Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #121
Pamoja na uzee wote huo unakuwa na pumba namna hiyo?Ndivyo mlivyo, hoja imekuingia kisawasawa na hauna jibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na uzee wote huo unakuwa na pumba namna hiyo?Ndivyo mlivyo, hoja imekuingia kisawasawa na hauna jibu.
Mbona alipofukuzwa na Magufuli kwa Tuhuma za Rushwa kwenye Ukatibu wa ccm Mkoa wa wa Morogoro hukuhoji ?Comparison?
Moderator futeni huu uzi maana mmeshabadili ujumbeNani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.
Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.
Tusilazimishe mambo kwa nguvu
👇View attachment 2225325
Ulitaka nihoji ili iweje?Mbona alipofukuzwa na Magufuli kwa Tuhuma za Rushwa kwenye Ukatibu wa ccm Mkoa wa wa Morogoro hukuhoji ?
Nawachukia wapumbavu ambao ni wengi aliotuachia Mwendazake Magufuli kama Nyankurungu2020Jibu unalo ila chuki za kipumbavu umezijaza kichwani.
Usiishi kwa kutegemea Sana ukitegemea Sana hayo mataifa unayosema aliyatenga kuna siku utalala bila nguo kuwa makiniHuyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.
Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
Hujitambui kenge mkubwaNawachukia wapumbavu ambao ni wengi aliotuachia Mwendazake Magufuli kama Nyankurungu2020
Pumba raha sana kuwapa kuku, au wewe ni kondoo?Pamoja na uzee wote huo unakuwa na pumba namna hiyo?
Wanawake wa pwani mnamatatizo. Ndio maana hamuolewiPumba raha sana kuwapa kuku, au wewe ni kondoo?
hahaaaaaaaaDuh...hata wewe unalazimisha..kila jambo na muda wake..
Nani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.
Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.
Tusilazimishe mambo kwa nguvu
👇View attachment 2225325