Shambulio la Israel nchini Iran, natoa angalizo kwa wajanja na wenye uelewa wenzangu

Shambulio la Israel nchini Iran, natoa angalizo kwa wajanja na wenye uelewa wenzangu

Niaje waungwana

Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa.
Sasa tumeona wenyewe jinsi Iran ilivyo imara kwa air defence yao hadi kupelekea shambulio la ndege 100 za Israel kushindwa kupiga hata kituo kimoja cha polisi. Maandalizi yalikuwa makubwa mno lakini mashambulizi yalikuwa madogo mno. Ndege 100 ambazo hata hivyo hazikuingia ndani ya anga la Iran ni kama vile zilienda kuzurura tu kwa wenzao.

Gharama kubwa za maandalizi ya shambulizi, mafuta na propaganda halaf zinafika kwenye mpaka adui na kutoka bila kuacha hasara ni aibu na fedheha kubwa kwao.

Sasa baada ya kuona wameshindwa kufanya chochote cha maana. Kuna kundi la wayahudi wetu wa bonyokwa na wale wa tel aviv ya Tandale wamekuwa wakikusanya kusanya vipicha picha na video za vile vishambulio vya Gaza na kuviunganisha hapa kwenye tukio la leo ili kuwahadaa wajinga wenzao kuwa shambulio la Israel lilifanikiwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho sio kweli.

Shambulio lao lilikuwa la hovyo sana ndomaana dunia haijui kinachoendelea huko Iran. Hii ni tofauti na mashambulio ya Iran ambayo huwa na uzito na kuifanya dunia karibia yote ikiiongozwa na nchi za magharibi kulaani shambulio la Iran nchini Israel. Siku zote mtemi mwenye nguvu akimpiga mnyonge, watu husema na kupiga kelele. Lakini mnyonge akijitutumua kumpiga mtemi watu huwa hawaoni wala kulalamika, maana hakuna madhara ambayo mwenye nguvu anaweza pata.

Tuombe Mungu Ayatollah asitoe kauli kuhusu kashambulio hako. Maana akitoa tu kauli, basi Netanyahu na genge lake watalazimika kuwakimbiza wanajeshi wao na familia zao shimoni mapema (handakini) kabla kiyama kingine hakijawakuta wakiwa juu ya ardhi wakitembea. Ayatollah huwa hatanii na kauli yake haibadilishwi na mtu yoyote hapa ulimwenguni.

Kwa aibu hii ya leo, kushindwa vita na hezbulah, ukijumlisha nyumba ya Netanyahu kushambuliwa huku THAAD na Iron Dome zikiiangalia. Netanyahu angekuwa mzalendo wa kweli angejiuzulu. Lakini kwa tamaa zake anataka mpaka afie uongozini. Yani hata hayati mzee Mwinyi amemshinda uadilifu.
Khutba hiyo peleka Kwa kidile kwenye Watu kama we ukazawadiwe takbirrrr ✊

"Israel strikes multiple targets across Iran in retaliatory strikes - The Jerusalem Post" 'Days of Repentance': Israel strikes multiple targets across Iran in retaliatory strikes
 
Khutba hiyo peleka Kwa kidile kwenye Watu kama we ukazawadiwe takbirrrr ✊

"Israel strikes multiple targets across Iran in retaliatory strikes - The Jerusalem Post" 'Days of Repentance': Israel strikes multiple targets across Iran in retaliatory strikes
Ama kweli upumbavu huwa hauishi kwa baadhi ya watu weusi. Wewe unategemea habari za vyombo vya habari vya Israel ndo zikupe ukweli wa kile kilichofanyika Iran 😂😂😂

Unanikumbusha kipindi kile cha ugomvi wa Kikwete na Kagame. Magazeti ya Rwanda yalikuwa yanaandika kwamba nchi yao imeshaitarget Tanzania muda mrefu, sasa wanasubiri amri tu wamkamate Kikwete. Mara sijui Membe na mke wa Kikwete ni wahutu nk.

Baada ya kuona Kikwete kasogeza jeshi mpakani na Rwanda huku akiahidi kuliamuru jeshi hilo muda wowote kuingia Rwanda kumtoa Kagame, magazeti yale yakaacha kuandika ujinga wao, na Kagame akanywea mpaka siku Kikwete anatoka madarani hayakurudi kuandika tena chochote kuhusu Kikwete wala Tanzania.
 
Swali Kwa Muirani wa Goba na Myahudi wa Kwa mpalange, hizo ndege zimepita anga la nchi Gani? Ningependa kujua maana tulisikia hapa hapa kutoka Kwa Wayahudi wa kitete na Waajemi wa kemondo hakuna nchi yeyote ghuba imeruhusi anga lake kutumika kufika Iran.


Ushauri wangu Hayatola, inabidi apige kitu kizito Cha Mwana nikome tena waki coordinate vizuri yaani Hezibullah, Hamasi, Huthi wapige Kwa wakati Mmoja, wakati "Iron dome" ikiangaika kuzuia hivi vikombora vya gerage ndio supersonics zinatua. Bibi lazima akili imkae. Tumechona na hivi vitisho vya kila Siku.
 
Swali Kwa Muirani wa Goba na Myahudi wa Kwa mpalange, hizo ndege zimepita anga la nchi Gani? Ningependa kujua maana tulisikia hapa hapa kutoka Kwa Wayahudi wa kitete na Waajemi wa kemondo hakuna nchi yeyote ghuba imeruhusi anga lake kutumika kufika Iran.


Ushauri wangu Hayatola, inabidi apige kitu kizito Cha Mwana nikome tena waki coordinate vizuri yaani Hezibullah, Hamasi, Huthi wapige Kwa wakati Mmoja, wakati "Iron dome" ikiangaika kuzuia hivi vikombora vya gerage ndio supersonics zinatua. Bibi lazima akili imkae. Tumechona na hivi vitisho vya kila Siku.
Ayatollah amekaa na vijana wake kuangalia mahali zilipopita hizo ndege. I hope muda sio mrefu watakuja na majibu murua kabisa na pengine Netanyahu na familia yake watahitajika kuendelea kuishi chini ya handaki.
 
Haya mambo wa Iran wa Mtego wa Noti mnayafurahia sana. Yakianza mashambulio mnakimbilia hospital na mashuleni huku mnaanza kuwalaumu taifa teule la wayahudi.

Tuombe amani irejee vita isikieni jama
 
Ayatollah amekaa na vijana wake kuangalia mahali zilipopita hizo ndege. I hope muda sio mrefu watakuja na majibu murua kabisa na pengine Netanyahu na familia yake watahitajika kuendelea kuishi chini ya handaki.
 
Ayatollah amekaa na vijana wake kuangalia mahali zilipopita hizo ndege. I hope muda sio mrefu watakuja na majibu murua kabisa na pengine Netanyahu na familia yake watahitajika kuendelea kuishi chini ya handaki.


Inabidi Ayatollah, apige Kurjuani, yaani yeyote aliyehusika Kwa namna Moja au nyingine azabwe Kofi, iwe fundisho.
 
Niaje waungwana

Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa.
Sasa tumeona wenyewe jinsi Iran ilivyo imara kwa air defence yao hadi kupelekea shambulio la ndege 100 za Israel kushindwa kupiga hata kituo kimoja cha polisi. Maandalizi yalikuwa makubwa mno lakini mashambulizi yalikuwa madogo mno. Ndege 100 ambazo hata hivyo hazikuingia ndani ya anga la Iran ni kama vile zilienda kuzurura tu kwa wenzao.

Gharama kubwa za maandalizi ya shambulizi, mafuta na propaganda halaf zinafika kwenye mpaka adui na kutoka bila kuacha hasara ni aibu na fedheha kubwa kwao.

Sasa baada ya kuona wameshindwa kufanya chochote cha maana. Kuna kundi la wayahudi wetu wa bonyokwa na wale wa tel aviv ya Tandale wamekuwa wakikusanya kusanya vipicha picha na video za vile vishambulio vya Gaza na kuviunganisha hapa kwenye tukio la leo ili kuwahadaa wajinga wenzao kuwa shambulio la Israel lilifanikiwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho sio kweli.

Shambulio lao lilikuwa la hovyo sana ndomaana dunia haijui kinachoendelea huko Iran. Hii ni tofauti na mashambulio ya Iran ambayo huwa na uzito na kuifanya dunia karibia yote ikiiongozwa na nchi za magharibi kulaani shambulio la Iran nchini Israel. Siku zote mtemi mwenye nguvu akimpiga mnyonge, watu husema na kupiga kelele. Lakini mnyonge akijitutumua kumpiga mtemi watu huwa hawaoni wala kulalamika, maana hakuna madhara ambayo mwenye nguvu anaweza pata.

Tuombe Mungu Ayatollah asitoe kauli kuhusu kashambulio hako. Maana akitoa tu kauli, basi Netanyahu na genge lake watalazimika kuwakimbiza wanajeshi wao na familia zao shimoni mapema (handakini) kabla kiyama kingine hakijawakuta wakiwa juu ya ardhi wakitembea. Ayatollah huwa hatanii na kauli yake haibadilishwi na mtu yoyote hapa ulimwenguni.

Kwa aibu hii ya leo, kushindwa vita na hezbulah, ukijumlisha nyumba ya Netanyahu kushambuliwa huku THAAD na Iron Dome zikiiangalia. Netanyahu angekuwa mzalendo wa kweli angejiuzulu. Lakini kwa tamaa zake anataka mpaka afie uongozini. Yani hata hayati mzee Mwinyi amemshinda uadilifu.
Kitendo cha ndege za adui kuja kwako na zikafanya chochote hata kama ni kidogo na zikaondoka usifanye lolote tayari ni ushindi mkubwa, kumbuka hizo ndege zimetoka israel hadi iran kisha zikarudi, najua unaifahamu geografia ya middle east, iran hatoweza kusema ukweli nini kimetokea sababu ni msiri kama alivyo norfh korea.
 
1000292797.jpg

hapo ni lazima wameenda wanajeshi si chini ya 50..maana iran kwa uongo hatuwawezi..sasa hadi ukiona wamekubali kwamba kuna maafa basi ujue maji yamewafika shingoni
 
Akili hapo inaonesha mpiga hovyo na mrengaji.. Iran same tu na Hamas na Hezbollah... wajinga wakiachwa wanatamba ni shida sana.. Hezbollah aliachwa akajiona bichwa kubwa anaogopewa.. now hataki vita.. Iran houth Iraq the same
Mbona mnakimbia sana, neno ''mrengaji '' lina maana gani wewe mshamba wa bara ?
 
Nyie mnashabulia badala muwaumize ndio kwanza soko lao la hisa limepanda thamani leo tuu

— 🇮🇷 NEW: The Iranian stock market had a major rise today, after the failed Israeli aggression last night

@Middle_East_Spectator
 
Niaje waungwana

Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa.
Sasa tumeona wenyewe jinsi Iran ilivyo imara kwa air defence yao hadi kupelekea shambulio la ndege 100 za Israel kushindwa kupiga hata kituo kimoja cha polisi. Maandalizi yalikuwa makubwa mno lakini mashambulizi yalikuwa madogo mno. Ndege 100 ambazo hata hivyo hazikuingia ndani ya anga la Iran ni kama vile zilienda kuzurura tu kwa wenzao.

Gharama kubwa za maandalizi ya shambulizi, mafuta na propaganda halaf zinafika kwenye mpaka adui na kutoka bila kuacha hasara ni aibu na fedheha kubwa kwao.

Sasa baada ya kuona wameshindwa kufanya chochote cha maana. Kuna kundi la wayahudi wetu wa bonyokwa na wale wa tel aviv ya Tandale wamekuwa wakikusanya kusanya vipicha picha na video za vile vishambulio vya Gaza na kuviunganisha hapa kwenye tukio la leo ili kuwahadaa wajinga wenzao kuwa shambulio la Israel lilifanikiwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho sio kweli.

Shambulio lao lilikuwa la hovyo sana ndomaana dunia haijui kinachoendelea huko Iran. Hii ni tofauti na mashambulio ya Iran ambayo huwa na uzito na kuifanya dunia karibia yote ikiiongozwa na nchi za magharibi kulaani shambulio la Iran nchini Israel. Siku zote mtemi mwenye nguvu akimpiga mnyonge, watu husema na kupiga kelele. Lakini mnyonge akijitutumua kumpiga mtemi watu huwa hawaoni wala kulalamika, maana hakuna madhara ambayo mwenye nguvu anaweza pata.

Tuombe Mungu Ayatollah asitoe kauli kuhusu kashambulio hako. Maana akitoa tu kauli, basi Netanyahu na genge lake watalazimika kuwakimbiza wanajeshi wao na familia zao shimoni mapema (handakini) kabla kiyama kingine hakijawakuta wakiwa juu ya ardhi wakitembea. Ayatollah huwa hatanii na kauli yake haibadilishwi na mtu yoyote hapa ulimwenguni.

Kwa aibu hii ya leo, kushindwa vita na hezbulah, ukijumlisha nyumba ya Netanyahu kushambuliwa huku THAAD na Iron Dome zikiiangalia. Netanyahu angekuwa mzalendo wa kweli angejiuzulu. Lakini kwa tamaa zake anataka mpaka afie uongozini. Yani hata hayati mzee Mwinyi amemshinda uadilifu.
Wakikuuliza watu mtu mjinga anakuwa namna gani, uwajibu kuwa kuwa ni hivyo wewe. Wewe ndiyo definition sahihi ya mtu mjinga. Familia kadhaa huko Iran zipo kwenye maombolezo, na kuna Wairan wapo hospitali wakipigania uhai wao.
 
Biden na Netanyahu sasa ivi matumbo joto.
Israeli planes struck military bases, missile sites, and other systems in several regions. Iran said two soldiers died in the attacks.
 
Raisi Samia afanye mpango wa kununua air defence za Iran. Zina uwezo mkubwa wa kufanya kazi masaa 24 bila kuchoka.
Unaweza kuta mwenzako hata hiyo air defence hajui inatumika kufanya nini, kwanini mnapenda kumbebesha mizigo huyu mama yetu.

Mapolice wetu ni hodari sana wanauwezo wa kutungua mabomu ya angani kwa risasi tu.
 
Back
Top Bottom