Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Nafikiri hukuelewa maana ya hiyo slogan. Kuwa taifa la viwanda haina maana kuwa sekta zingine zinakufa.

Lakini ukweki upo wazi alitilia mkazo uwekezaji sekta ya viwanda. Na kwa muda mfupi tulikuwa tunazalisha bidhaa nyingi hapa nchini.

Usitake kupotosha alichomaanisha baada ya kushindwa, yeye alimaanisha kujenga viwanda ili kutoa ajira, jambo ambalo halikuwa kweli. Kibaya zaidi akawa anapika data kuwa kumejengwa viwanda 8,000+ wakati wa utawala wake, jambo ambalo halikuwa kweli kabisa.
 
Hebu tuelezee kimoja cha Magufuli kilichofanikiwa.
1.Kuusimamia msikiti wa bakwata pale kinondoni mpaka ukakamilika kama alivyoomba kwa mfalme wa morocco.

2. Kuhakikisha mali za wakfu zinarudishwa kwa waislamu ikiwemo eneo la chang'ombe alilouziwa manji na waislam wasio waaminifu hali iliyosababisha taharuki mara kwa mara kutoka kwa sheikh Ponda enzi za JK.

3. Kuhakikisha eneo la magomeni kotaz linarudishwa kwa wananchi kama ambavyo manispaa ya kinondoni ilishalikabidhi kwa manji kwa miaka 99 na magu akajenga ghorofa ambapo wengi wanaokaa pale ni muslims.

4. Kuhakikisha msikiti wa kule dodoma unajengwa na kuisha kama ambavyo aliitisha michango kwa ajili ya ule msikiti.

5. Kuwaleta pamoja viongozi wa dini na hivyo kuondoa hali ya sintofahamu baina ya dini na dini, madhehebu kwa madhehebu, taasisi za dini mfano tulishuhudia sheikh mkuu akihudhuria shughuli za Al hikma foundation chini ya sheikh Kishki.

6. Alihakikisha sheikh Ponda anaachiwa huru kutokana na kesi ya kuchochea vurugu enzi za JK hivyo kuendelea na shughuli zake za uanaharakati.

7. Alitoa eneo la baba yake kule chato kwa taasisi ya Al hikma ili ujengwe msikiti.

8. Lakini aliivunja MOU kiaina kama ambavyo ilijuwa inalalamikiwa na waislamu kwa kuhakikisha serikali inamiliki vituo vya afya, hospitali, kudahili wanafunzi kwenye vyuo vya serikali kama kipaumbele, serikali ina vyuo na shule zinazotoa matokeo mazuri tofauti na ilivyokuwa awali ambapo serikali ilitegemea kwa kiasi kikubwa hizi huduma kutoka kwenye taasisi za kikristo.

Bahati mbaya mnafiki ni mwepesi kusahau.
 
1.Kuusimamia msikiti wa bakwata pale kinondoni mpaka ukakamilika kama alivyoomba kwa mfalme wa morocco.

2. Kuhakikisha mali za wakfu zinarudishwa kwa waislamu ikiwemo eneo la chang'ombe alilouziwa manji na waislam wasio waaminifu hali iliyosababisha taharuki mara kwa mara kutoka kwa sheikh Ponda enzi za JK.

3. Kuhakikisha eneo la magomeni kotaz linarudishwa kwa wananchi kama ambavyo manispaa ya kinondoni ilishalikabidhi kwa manji kwa miaka 99 na magu akajenga ghorofa ambapo wengi wanaokaa pale ni muslims.

4. Kuhakikisha msikiti wa kule dodoma unajengwa na kuisha kama ambavyo aliitisha michango kwa ajili ya ule msikiti.

5. Kuwaleta pamoja viongozi wa dini na hivyo kuondoa hali ya sintofahamu baina ya dini na dini, madhehebu kwa madhehebu, taasisi za dini mfano tulishuhudia sheikh mkuu akihudhuria shughuli za Al hikma foundation chini ya sheikh Kishki.

6. Alihakikisha sheikh Ponda anaachiwa huru kutokana na kesi ya kuchochea vurugu enzi za JK hivyo kuendelea na shughuli zake za uanaharakati.

7. Alitoa eneo la baba yake kule chato kwa taasisi ya Al hikma ili ujengwe msikiti.

8. Lakini aliivunja MOU kiaina kama ambavyo ilijuwa inalalamikiwa na waislamu kwa kuhakikisha serikali inamiliki vituo vya afya, hospitali, kudahili wanafunzi kwenye vyuo vya serikali kama kipaumbele, serikali ina vyuo na shule zinazotoa matokeo mazuri tofauti na ilivyokuwa awali ambapo serikali ilitegemea kwa kiasi kikubwa hizi huduma kutoka kwenye taasisi za kikristo.

Bahati mbaya mnafiki ni mwepesi kusahau.
😜
 
Ok achana na sekta ya barabara alizosimamia akiwa waziri. Vipi kuhusu meli alizojenga ziwa Nyasa na Ziwa Viktoria ambazo ilikuwa kero kubwa ya usafiri?

Mengine mengi yapo wazi maana kuna hospital ya rufaaa mkoa Mara ambayo ilikwama toka miaka ya 70's? Yeye alimalizia na kuikamilisha.

Ni kweli lakini alikuwa anapewa sifa za kijinga kwa mambo ya kawaida kabisa. Hospitali ya rufaa mkoa wa mara hata haijafika 15b, na vituo vyote vya afya na hospitali alizojenga zilizokamilika na ambazo hazijakamilika wala zisingevuka 500b.

Kwa taarifa yako wakati wa JK huko Arusha ulianza mradi wa maji wa 500b+, ambao ni fedha nyingi kuliko vituo vya afya na hospitali zote alizojenga Magufuli hata kama zingekamilika zote. Lakini hatakuona sifa za kijinga zikitoka kama wakati wa Magufuli. Kwa nyinyi akili ndogo kutokana na kukolea propaganda zake, mliamini alifanya makubwa sana. Nenda kaangalie deni la taifa la 20t lililoongezeka wakati wa utawala wake kama linaendana na maendeleo aliyoleta.
 
Usitake kupotosha alichomaanisha baada ya kushindwa, yeye alimaanisha kujenga viwanda ili kutoa ajira, jambo ambalo halikuwa kweli. Kibaya zaidi akawa anapika data kuwa kumejengwa viwanda 8,000+ wakati wa utawala wake, jambo ambalo halikuwa kweli kabisa.
Kwani hivyo viwanda 8000+ havikujengwa na havikutoa ajira ? Wewe hutaki takwimu hizi kwa sababu zako binafisi tu.
 
1.Kuusimamia msikiti wa bakwata pale kinondoni mpaka ukakamilika kama alivyoomba kwa mfalme wa morocco.

2. Kuhakikisha mali za wakfu zinarudishwa kwa waislamu ikiwemo eneo la chang'ombe alilouziwa manji na waislam wasio waaminifu hali iliyosababisha taharuki mara kwa mara kutoka kwa sheikh Ponda enzi za JK.

3. Kuhakikisha eneo la magomeni kotaz linarudishwa kwa wananchi kama ambavyo manispaa ya kinondoni ilishalikabidhi kwa manji kwa miaka 99 na magu akajenga ghorofa ambapo wengi wanaokaa pale ni muslims.

4. Kuhakikisha msikiti wa kule dodoma unajengwa na kuisha kama ambavyo aliitisha michango kwa ajili ya ule msikiti.

5. Kuwaleta pamoja viongozi wa dini na hivyo kuondoa hali ya sintofahamu baina ya dini na dini, madhehebu kwa madhehebu, taasisi za dini mfano tulishuhudia sheikh mkuu akihudhuria shughuli za Al hikma foundation chini ya sheikh Kishki.

6. Alihakikisha sheikh Ponda anaachiwa huru kutokana na kesi ya kuchochea vurugu enzi za JK hivyo kuendelea na shughuli zake za uanaharakati.

7. Alitoa eneo la baba yake kule chato kwa taasisi ya Al hikma ili ujengwe msikiti.

8. Lakini aliivunja MOU kiaina kama ambavyo ilijuwa inalalamikiwa na waislamu kwa kuhakikisha serikali inamiliki vituo vya afya, hospitali, kudahili wanafunzi kwenye vyuo vya serikali kama kipaumbele, serikali ina vyuo na shule zinazotoa matokeo mazuri tofauti na ilivyokuwa awali ambapo serikali ilitegemea kwa kiasi kikubwa hizi huduma kutoka kwenye taasisi za kikristo.

Bahati mbaya mnafiki ni mwepesi kusahau.

Nilipoona tu hapo namba moja kuwa msikiti wa kinondoni umejengwa na mfalme wa Morocco nimeacha kusoma upuuzi wote uliondelea. Mfalme wa Morocco aliahidi kujenga msikiti Dodoma.
 
Kwani hivyo viwanda 8000+ havikujengwa na havikutoa ajira ? Wewe hutaki takwimu hizi kwa sababu zako binafisi tu.

Uza ubongo huo boss maana unakaa nao kwa hasara. Kipindi cha Magufuli ndio kipindi ajira zilishuka kuliko ilivyopaswa. Uwe na viwanda 8,000+ kisha kiwango cha ajira kipungue?
 
Ni kweli lakini alikuwa anapewa sifa za kijinga kwa mambo ya kawaida kabisa. Hospitali ya rufaa mkoa wa mara hata haijafika 15b, na vituo vyote vya afya na hospitali alizojenga zilizokamilika na ambazo hazijakamilika wala zisingevuka 500b.

Kwa taarifa yako wakati wa JK huko Arusha ulianza mradi wa maji wa 500b+, ambao ni fedha nyingi kuliko vituo vya afya na hospitali zote alizojenga Magufuli hata kama zingekamilika zote. Lakini hatakuona sifa za kijinga zikitoka kama wakati wa Magufuli. Kwa nyinyi akili ndogo kutokana na kukolea propaganda zake, mliamini alifanya makubwa sana. Nenda kaangalie deni la taifa la 20t lililoongezeka wakati wa utawala wake kama linaendana na maendeleo aliyoleta.
Nchi gani ambayo
Ni kweli lakini alikuwa anapewa sifa za kijinga kwa mambo ya kawaida kabisa. Hospitali ya rufaa mkoa wa mara hata haijafika 15b, na vituo vyote vya afya na hospitali alizojenga zilizokamilika na ambazo hazijakamilika wala zisingevuka 500b.

Kwa taarifa yako wakati wa JK huko Arusha ulianza mradi wa maji wa 500b+, ambao ni fedha nyingi kuliko vituo vya afya na hospitali zote alizojenga Magufuli hata kama zingekamilika zote. Lakini hatakuona sifa za kijinga zikitoka kama wakati wa Magufuli. Kwa nyinyi akili ndogo kutokana na kukolea propaganda zake, mliamini alifanya makubwa sana. Nenda kaangalie deni la taifa la 20t lililoongezeka wakati wa utawala wake kama linaendana na maendeleo aliyoleta.
Sio kupewa sifa. Hao akina Jakaya na waliotangulia hawakuona kuwa kuna miradi ya kukamilisha kama hospita ya rufaa mkoa wa Mara?

Unazungumzia mradi mdogo wa maji huko Arusha wa Bil 500. Unasahau mradi mkubwa wa maji kutoka Tinde kwenda Tabora wa bil 450 ambao hayati JPM aliukamilisha.
 
Uza ubongo huo boss maana unakaa nao kwa hasara. Kipindi cha Magufuli ndio kipindi ajira zilishuka kuliko ilivyopaswa. Uwe na viwanda 8,000+ kisha kiwango cha ajira kipungue?
Ajira zipi unazozungumzia. Vijana wanaojituma walihamia mkoa wa Pwani kusaka fursa za ajira. Labda unazungumzia ajira za mabaamedi.
 
Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
Hapa kuna tatizo alie toa mada kaongea tofauti na wewe ulivo jibu....jibu hoja
 
Nchi gani ambayo

Sio kupewa sifa. Hao akina Jakaya na waliotangulia hawakuona kuwa kuna miradi ya kukamilisha kama hospita ya rufaa mkoa wa Mara?

Unazungumzia mradi mdogo wa maji huko Arusha wa Bil 500. Unasahau mradi mkubwa wa maji kutoka Tinde kwenda Tabora wa bil 450 ambao hayati JPM aliukamilisha.

Rudi shule ukajifunze hesabu, mradi wa 450b ni mkubwa kuliko wa 500b+? Au umepanic kuona jiwe alifanya ya kawaida sana? JK alifanya yake kwa mtazamo wake ikiwemo hizo barabara ikizitaka kumsifia nazo Magufuli. Kwa taarifa yako mtandao wa barabara wakati wa JK ni mara tatu zaidi ya hizo za Magufuli. Hivyo ukitaka kumsifia Magufuli uhakikishe una taarifa sahihi, na sio utembelee propaganda zake utaaibika boss.
 
Rudi shule ukajifunze hesabu, mradi wa 450b ni mkubwa kuliko wa 500b+? Au umepanic kuona jiwe alifanya ya kawaida sana? JK alifanya yake kwa mtazamo wake ikiwemo hizo barabara ikizitaka kumsifia nazo Magufuli. Kwa taarifa yako mtandao wa barabara wakati wa JK ni mara tatu zaidi ya hizo za Magufuli. Hivyo ukitaka kumsifia Magufuli uhakikishe una taarifa sahihi, na sio utembelee propaganda zake utaaibika boss.
Hujanielewa. Hiyo bil 500 uliyoitaja sio halisi. Wakati wa JK kulikuwa na wizi tu.

Huo mtandao wa barabara tokea wakati wa Mkapa msimamzizi alikuwa hayati JPM. Hii inaonyesha namna gani alikuwa makini.
 
Nilipoona tu hapo namba moja kuwa msikiti wa kinondoni umejengwa na mfalme wa Morocco nimeacha kusoma upuuzi wote uliondelea. Mfalme wa Morocco aliahidi kujenga msikiti Dodoma.
Duh ooh my ghosh.
 
Hujanielewa. Hiyo bil 500 uliyoitaja sio halisi. Wakati wa JK kulikuwa na wizi tu.

Huo mtandao wa barabara tokea wakati wa Mkapa msimamzizi alikuwa hayati JPM. Hii inaonyesha namna gani alikuwa makini.

Sio halisi na huo mradi wa majisafi na majitaka upo na kila mkazi wa Arusha anauona. Mtandao wa barabara wakati wa Mkapa na JK msimamizi alikuwa Magufuli, hivyo inaonyesha yeye ni mtu makini, kwahiyo kwenye miradi ya wakati wa Magufuli walio makini ni waliosimamia hiyo miradi? Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?
 
Uza ubongo huo boss maana unakaa nao kwa hasara. Kipindi cha Magufuli ndio kipindi ajira zilishuka kuliko ilivyopaswa. Uwe na viwanda 8,000+ kisha kiwango cha ajira kipungue?
Hakuna ajira iliyoshuka labda kwa vyeti feki na ajira za dili mfano zamani kulijuwa na watu wanavaa vizuri utawakuta city center, hao ukitaka passport, leseni, risiti feki za tra vyeti feki, vibali vya kazi bubu basi unawaona fasta na unaletewa ndani ya masaa tu. Pesa yako.

Labda useme ongezeko la watu wasio na ajira ambalo lilichangiwa na ongezeko la wanaomaliza chuo idadi yao kuongezeka sababu JPM aliongeza kiwango cha mikopo hali iliyopelekea wanachuo wengi kupata udahili.
 
Sio halisi na huo mradi wa majisafi na majitaka upo na kila mkazi wa Arusha anauona. Mtandao wa barabara wakati wa Mkapa na JK msimamizi alikuwa Magufuli, hivyo inaonyesha yeye ni mtu makini, kwahiyo kwenye miradi ya wakati wa Magufuli walio makini ni waliosimamia hiyo miradi? Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?
We unadhani bila umakini kuna kinachoenda?
 
Sio halisi na huo mradi wa majisafi na majitaka upo na kila mkazi wa Arusha anauona. Mtandao wa barabara wakati wa Mkapa na JK msimamizi alikuwa Magufuli, hivyo inaonyesha yeye ni mtu makini, kwahiyo kwenye miradi ya wakati wa Magufuli walio makini ni waliosimamia hiyo miradi? Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?
Kwa hiyo wakazi wa arusha kuuona kwa macho ndio hakuna upigaji? Kutandaza mabomba ya maji taka hapo mjini ndio bil 500? Ila kutoa maji tinde mpaka Tabora bil 450+ ?

Huwezi kukubali ukweli nakujua vizuri
 
Back
Top Bottom