Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Nani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.

Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.

Tusilazimishe mambo kwa nguvu
👇View attachment 2225325
Yatima bado unaweweseka, yule shetani wenu wa Chato kwa miaka 6 hakutowa ajira wala hakupandisha mishahara.

Mama kwa kilindi cha mwaka mmoja tu ametowa ajira lukuki na jana lile jambo ka nyongeza ya mishahara limekamilika.

Haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia mishahara kupandishwa vile.

Huyo marehemu pumzikeni naye kwa amani tu kuzimu, nchi sasa imetulia na imepata Rais anayejari utu wa watu na maendeleo ya watu.
 
Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
Naunga mkono hoja.
 
Kuna kipindi Watu walikuwa wanaimba mafanikio kama awamu ya 5?
Mafanikio mpaka ya kuokota vichwa vya treni bandarini
Yalionekana ndio maana waimbaji walipata nguvu ya kuyaimba kwa kujiamini.

1. Ujenzi wa Vituo vya afya, hospital za kanda na wilaya.
2. uunganishwaji wa umeme na miradi ya umeme.
3. ukarabati wa shule kongwe, vyuo vya ustawi wa jamii na ujenzi wa maabara na shule mpya.
4. Miradi mikubwa ya usambazaji maji.
5. Miundo mbinu ya barabara, reli, madaraja.
6. Ujenzi wa meli na vivuko.
7. Ujenzi wa viwanda vingi kutikana na sapiti ya serikali.
Leo hii ukiingia akaunti ya insta ya wizara ya afya hakuna hata mradi mmoja wa hospital wa kituo cha afya. Utakutana na mipango tu.

Leo hii wamerudisha ule usemi wao wa enzi za jk kuwa serikali inafanya mchakato, wameuboresha wanasema wanachakata.
 
Nani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.

Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.

Tusilazimishe mambo kwa nguvu
👇View attachment 2225325
Hebu tuelezee kimoja cha Magufuli kilichofanikiwa.
 
Comparison?

Kipindi cha dhalimu tuliambiwa kumejengwa viwanda 8,000+, na kila mtu akawa analazimishwa kusema hivyo. Ila ukiuliza hivyo viwanda 8,000+ viko wapi unatishiwa maisha au kutekwa. Leo unashangaa utapeli ule ukitumika na matapeli wengine.
 
Kipindi cha dhalimu tuliambiwa kumejengwa viwanda 8,000+, na kila mtu akawa analazimishwa kusema hivyo. Ila ukiuliza hivyo viwanda 8,000+ viko wapi unatishiwa maisha au kutekwa. Leo unashangaa utapeli ule ukitumika na matapeli wengine.
Mkuu hivyo viwanda hukuviona? Au unataka ubishi tu sababu una chuki na hayati JPM?
 
Mkuu hivyo viwanda hukuviona? Au unataka ubishi tu sababu una chuki na hayati JPM?

Viwanda viko kabla ya yeye kuingia madarakani, na hata sasa ameondoka viwanda bado viko. Sisi tulitaka kuona Tanzania ya viwanda. Unajua tofauti ya kuona viwanda na Tanzania ya viwanda?
 
Hivi unauliza hili swali una akili timamu? Hii miundo ya barabara aliyosimamia kwa zaidi ya miaka ishirini huioni?

Alitawala nchi hii kwa miaka zaidi ya 20? Utaratibu uliopo ni kuwa kitu kikifanyika anasifiwa rais anayekuwa madarakani kuwa ndio kajenga.
 
Viwanda viko kabla ya yeye kuingia madarakani, na hata sasa ameondoka viwanda bado viko. Sisi tulitaka kuona Tanzania ya viwanda. Unajua tofauti ya kuona viwanda na Tanzania ya viwanda?
Nafikiri hukuelewa maana ya hiyo slogan. Kuwa taifa la viwanda haina maana kuwa sekta zingine zinakufa.

Lakini ukweki upo wazi alitilia mkazo uwekezaji sekta ya viwanda. Na kwa muda mfupi tulikuwa tunazalisha bidhaa nyingi hapa nchini.
 
Alitawala nchi hii kwa miaka zaidi ya 20? Utaratibu uliopo ni kuwa kitu kikifanyika anasifiwa rais anayekuwa madarakani kuwa ndio kajenga.
Ok achana na sekta ya barabara alizosimamia akiwa waziri. Vipi kuhusu meli alizojenga ziwa Nyasa na Ziwa Viktoria ambazo ilikuwa kero kubwa ya usafiri?

Mengine mengi yapo wazi maana kuna hospital ya rufaaa mkoa Mara ambayo ilikwama toka miaka ya 70's? Yeye alimalizia na kuikamilisha.
 
Awamu ya kishindo kwenye hafla yoyote ilikuwa ukishika maiki ni lazima utumie dakika 10 kumpamba mwendazake na miradi yake iliyofeli kukamilika kwa muda muafaka.
Mradi upi wa mwendazake uliofeli kukamilika? na kama upo ambao haujakamilika unafikiri nani wa kulaumiwa?
 
Hivi unauliza hili swali una akili timamu? Hii miundo ya barabara aliyosimamia kwa zaidi ya miaka ishirini huioni?
Magufuli alitawala Tanzania kwa miaka 20? Wewe utakuwa ndio wale wale tu.

Wakati waziri unajuwa madudu mangapi aliyafanya? Hujasikia sakata lake la nyumba za serikali? Hujasikia sakata na hasara za meli chakavuu ya Magufuli? Hujasikia sakata la samaki wa Magufuli na lilivyoishia? Kama huelewi yumedaiwa meli na samaki na muda wote ambayo ilikuwa imekaa bure, nahisi mpaka leo serikali inalipa.

Kuhusu hizohizo barabara hujasikia makanadarasi aliowatimua bila kufata sheriawaliizuwia ndge Canada? Mpaka walivyolipwa deni na hasara waliyoipata?

Kuna madudu mengi sana aliyafanya. Wakulaumiwa ni CCM waliomchagua awe Rais, aliipeleka nchi pabaya sana. Hayaelezeki, ni madudu mengi sana.

Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Magufuli alitawala Tanzania kwa miaka 20? Wewe utakuwa ndio wale wale tu.

Wakati waziri unajuwa madudu mangapi aliyafanya? Hujasikia sakata lake la nyumba za serikali? Hujasikia sakata na hasara za meli chakavuu ya Magufuli? Hujasikia sakata la samaki wa Magufuli na lilivyoishia? Kama huelewi yumedaiwa meli na samaki na muda wote ambayo ilikuwa imekaa bure, nahisi mpaka leo serikali inalipa.

Kuhusu hizohizo barabara hujasikia makanadarasi aliowatimua bila kufata sheriawaliizuwia ndge Canada? Mpaka walivyolipwa deni na hasara waliyoipata?

Kuna madudu mengi sana aliyafanya. Wakulaumiwa ni CCM waliomchagua awe Rais, aliipeleka nchi pabaya sana. Hayaelezeki, ni madudu mengi sana.

Kazi ya Mungu haina makosa.
Umeulizia kipi alichosimamia kikafanikiwa.? Vipi kuhusu elimu bure kwa elimu ya awali?

Vipi kuhusu zahanati, vituonvya afya na hospital alizojenga?

Mbona reasoning yako ndogo sana? Unaleta habari ya nyumba na ndege kukamatiwa Canada?
 
Magufuli alikuwa na mafanikio
Mamiradi yasiyokamilika ndio mafanikio!!
 
Back
Top Bottom