Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

kuna siku tulienda kucheza tabata walitusakizia mbwa baada ya kuwafunga 13-6
 
Goli la tiki taka halikubaliki lazima ufunge wakati unalitazama goli.
 
22. Kawaida kugawana viatu (kushoto unampa mshkaji na wewe unabaki na cha kulia)
 
Wakati wa kujigawa mnapanga mstari 1,kisha mmoja mbele mwingine nyuma.

Mwenye mpira ndio anaamua timu gani ivue mashati.

Siku ya mechi mnawinda ndege aina ya MBAYUWAYU kisha mnamchagua muislam miongoni mwenu achinje ata kama ana GOVI,baada ya kuchinja mnamchoma na kumla eti muwe na uwezo wa kupiga chenga za maudhi.
 

Hapo inategemea mpira umepatikanaje, siku mwenye mpira akiumwa hamna mpira siku hiyo. Kwa hiyo inabidi mtengeneze mwingine.
 
22. Kawaida kugawana viatu (kushoto unampa mshkaji na wewe unabaki na cha kulia)

23.Hakuna viwanja maalum hata barabarani tunacheza

24.Mechi kati ya waislam na wakristo ni kawaida kutokea fujo.

25.Ma baunsa wote ni mabeki.
 

Nijuavyo mm huwa kuna mpira uliotengenezwa na wote pia upo wa mtu binafsi sasa huu wabinafsi kamanimzuri hata akichelewa uwanjan akifikatu kama amekuja nampira wake ujue mnyonge atatolewa ili mwenyempira aingie na mpira wake.
 
Kulikua kuna vijana ambao wao hawachezi kabisaaa mpira hata ingekuwaje lakn kila siku wanafika uwanjani.
 

Mkuu utotni hujacheza mpira nini? mara nyingi mwenye mpira ni yule ambae ni mtaalamu wa kufuma mpira ndo ataumiliki, ila maandalizi tulikuwa tunafanya wote kutafuta mifuko ya rambo,masponchi, na kamba za manira au katani,kisha ndondo linafumwa..
 

hahahahaha.... umenivunja mbavuuuu... hii kali sna
 
Marufuku kupiga dochi.
Wakati wa penati ruksa kuminya "kende" ili mpigaji akose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…