Shaka ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kutekeleza kisawasa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya 2020|25 hasa kifungu cha 125,kinachosisitiza Uhuru wa habari na wanahabari kwa WATANZANIA wote "Na ndio sababu leo watu wanakosoa na wanabaki kuwa salama " alilisisitiza bwana Shaka Hamdu Shaka.

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameyasema hayo katika Uzinduzi wa Jengo la Studio za kisasa za Televisheni ya TBC2 pamoja na kipindi kipya cha "Jambo Tanzania", Mikocheni Jijini Dar es Salaam Jumanne 19 Aprili, 2022.
Kazi nzuri sana
 
View attachment 2193845
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuwa na kifua cha kuvumilia kukosoa na kukosolewa.

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka amempongeza zaidi Rais pamoja na Waziri aliyemteua Mhe Nape Moses Nauye kwa kushusha gharama za kusajili "Online TV" kutoka TZS 1,000,000 ( milioni moja) ya awamu iliyopita hadi TZS 50,000 ( elfu hamsini ) ya sasa kwa kutambua kuwa kwasasa duniani " Mitandao ni Ajira".

Wakati huohuo,
Amempongeza sana Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Pamoja na Waziri Nape Moses Nauye kwa kuvifungulia vyombo mbalimbali vya Habari vilivyofungiwa kwa muda mrefu kwani Vimerudisha ajira kwa Watanzania wanyonge na vimeongeza wigo wa kupata habari na wanahabari.

Aidha, Shaka Hamdu Shaka ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kutekeleza kisawasa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya 2020|25 hasa kifungu cha 125,kinachosisitiza Uhuru wa habari na wanahabari kwa WATANZANIA wote "Na ndio sababu leo watu wanakosoa na wanabaki kuwa salama " alilisisitiza bwana Shaka Hamdu Shaka.

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameyasema hayo katika Uzinduzi wa Jengo la Studio za kisasa za Televisheni ya TBC2 pamoja na kipindi kipya cha "Jambo Tanzania", Mikocheni Jijini Dar es Salaam Jumanne 19 Aprili, 2022.
Great, Tanzania
 
Naomba mkumbuke kwamba Sheria ziko pale pale na hazijabadilishwa. Mnaweza kusifia kufunguliwa lakini tujiulize je wakivunja sheria tena hawatafungiwa? Au mnafikiri imekuwa soko huria mana hivi vigazeti na viTV havichelewi kupotoka. Sababu ya kufungiwa hizi media zilikuwa halali kabisa kwa mujibu wa sheria so madam alichofanya ni amnesty tu ili asisemwe sana wakati akianza harakati za kuendesha nchi. Muda ni mwalimu mzuri sana
 
Mbona yule wa moto mara moja aliambiwa amefanya makosa kuweka punguzo kwakuwa tayari alikuwa anavuruga budget ya 2022/2023
Halafu hilo suala la yule mtoto kuvunja sheria halijajibiwa mpaka leo
 
Naomba mkumbuke kwamba Sheria ziko pale pale na hazijabadilishwa. Mnaweza kusifia kufunguliwa lakini tujiulize je wakivunja sheria tena hawatafungiwa? Au mnafikiri imekuwa soko huria mana hivi vigazeti na viTV havichelewi kupotoka. Sababu ya kufungiwa hizi media zilikuwa halali kabisa kwa mujibu wa sheria so madam alichofanya ni amnesty tu ili asisemwe sana wakati akianza harakati za kuendesha nchi. Muda ni mwalimu mzuri sana
Hilo ni jambo jingine ila tunachojua bei imepungzwa kwa 95%
 
Kiuongozi na kimaono, kumlinganisha Samia na Magufuri, ni sawa na kulinganisha Mlima Kilimanjaro (Samia) na mlima Lukumburu (Magufuli).
 
Back
Top Bottom