Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Nani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.

Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.

Tusilazimishe mambo kwa nguvu
👇
 
Kwani wakati wa magufuli hao ma DC na RCs hawakuelezea hayo mafanikio? Unakumbuka makonda aloshawajaza wapuuzi wenzie pale mjini kuelezaa mafanikio ya JPM? Au walikuwa wanaimba kaya pale?
Una chuki tu wewe.
KAMFUFUE UZIKWE WEWE
 
Mwenye macho haambiwi tazama ukisikia anaambiwa jua hakuna cha kutazama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…