Shambulio la Israel nchini Iran, natoa angalizo kwa wajanja na wenye uelewa wenzangu

Shambulio la Israel nchini Iran, natoa angalizo kwa wajanja na wenye uelewa wenzangu

Ama kweli upumbavu huwa hauishi kwa baadhi ya watu weusi. Wewe unategemea habari za vyombo vya habari vya Israel ndo zikupe ukweli wa kile kilichofanyika Iran 😂😂😂

Unanikumbusha kipindi kile cha ugomvi wa Kikwete na Kagame. Magazeti ya Rwanda yalikuwa yanaandika kwamba nchi yao imeshaitarget Tanzania muda mrefu, sasa wanasubiri amri tu wamkamate Kikwete. Mara sijui Membe na mke wa Kikwete ni wahutu nk.

Baada ya kuona Kikwete kasogeza jeshi mpakani na Rwanda huku akiahidi kuliamuru jeshi hilo muda wowote kuingia Rwanda kumtoa Kagame, magazeti yale yakaacha kuandika ujinga wao, na Kagame akanywea mpaka siku Kikwete anatoka madarani hayakurudi kuandika tena chochote kuhusu Kikwete wala Tanzania.
Hii umetunga kuhusu Rwanda. Awakuwahi kusema watamkamata kikwete na hatajaribu kusema. ACHA UZUSHI UONGO NA UNAFIKI JAPO NDIYO SIFA ZENU KUU
 
Umesema ukweli,lakini siyo jambo jipya wala habari mpya. Ni spychological effects ambazo wanajeshi hukutana nazo wakiwa vitani au baada ya kutoka vitani.
hata israel kutumia missile na ndege kushambulia pia si habari mpya. na yanga kucheza na simba si habari mpya vile vile. kwa hiyo bora tukae tusiongee kitu na thread zote zifungwe
 
Shambulio la drone lililopiga nyumba ya Netanyahu limefichua wazi kuwa waziri mkuu huyo na ujanja wake wote huwa halali kwake. Anaanzisha vita huku akiandaa handaki la kuishi mapema.

Angekuwa mwanaume angeendelea kuishi kwake tuone.
Angalia akili ya kitoto hii. Ujui hata vita ni kitu gani?.
 
We Mbwiga tuliza kibandiko!

Lengo la Israel linajulikana tangu mwanzo!! Lengo ilikuwa nikumuonesha Iran kwamba anaweza kuingia ndani ya Iran na kupiga popote.

IDF imetamba kwenye anga la Iran usiku kucha bila kudondoshwa ndege yake hata Moja!!

IDF imepiga vituo vya Kijeshi inavyotaka japo Iran unajifanya kusema wamekufa Wanajeshi 2 tu!! Hilo ndo lengo kuu la Israel.

Sasa akitaka kuuona moto wenyewe ajaribu retaliation
Pia kwa ripot za mda huu Iran imekiri kuuwawa kwa askari wake wawili ,bado analysis Kamil za damage hazijatolewa bayana maana iran niwataalam wa kufincha mambo
 
Naona unajamba na kunusa mwenyewe. Source zimetengenezwa na vyombo vya magharibi na Israel kisha kuvirusha katika vijiwe vya kunywea gongo wayahudi wa bonyokwa ambao wamezichukua na kuzileta humu wakifikiri kuwa kila mtu ni mjinga kama wao.
mzee iran wametamka wenyewe
 
Shambulio la drone lililopiga nyumba ya Netanyahu limefichua wazi kuwa waziri mkuu huyo na ujanja wake wote huwa halali kwake. Anaanzisha vita huku akiandaa handaki la kuishi mapema.

Angekuwa mwanaume angeendelea kuishi kwake tuone.
mzee acha ushamba hata hapa bongo rais hua haishi kwake si kuna ikulu? mbona unakua kama ndo umekuja mjini jana?
 
Naona unajamba na kunusa mwenyewe. Source zimetengenezwa na vyombo vya magharibi na Israel kisha kuvirusha katika vijiwe vya kunywea gongo wayahudi wa bonyokwa ambao wamezichukua na kuzileta humu wakifikiri kuwa kila mtu ni mjinga kama wao.
1000293071.jpg
 
hata israel kutumia missile na ndege kushambulia pia si habari mpya. na yanga kucheza na simba si habari mpya vile vile. kwa hiyo bora tukae tusiongee kitu na thread zote zifungwe
Rubbish.
 
Ushahidi uko wapi kuonesha kuwa ndege hizo ziliingia Iran?

Acha porojo. Hiki sio kijiwe cha kunywea chibuku na kusambaza uongo. Leta facts.
Fuatilia kilichotokea, kulikuwa na waves 3 za kushambulia, kwanza ilikuwa ni kuharibu mfumo wa ulinzi wa anga, pili kushambulia vituo vya kutengeneza na kurusha missiles na drones na tatu ofisi nyeti ambayo moja wapo iliyoguswa ni jengo la IRGC
 
Israel anafuta uteja ili aonekane kajibu , wale wanaomuita Taifa la Mungu waendelee kupata matumaini ....Israel anamjua iran ndio maana hapigi hovyo kama Gaza .

Sasa hivi, Iran kashavutiwa waya na USA kwamba asimlipize Israel na pia atangaze kwamba kapata hasara ili ionekane iran imepigwa ...Propaganda inayotumika hapa ni kubwa ila ukweli israel hana uwezo maana Hezbollah wamemshinda .​
Endeleeni kujifariji, Israel ni taifa la Mungu na haikanushiki
 
Wasambaa wanasema 'usilonge ukamala'
Niaje waungwana

Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa.
Sasa tumeona wenyewe jinsi Iran ilivyo imara kwa air defence yao hadi kupelekea shambulio la ndege 100 za Israel kushindwa kupiga hata kituo kimoja cha polisi. Maandalizi yalikuwa makubwa mno lakini mashambulizi yalikuwa madogo mno. Ndege 100 ambazo hata hivyo hazikuingia ndani ya anga la Iran ni kama vile zilienda kuzurura tu kwa wenzao.

Gharama kubwa za maandalizi ya shambulizi, mafuta na propaganda halaf zinafika kwenye mpaka adui na kutoka bila kuacha hasara ni aibu na fedheha kubwa kwao.

Sasa baada ya kuona wameshindwa kufanya chochote cha maana. Kuna kundi la wayahudi wetu wa bonyokwa na wale wa tel aviv ya Tandale wamekuwa wakikusanya kusanya vipicha picha na video za vile vishambulio vya Gaza na kuviunganisha hapa kwenye tukio la leo ili kuwahadaa wajinga wenzao kuwa shambulio la Israel lilifanikiwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho sio kweli.

Shambulio lao lilikuwa la hovyo sana ndomaana dunia haijui kinachoendelea huko Iran. Hii ni tofauti na mashambulio ya Iran ambayo huwa na uzito na kuifanya dunia karibia yote ikiiongozwa na nchi za magharibi kulaani shambulio la Iran nchini Israel. Siku zote mtemi mwenye nguvu akimpiga mnyonge, watu husema na kupiga kelele. Lakini mnyonge akijitutumua kumpiga mtemi watu huwa hawaoni wala kulalamika, maana hakuna madhara ambayo mwenye nguvu anaweza pata.

Tuombe Mungu Ayatollah asitoe kauli kuhusu kashambulio hako. Maana akitoa tu kauli, basi Netanyahu na genge lake watalazimika kuwakimbiza wanajeshi wao na familia zao shimoni mapema (handakini) kabla kiyama kingine hakijawakuta wakiwa juu ya ardhi wakitembea. Ayatollah huwa hatanii na kauli yake haibadilishwi na mtu yoyote hapa ulimwenguni.

Kwa aibu hii ya leo, kushindwa vita na hezbulah, ukijumlisha nyumba ya Netanyahu kushambuliwa huku THAAD na Iron Dome zikiiangalia. Netanyahu angekuwa mzalendo wa kweli angejiuzulu. Lakini kwa tamaa zake anataka mpaka afie uongozini. Yani hata hayati mzee Mwinyi amemshinda uadilifu.
 
Niaje waungwana

Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa.
Sasa tumeona wenyewe jinsi Iran ilivyo imara kwa air defence yao hadi kupelekea shambulio la ndege 100 za Israel kushindwa kupiga hata kituo kimoja cha polisi. Maandalizi yalikuwa makubwa mno lakini mashambulizi yalikuwa madogo mno. Ndege 100 ambazo hata hivyo hazikuingia ndani ya anga la Iran ni kama vile zilienda kuzurura tu kwa wenzao.

Gharama kubwa za maandalizi ya shambulizi, mafuta na propaganda halaf zinafika kwenye mpaka adui na kutoka bila kuacha hasara ni aibu na fedheha kubwa kwao.

Sasa baada ya kuona wameshindwa kufanya chochote cha maana. Kuna kundi la wayahudi wetu wa bonyokwa na wale wa tel aviv ya Tandale wamekuwa wakikusanya kusanya vipicha picha na video za vile vishambulio vya Gaza na kuviunganisha hapa kwenye tukio la leo ili kuwahadaa wajinga wenzao kuwa shambulio la Israel lilifanikiwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho sio kweli.

Shambulio lao lilikuwa la hovyo sana ndomaana dunia haijui kinachoendelea huko Iran. Hii ni tofauti na mashambulio ya Iran ambayo huwa na uzito na kuifanya dunia karibia yote ikiiongozwa na nchi za magharibi kulaani shambulio la Iran nchini Israel. Siku zote mtemi mwenye nguvu akimpiga mnyonge, watu husema na kupiga kelele. Lakini mnyonge akijitutumua kumpiga mtemi watu huwa hawaoni wala kulalamika, maana hakuna madhara ambayo mwenye nguvu anaweza pata.

Tuombe Mungu Ayatollah asitoe kauli kuhusu kashambulio hako. Maana akitoa tu kauli, basi Netanyahu na genge lake watalazimika kuwakimbiza wanajeshi wao na familia zao shimoni mapema (handakini) kabla kiyama kingine hakijawakuta wakiwa juu ya ardhi wakitembea. Ayatollah huwa hatanii na kauli yake haibadilishwi na mtu yoyote hapa ulimwenguni.

Kwa aibu hii ya leo, kushindwa vita na hezbulah, ukijumlisha nyumba ya Netanyahu kushambuliwa huku THAAD na Iron Dome zikiiangalia. Netanyahu angekuwa mzalendo wa kweli angejiuzulu. Lakini kwa tamaa zake anataka mpaka afie uongozini. Yani hata hayati mzee Mwinyi amemshinda uadilifu.
Bado unaripoti kutokea Arusha?.
 
Niaje waungwana

Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa.
Sasa tumeona wenyewe jinsi Iran ilivyo imara kwa air defence yao hadi kupelekea shambulio la ndege 100 za Israel kushindwa kupiga hata kituo kimoja cha polisi. Maandalizi yalikuwa makubwa mno lakini mashambulizi yalikuwa madogo mno. Ndege 100 ambazo hata hivyo hazikuingia ndani ya anga la Iran ni kama vile zilienda kuzurura tu kwa wenzao.

Gharama kubwa za maandalizi ya shambulizi, mafuta na propaganda halaf zinafika kwenye mpaka adui na kutoka bila kuacha hasara ni aibu na fedheha kubwa kwao.

Sasa baada ya kuona wameshindwa kufanya chochote cha maana. Kuna kundi la wayahudi wetu wa bonyokwa na wale wa tel aviv ya Tandale wamekuwa wakikusanya kusanya vipicha picha na video za vile vishambulio vya Gaza na kuviunganisha hapa kwenye tukio la leo ili kuwahadaa wajinga wenzao kuwa shambulio la Israel lilifanikiwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho sio kweli.

Shambulio lao lilikuwa la hovyo sana ndomaana dunia haijui kinachoendelea huko Iran. Hii ni tofauti na mashambulio ya Iran ambayo huwa na uzito na kuifanya dunia karibia yote ikiiongozwa na nchi za magharibi kulaani shambulio la Iran nchini Israel. Siku zote mtemi mwenye nguvu akimpiga mnyonge, watu husema na kupiga kelele. Lakini mnyonge akijitutumua kumpiga mtemi watu huwa hawaoni wala kulalamika, maana hakuna madhara ambayo mwenye nguvu anaweza pata.

Tuombe Mungu Ayatollah asitoe kauli kuhusu kashambulio hako. Maana akitoa tu kauli, basi Netanyahu na genge lake watalazimika kuwakimbiza wanajeshi wao na familia zao shimoni mapema (handakini) kabla kiyama kingine hakijawakuta wakiwa juu ya ardhi wakitembea. Ayatollah huwa hatanii na kauli yake haibadilishwi na mtu yoyote hapa ulimwenguni.

Kwa aibu hii ya leo, kushindwa vita na hezbulah, ukijumlisha nyumba ya Netanyahu kushambuliwa huku THAAD na Iron Dome zikiiangalia. Netanyahu angekuwa mzalendo wa kweli angejiuzulu. Lakini kwa tamaa zake anataka mpaka afie uongozini. Yani hata hayati mzee Mwinyi amemshinda uadilifu.
Uko masjid mnasomeaga ujinga au watu wameingia na kutoka kama mtu anatoka kwa mchepuko afu unaongea ujinga gani
 
Lengo lilikuwa kuwaonesha kina Netanyahu kwamba mifumo yao ya ulinzi waliyopewa na Marekani THAAD pamoja na Iron Dome yao vyote kwa pamoja haifanyi kazi mbele ya drone za Iran.

Kama nyumba ya Netanyahu yenye ulinzi inashambuliwa na drone moja tu iliyotumwa kwao huku Iron Dome na THAAD zinaangalia, vipi kama wangeamua kupiga tu hovyo hovyo nyumba za raia kama afanyavyo Israel huko gaza na Lebanon?
Shida yenu nyinyi tantalila nyingi halafu hamna jambo
 
Back
Top Bottom