Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Moderator futeni huu uzi maana mmeshabadili ujumbe
 
Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
Usiishi kwa kutegemea Sana ukitegemea Sana hayo mataifa unayosema aliyatenga kuna siku utalala bila nguo kuwa makini
 
Namtabilia miasha mafupi sana ya kisiasa , vijana wenzie wanamsema sana huku baa za sinza
1.Hafanyi kazi yy kumsifu mama tu
2.Jinsi livyokuwa anakanywa kauli zake kwa wapinzan kumvutia magu na livyobadili gia
3.Jinsi walioteseka january , nape, wanavyomchongea kabur
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
 

Attachments

  • BA40C6A5-60EE-417C-A483-B31764C0AC77.jpeg
    57.4 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…