Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
Vp baada kuunganishwa na hizo nchi vp umeolewa tayr sasa
 
Yatima bado unaweweseka, yule shetani wenu wa Chato kwa miaka 6 hakutowa ajira wala hakupandisha mishahara.

Mama kwa kilindi cha mwaka mmoja tu ametowa ajira lukuki na jana lile jambo ka nyongeza ya mishahara limekamilika.

Haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia mishahara kupandishwa vile.

Huyo marehemu pumzikeni naye kwa amani tu kuzimu, nchi sasa imetulia na imepata Rais anayejari utu wa watu na maendeleo ya watu.
Chawa katika ubora wako iyo munayoita mishahara haina maana kwa gharama zilivopanda
 
Wakianza kuelezea hayo mafanikio ndio wataharibu zaidi. Hayataakisi hali halisi ilivyo kwa sasa...
 
Magufuli alitawala Tanzania kwa miaka 20? Wewe utakuwa ndio wale wale tu.

Wakati waziri unajuwa madudu mangapi aliyafanya? Hujasikia sakata lake la nyumba za serikali? Hujasikia sakata na hasara za meli chakavuu ya Magufuli? Hujasikia sakata la samaki wa Magufuli na lilivyoishia? Kama huelewi yumedaiwa meli na samaki na muda wote ambayo ilikuwa imekaa bure, nahisi mpaka leo serikali inalipa.

Kuhusu hizohizo barabara hujasikia makanadarasi aliowatimua bila kufata sheriawaliizuwia ndge Canada? Mpaka walivyolipwa deni na hasara waliyoipata?

Kuna madudu mengi sana aliyafanya. Wakulaumiwa ni CCM waliomchagua awe Rais, aliipeleka nchi pabaya sana. Hayaelezeki, ni madudu mengi sana.

Kazi ya Mungu haina makosa.
Huna hoja zaidi ya roho yako nyeusi kama giza
 
Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
hizi no dalili za uchawiiiii , binadamu wa kawaida hana roho kama yakoooo
 
Nani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.

Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.

Tusilazimishe mambo kwa nguvu
[emoji116]View attachment 2225325
Ccm ni mafii
 
1.Kuusimamia msikiti wa bakwata pale kinondoni mpaka ukakamilika kama alivyoomba kwa mfalme wa morocco.

2. Kuhakikisha mali za wakfu zinarudishwa kwa waislamu ikiwemo eneo la chang'ombe alilouziwa manji na waislam wasio waaminifu hali iliyosababisha taharuki mara kwa mara kutoka kwa sheikh Ponda enzi za JK.

3. Kuhakikisha eneo la magomeni kotaz linarudishwa kwa wananchi kama ambavyo manispaa ya kinondoni ilishalikabidhi kwa manji kwa miaka 99 na magu akajenga ghorofa ambapo wengi wanaokaa pale ni muslims.

4. Kuhakikisha msikiti wa kule dodoma unajengwa na kuisha kama ambavyo aliitisha michango kwa ajili ya ule msikiti.

5. Kuwaleta pamoja viongozi wa dini na hivyo kuondoa hali ya sintofahamu baina ya dini na dini, madhehebu kwa madhehebu, taasisi za dini mfano tulishuhudia sheikh mkuu akihudhuria shughuli za Al hikma foundation chini ya sheikh Kishki.

6. Alihakikisha sheikh Ponda anaachiwa huru kutokana na kesi ya kuchochea vurugu enzi za JK hivyo kuendelea na shughuli zake za uanaharakati.

7. Alitoa eneo la baba yake kule chato kwa taasisi ya Al hikma ili ujengwe msikiti.

8. Lakini aliivunja MOU kiaina kama ambavyo ilijuwa inalalamikiwa na waislamu kwa kuhakikisha serikali inamiliki vituo vya afya, hospitali, kudahili wanafunzi kwenye vyuo vya serikali kama kipaumbele, serikali ina vyuo na shule zinazotoa matokeo mazuri tofauti na ilivyokuwa awali ambapo serikali ilitegemea kwa kiasi kikubwa hizi huduma kutoka kwenye taasisi za kikristo.

Bahati mbaya mnafiki ni mwepesi kusahau.
Safi sana ndg hakuna kuwaacha hawa kenge waendelee kusambaza ujinga wao humu ili kuharalisha uzembe
 
hizi no dalili za uchawiiiii , binadamu wa kawaida hana roho kama yakoooo
Kwahiyo unakubali kwamba jiwe alikuwa shetani? Maana alikuwa katili asiyeelezeka. Aliua, aliteka, aliheruhi watu kwa risasi na aliwafukarisha wafanyabiashara na wafanyakazi.
 
Back
Top Bottom