Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Shaka Hamidu Shaka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa.

=======

Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi CCM akichukua nafasi ya Humphrey Polepole aliye teuliwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Aliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.

1} Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa

Kwahiyo unataka kusema JPM na Mama si kitu kimoja.Acheni kutumia mitandao vibaya Mama na JPM ni wamoja.
 
Maisha Matamu Tunayataka Wote
Ila Sasa Hivi Yaani Hawa Pole Pole Na Bashiru


Ndiyo Wamekosa Sehemu Ya Trending
Wamekwisha Kisiasa Kabisa Hawana Mfuto
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani Akirudi Zizini Wenzake Watajua Hana Mkia!!😃😂😀😁😆😅
JPM
 
Shaka Hamidu Shaka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa.

=======

Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi CCM akichukua nafasi ya Humphrey Polepole aliye teuliwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Aliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.

1} Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa
polepole kwa sasa muache akajiongeze kwenye lugha za kigeni mwenyewe alisema
 
Katika Uongozi wa Dk. Magufuli kipindi hiki cha kutatuwa kero za raia live kwa kupitia kipindi cha TV/Radio kilicho kuwa kinaongozwa na Mzalendo Polepole kipindi hiki kilikuwa na umuhimu sana kwa ustawi wa Taifa letu, ni viongozi wachache wange endeleza tabia zao za kupuuzia kutatuwa matatizo ya raia au kujingiza kwenye tabia ya kuwaonea raia bila sababu.

Tuwe wakweli hapa - kipindi hiki Polepole alikuwa anakiweza sana na alikuwa mfatiliaji mahili - who ever advised our President to replace Polepole amekosea sana, sioni aibu kulisema hilo - je, kuna baadhi ya viongozi wetu kwenye mashirika ya umma na Serikalini hawataki Kufatiliwa kwa karibu LIVE/TV kwa kupitia vyombo vya chama tawala?

Binafsi, sioni mantiki ya muzzle avenue hii ambayo ilikuwa kimbilio la kweli kwa watu WANYONGE - hakuna mbadala tusije tukajidanganya hapa, imenisikitisha sana sana.
Kumbe wewe bukya ndio polepole!

Umekuja kujipigia debe hapa eti?

Nikuweke darasani kidogo... kama unataka kuwa kiongozi mzuri ni lazima uwe sensitive...ufeel hisia za wale unaowaongoza. Kwa nini polepole alikuwa anachukiwa na watanzania wengi? Kwanini? Jibu...hakuwasensitive!
 
Shaka Hamdu wewe utakuwa umepata fundisho kutoka kwa mtangulizi wako,Polepole alijitengenezea maadui kwa sababu ya maneno ya kejeli na vitisho kwa watu.
Jifunze kwa Januari Makamba na ikibidi mfanye awe rafiki yako,utavuna busara nyingi kabla hujafungua kinywa.

Nakutakia kika la kheri.
Kwanini ajifunze kwa january, yeye ndio mwalimu , mwache afanye kwa utashi wake mwenyewe
 
À
Zamu ya wazanzibar kuongoza Tanganyika.

you so stu-pid and lazy. hii ni point nayo unaongea. sasa kuna tatizo gani kama anatatua matatizo ya wananchi. ndio maana wakenya wanasema tuna kila kitu lakin hatuwapiti kwa maendeleo, kwa akili kama yako hatuwezi fika.
Anatatua kama nan?
Yeye ni mtumishi wa umma ?
Katiba ilikua inamruhusu kufanya ule ugoro?
 
"KING BILL"

Jamani, wakati mwingine tujaribu kuwa wakweli na tumuogope Mungu - unaposema Mh.Polepole hakuwa sensetive na feelings za binadamu wenzake unamaanisha nini mkuu?

Unazungumzia huyu huyu Polepole tunaye mjuwa wengi wetu au pacha wake i.e his double!! Kwa hiyo kipindi chake "LIVE" kwenye TV kikicho kuwa na lengo la kutatuwa matatizo sugu hapa Nchini ukiwemo uonezi uliyo pindukia wa kuwanyanyasa wanachi wanyonge - unataka kusema Mh. Pole Pole alikuwa anafanya maigizo!!

Kipindi cha TV alichokuwa ana host Mh.Pole Pole kilimwonyesha in his true colour, hata body language yake ilionyesha kwamba ni binadamu ambaye anajali na kuweka maanani shida za wenzake - wasio mpenda watajaribu ku-manufacture lame excuses nyingi tu zenye lengo la kumwaribia sifa lakini ukweli mara zote utabaki kwamba Mh. Pole Pole ni trurly hypersensetive person wa kujali shida za wenzake, as I said mifano ya ku-support ukweli huo tunayo.
 
you so stu-pid and lazy. hii ni point nayo unaongea. sasa kuna tatizo gani kama anatatua matatizo ya wananchi. ndio maana wakenya wanasema tuna kila kitu lakin hatuwapiti kwa maendeleo, kwa akili kama yako hatuwezi fika.
Acha matusi. Stupid ni mtu anayejibu hoja kwa matusi.
 
Back
Top Bottom